Kaveli
KARIBU TENA KUU

TURUDI KATIKA MASWALI YAKO

==============

A). Mkuu wangu, Bamia inaendelea vyema. Dawa/Sumu nilinunua za aina tatu: MUPA FORCE, PROFECRON, na ATTAKAN C. week ya kwanza nilipuliza MUPA FORCE. Week ya pili nilipuliza PROFECRON. Kesho week ya tatu natarajia kupuliza ATTAKAN C. Nazingatia ule ushauri wako kwamba ni vizuri kutumia dawa/sumu aina mbili au zaidi ili kuzuia usugu wa dawa kwa wadudu. Dawa ya ukungu bado sijapiga, ila natarajia kwenda kuchukua Ridomil Gold au Blue Copper au Multi Power Plus (sijuwi ni ipi the best kati ya hizo kwa kukinga & kutibu ukungu).; TAFUTA BLUE COPPER, NA MULTI POWER PLUS 78 WP, Ukikosa tafuta Score kutoka Syngenta Company. Utatumia Blue Copper kwa wiki za mwanzoni, Ila matunda yakianza utaanza kutumia Multi Power Plus 78WP hii ni nzuri sana maana ina kinga na tiba pia ndani yake (Viambata). Lakini faida ya Copper ni kinga ya ukungu/Kuvu/Fangasi, ila pia kirutubisho cha copper ni lishe pia kwa mmea, Copper ikikosekana pia majani hukauka kutoka nchani kuja ndani ya jani, shida hii huonekana sanaa kwa uwazi zaidi katika miche ya kitunguu, lakini pia Copper huyapa majani vigour, yaani afya yawe imara na kutengeneza chakula kwa ushurikiano na Iron (Fe-Chuma)



B). Hapa kwa wakulima wengine majirani, kuna ugonjwa ambao umekuwa common yaani unasumbua sana kwa wote. Majani yanajikunja irregularly, yaani kama yanasala hivi, ni kuanzia kwenye tawi mpk jani. Sio kule kujikunja kwa jani by red spider mites (utitiri mwekundu), hapana. Bali hii yenyewe ni kama ukichaa hivi, yani kuanzia tawi linajikunja kunja ovyo ovyo (kama herufi 'S') mpk kwenye jani. Mfano tawi linajikunja kunja kuelekea chini badala ya upward. Jani nalo linakuwa kwenye umbo la kujikunja kunja irregularly mfano jani linakutana kwa kujifunga/kujifunika lenyewe au jani linajifunua lenyewe kwa muelekeo wa downward (jani haliko soft na halikai ktk ordinary shape yake). Yaani binafsi naweza kuuita ni 'ukichaa' wa mmea.

Mkuu, huo ni ugonjwa gani? na tiba yake ni nini?

1. Dalili hizo chanzo chaweza kuwa ni wadudu /Vipepeo weupe kitaalamu huitwa Bemicia Tabaci-Husababisha Leaf Curl-Kujisokota kwa majani

Jaribu kucheki hizi picha huenda zikatoa Mwanga kidogo=Picha sehemu A na
upload_2017-5-4_19-40-16.png


na Hii pia hapa chini, tizama hizo arrow nyeupe zinapo point, namna jani linajikunja, hapo chini /nyuma ya majani ndipo wadudu huwa, kwa hiyo kama mpiga dawa hageuzi nozzle ya bomba, basi anawaacha hao wadudu bila kupata dawa.

upload_2017-5-4_19-46-10.png

2. Na kunawakati hata kukosekana kwa virubisho kutoka katika Booster, hasa Zinc, Boroni, na Manganese huweza leta hiyo shida-Hasa upungufu wa Manganese.
upload_2017-5-4_19-53-3.png
Upungufu wa Manganese

