Amini usiamini gamba lowasa na chenge wametemwa katika chama cha Mapinduzi muda huu tnitawajuza zaidi yanayojiri
Wasalaam
Mmemkwa.
Kwa hiyo wakianza kueleza madudu kama hayo uliyoyaandika hapo juu utakubali kuwa Kikwete unayemtetea kila siku naye ni fisadi???Nyie watu mnaudhi sana unataka evidence tuambie basi nyumba ya london ya £400,000 hela ameitoa wapi? Vile vile tunaomba atuambie kwanini Nyerere alipatwa na mshtuko alipokuta mmfanyakazi wa serikali who happened to be EL alikuwa akimiliki nyumba ambayo alitaka apangishiwe balozi wa South Africa? Tunaomba maelezo ya ufisadi wa Wizara ya maji ambapo tenda ya kusambaza mabomba ya maji alitaka kampuni yake ipewe tenda.
Bado unataka madudu mengine? Maana yapo ya AICC? Wizara ya Ardhi? Waziri mkuu? na kwengineo
Si wapigane wao kwa wao tuone yupi atakaelindwa na FFU
hizo ni ndoto za mchana,hakuna kitu kama hicho tupo dodoma na jamaa wapo hapa wanasubiri nyama choma'mods naomba huyo jamaa aliyeleta huu uzushi ambaye ni mwita25 na id zake mbili mpigeni life ban
Kwa hiyo wakianza kueleza madudu kama hayo uliyoyaandika hapo juu utakubali kuwa Kikwete unayemtetea kila siku naye ni fisadi???
jamani hali huku ni mbaya mbaya mbaya sana usalama wa taifa uko mashakani yale ya chini ya godoro yanarushwa huku, Mungu ibariki Tanzania kweli kuvua gamba ni sawa na kujifungua (kuzaa) machungu na kuropoka kumbe raisi kwenye kikao cha chama anakuwa mwenyekiti tu hii kiboko
Tupunguze porojo
mie siamini nakuwa kama tomaso wa bwana yesu
Hacheni mbwembwe zenu, mnatudanganya tu hakuna lolote. Kama hamna kazi kalimeni hacheni upuuzi wa kushitua watu.
Mkimaliza mipasho mlete habari. rudisha heshima ya JF.
Memkwa
Tunaomba info zaidi,maana unatoa info nusu nusu sana. Habari hii imekosa muendelezo unaofaa kiasi kwamba inakosa kuaminika. Haya masuala ya Dodoma yanagusa maisha ya watu.
Mods:
Ikithibitika huyu jamaa alitudanganya kwenye habari inayosubiriwa sana, apewe LIFE BAN maana atakuwa amedhalilisha JAMVI.
hizo ni ndoto za mchana,hakuna kitu kama hicho tupo dodoma na jamaa wapo hapa wanasubiri nyama choma'mods naomba huyo jamaa aliyeleta huu uzushi ambaye ni mwita25 na id zake mbili mpigeni life ban