Mie umri ulishasonga ugali zamani tu hadi tumeshaula, ila Nipo tu kwa kweli. Ntakawia tu, ila nikipata nipate kitu "outstanding" In my kaka @mito voice
Kazi tunafanya kwa wakati wake.
Teh teh.....! Kwa hiyo wenye haki ya kushinda ni nye tuu humu....!
Teh teh....Huo wakati ni upi? Usiku? We mlinzi shem? Ila bora hata wewe unapoteaga kwenda kuzisaka.
Ndio tushapika ugali tunasubiri mrudi mle ila msirudi mikono mitupu tu tafadhali, utakula kwa jasho ati.
Eeeh ngoja nizame kwenye maombi mara moja. Khaaa what a blessing kuwa na mtu unayeweza kumlilia shida zako naye asichoke kukusikiliza wala kukusaidia. Thanks darling of HeavenKabisa, hao walamba lipsi acha wazilambe tuuu hadi zibabuke, na kumlilia Mungu hatuachi ng'ooo hadi shetani azidi kushangaa kama hivi.
Duuh! wewe ni shangingi takatifu, matusi, Naona hili jiwe limekupiga kunako k na kuiharibu yote ndo maana una hasira kama nyoka.Hahaaaaa! Chungu cha kupikia toka lini kikawa dawa? Au sumu ishakuingia akilini? Nilichoelewa mimi kina kuhusu nini? Toa hoja zako sio kunifata makalioni kwenye hoja zangu bila sababu. Huna haya kama kopo la chooni kutwa kuchaaa kuchungulia nyuchi za rika zoteee. Hahaaaaaa! Kajambe mbele.
Kila lililo la kheri liambatane nawe shemeji yangu mpendwa, uzipateeee hadi ubaki unashangaa.Teh teh....
Haya shem, ngoja nkafanye kazi....!
Endeleeni kupeana moyo ila mkae mnajua gari la mshahara limewaacha.Hahaha huu mfano nimeupenda, ana mtoto kaachika mara 3 na bado anaolewa ya nne, kuna ambao wamejitunza na hawajui hata wataolewa lini?hata wa kuwaambia "dada hujambo" hamna, kwenye maisha kila mtu kapangiwa fungu lake, let people be
Eeeh ngoja nizame kwenye maombi mara moja. Khaaa what a blessing kuwa na mtu unayeweza kumlilia shida zako naye asichoke kukusikiliza wala kukusaidia. Thanks darling of Heaven
we subiria kwanza ukisikia aiiii...ujue tayari. we niitie ambulance ikae karibujiwe+limerushwa+gizani=???
Hahaa na siri zote njeeeKabisa, sasa ingekuwa ndio unazama kwa kidonge mbona ungerudi guchogo gumevimba kwa makwenzi.
That's why I said you're a holy shangingi, unadhani ni sifa klyn kuolewa na mzee kwa sababu ya pesa? Heshima ni bora sana kuliko pesa, everyone knows that klyn is in love for money and not for real, huyo mzee ana watoto wakubwa kuliko klyn sasa sijui huwa wanamsalimia shikamoo mama?Hahaaaaa! HAO MLIO WAOA MNAWAFUJAAA KUWAVISHA LUNYAAAA NA KUWALISHA MICHICHA KAMA MBUZI MBONA HAMSEMI HAPA? Wagawa nyuchi kwa kasi humu maofisini njaa kali, ndo ashajipatia kikopo cha chooni, hakina hela wala kismati cha dili. Hahahahaaaa! Msitake niwavue nguo wima wima hapa.
FYI wanambwatogi na hawa hawa viwanaume kama Dai, viserengeti kwa vitu vidogo kama safari. Hahaaaaa! Hii inaitwa EITHER WAY LIFE FU.CKS US ALL. Mnalooooooo hili leo.
SINA COZ I SAY NO TO VIKOPO VYA CHOONI! Paka mwenyewe simfugi itakuwa bwana! Thubutuuuuuuu! Rihanna mwenyewe mume hana, sio kakosa kakataa VIKOPO VYA CHOONI kina Drake. Hahahaaaaa.!
Japo kopo la chooni la mwenzio kwako linaweza kuwa Lulu. Kama mimi Klyn angenipa kikopo chake kimoja tu cha chooni naolewa in 5 minutes. Hahahaaaa
the same apply to me!kumbe wapo wengi wa hivii eeUnanikumbusha mbali sana. Hajawahi nitesa alikuwa ananiringia sana. Baada ya kuzalishwa ndiyo ananikumbuka kwa maneno ya faraja na kujifanya yupo ki-future.
:-(
Hata mimi naona.....mwe kichwa maji hiki .....khaaaaMama tafadhali zile mimba huwa tunajibebesha wenyewe na hao watoto ni wetu peke yetu, mbona unataka kujisahaulisha!!
naona umeamua kutumia fursa vizuri..kuwa baba huruma ili ujipatie likes za mabinti
Sure BenKwa wadada waliochangia hapa kama aim ya mleta mada ilikua kupata mke , @Heaven Sent wewe ni mwanamke hasa ,ungekua chaguo la wengi sana ,wengine wangeelea kugugumia tu
Thubutuuuu! uwe na miaka 20 wewe kwa hilo domo lako linaonekana kabisa umepishana na gari la mshahara.Hahaaaa! You wish! I am at my mid 20s badooo sanaaa! Ila kuwachamba nawachamba vizuri tu.
Yamekuwa haya?????!!. Wala sijaandika ili nipate likes, bali nimeandika ninachoamini kuwa ndiyo ukweli.
Pia kama kuna mtu ataguswa na maoni yangu pia ntashukuru.
Naomba nawe utoe unachoamini kwenye huu uzi usiangalie kupata likes au kutopata wewe andika unachoamini toka moyoni mwako. Na ikitokea haujisikii kuchangia siyo mbaya ile kufungua na kusoma maoni ya wengine pia ni mchango wako tosha kabisa.