Wakuu wote nimewaelewa nimeongea na mtaalamu mmoja wa kilimo kaniambia joto sio ishu inawezekana kulima ila nizingatie haya mawili shamba lisiwe kwenye bonde linalohifadhi maji coz yataviozesha na pia ardhi isiwe ya udongo wa mfinyazi coz yatabana vitunguu kule chini na vitakua vidogo,research bado inaendelea thans sana wana jf