Mkuuu ninachoweza kukushauri achana na mambo ya hawa wanawake.brenda yamemuuma kanifuata whatsAP kaja kutukana mpaka basi harafu cha ajabu anaandika eti muonee huyo huyo sumbai. nikajiuliza namuoneaje? sijapata pc
Safi kabisa Mkuu, wana vichwa vigumu kweli hawataki kuambiwa ukweli, kuna binamu yangu alikuwa mrembo balaa, wanaume wakawa wanajitokeza kumchumbia naye hataki, tukimuuliza kulikoni? anasema, ooh mi staki kuolewa na wanaume weupe, wakija weusi, ooh mi staki hao nataka warefu, sababu haziishi, wee tukashangaa kuona ka andunje kamemtandika mimba kisha kakasepa, sasa Eti naye anashinda kanisani kuomba Mungu aolewe, majuzi nikamuuliza sasa hivi unataka kuolewa na mwanaume wa aina gani, akajibu yoyote tu, nyambafu zake kaisha mwili wote kwa kunyonyesha na kulea mtoto wa andunje wakati yeye mrefu, halafu Eti anataka kuolewa, pumbavu zake kabisa hii ni sawa na kupewa mtaji halafu ukaunywea pombe halafu unakuja kumsumbua Mungu, mi namwangalia tu, umekuwa skrepa ndo unataka mume? wakati unalipa uliamua kuuharibu usichana wako maksudi kabisa, afadhali aliyekuwa kaolewa halafu akaachwa na mumewe kwa uonevu huyo hata kama ana watoto sita lazima ataolewa tena, maana Mungu hukaa na wenye haki na wanaoonewa, sasa wao wanafanya umalaya halafu yakiwakuta bado wanataka mteremko, shenzi zao kabisa, hapa hakuna cha ndoa na watakiona cha moto.Endeleeni kuishi kwa ndoto mnapewa ushauri wamaana mnajifanya mnajua kubinua midomo. Chagua chagua itawaponza.mi kuna binti wa ndugu yangu hii tabia imemcost mpaka sasa watu wanajitokeza analeta sababu kibao zisizo na msingi.sasa hivi kabaki kuposti vipicha kwenye whatsapp akimshtakia mungu kuomba ampe uvumilivu sijui nini sasa Kama huu siyo unafiki ni nini? Na Mimi nasema mungu awaadhibu tu hakuna namna.
Utakutana na Flora Mbasha akitaka kuolewa na yeye wakati alivunja ndoa yake na akataka mumewe afie jela, aisee makanisani kuna skrepa za hatari ni bora ukachumbie bar, maana wakishayabolonga ndo kimbilio Lao huko, Nachukia sana maana imeandikwa usimjaribu bwana Mungu wako.Ehehehe the fact is kwann msimkumbuke mungu tangu mkiwa mabikira.....ewe mwanaume ukitaka kupotea KAOE KANISANI.....KAKESHE KWA GWAJIMA UKIOMBA MKE utapoteza muda
Heaven sent umejaliwa hekima kubwa kuliko wanake wote JF, yaani wewe hata kama una watoto kumi kwa ulivyo mnyenyekevu Nakuhakikishia Mungu atakupa chochote utakacho, hata mume utapewa tena mzuri tu, siyo hao wengine ambao wanachanua midomo kwa ujuaji, Mungu anapenda sana wanyenyekevu kama wewe.Kwahiyo mmekubali kuwa mnachofanya nimakosa ndo inabidi mbadilike
Aisee ukristo ungekuwa unaruhusu two wives. I'd have married you, you're a deeply humbling woman unlike others which are talkative like parrots, Nimekupenda bure.Sawa mkuu
Wanakuchokoza..wanakuonea,..wanyeee!Ndo nishakunya sasa na kuharisha umomo. Wanaume wenyewe mnaochonga vikopo tu vya chooni. NA NAFUNGUA MWAKA NA HUU UZI RASMI.
Picha please!...Mswati is savage babarian who worships African idols. Huwezi kumfananisha na Sheikh Naseeb yakheee! Naseeb mtu wa kumtii mtume na sharia zake. Ikitokea kakosea basi atafanya toba, ila ni mtu anaejitambua yupo upande gani.
HahahaaaqHa haa nenda kamsumbue Mungu, hakika atakujibu maombi yako upate haja ya moyo wako. Ila pia akubariki na ujazwe roho mtakatifu ili uache kutuchamba hapaaaaa......
Khaaa