Kucontrol aina ya wadudu kama ni White flies, tafuta dawa yenye Imidacloplid ndani yake, au Cypermethrin au Abamectin, ukipata yenye sumu/ACtive ingredient mbili kati ya hizo itakuwa sawa, other wise chukua separetly yenye moja moja utakuwa uzipiga kwa kupishanisha (Wiki hii unapiga hii, na ile wiki unapiga yenye Active Ingredient nyingine). Baadhi ya dawa unazoweza kukuta viambata/Sumu mbili na zaidi ni kama vile. Nazitaja kwa trade name zake, Buffalo, Blast- Hizi mbili za kwanza unazipata kw a uhakika Balton Tanzania, kama uko Dar-Wako Mwenge kule, karibu na Itv KAMA SIJAKOSEA, nyingine, ni Duduall , nyingine ni Dudu Cypermethrin, nyingine Huuitwa Prosper.LAKINI HIZI TRADE NAMES, Zisikuchanganye, cha muhimu cheki ndani sumu iliyomo, hata kama kopo kwa nje limeandikwa Kaveli. Ila sumu ni hizo hapo wewe nunua. UKIPATA dawa za ukungu Multi k plus 78 WP, AU Score, itakusaidia pia kutibu Mild dew (Ubwiri unga ambao nao hushambulia sana wakati wa mvua, unakuta majani yana unga mweupe kwa juu). UPIGAJI unaweza changanya ndani yake, na dawa ya Wadudu na Booster pia. Fanya hivyo kisha ulete mrejesho. Kipimo cha dawa za wadudu ni mls15-20 kwa maji lita 15., Kipimo kwa dawa ukungu kama ni ya maji 30-50, kwa maji lita 15, kama ni za Ukungu, gram 50-80 kwa maji lita 15.



Umemkumba kila mkulima wa bamia huku tulipo. Wanasema ugonjwa huo hushamiri zaidi wakati wa masika kama hivi sasa. Wanasema mmea unakuwa fresh tu kwa week za mwanzo. Ila ukishakua kuelekea kuweka vifunda vya maua, hapo ndo mmea unaanza 'kuwehuka' kama nilivyoelezea hapo juu.

C) Kuhusu mbolea za maua na matunda... najua kuna Multi K, Super Grow, n.k. Je ni ipi ambayo ni the best? Nataka mmea utoe maua mengi. Nakumbuka you mentioned nutrients like zinc, boron, etc kwenye Boosters. So ni booster ipi ambayo ni bora sana kuliko zingine zote? Kwangu mimi the best booster ni 1st. Wuxal macro Mix 2. Omex Foliar Fertilizer 3. Yara Vita Tracel Biz-From Yara Company 4. Potphos.

D). Je ni kweli kwamba wakati wa mvua nyingi kama kipindi hiki, uchanuaji wa maua huwa ni hafifu sana? kutokana na uhaba wa jua.

=Hilo lina ukweli pia mkuu, hasa kama muda woote anga imetanda mawingu tu, na pia lishe hasa ya Boron na Zinc ikiwa chini, maua yatakuwa kidogo sana.Lakini pia epuka kupiga hizi dawa za wadudu wakati wa mchana sa 6-9 hapo, kwa kuwa utauua nyuki, wanaosaidia uchavushaji.



=====================================================

Sasa mkuu, naomba pia unifahamishe kuhusu MADAWA & SUMU za kupulizia ili kukinga na kuzuia magonjwa mbali mbali, i.e kuanzia mmea unapoota mpaka kuanza mavuno.

1. MADAWA au/na SUMU sahihi kwa zao la Bamia ni yepi? na utaratibu wa kupulizia upoje, yaani nipulizie kila baada ya muda gani? in preventive basis (nisingependa mmea uugue hata kidogo).

Kwa jinsi nilivyoona huku field (mashambani), matatizo/magonjwa yanayosumbua sana Bamia ni manne:

A) PANZI... hawa ni wadudu fulani hivi wanaotafuna shina la mmea. Yaani mmea unapoota na kuanza kuweka shina, unakuta mmea umeanguka kwa kukatwa shina pale chini kabisa karibia na udogo. Sijawaona live wadudu hao, ila nimeelezwa kuwa ni 'PANZI wakata shina'.

B) CHAWA wekundu... hawa nimewaona live kwa macho. Wapo kama utitiri hivi. Hawa huanza kushambulia pale mmea unapoanza kukua, mmea unapoanza kuweka jani la tatu na kuendelea. Hawa wanakaa nyuma ya jani lenyewe, hulifanya jani lijikunje hivi.

C) UKUNGU... hii husababisha madoa madoa meusi kwenye majani.

D) WADUDU watoboa tunda... hawa nao nimewaona live. Hawa wapo kama kiwavi hivi au kama funza. Wanatoboa tunda lenyewe kabisa, yaani unakuta bamia imetobolewa na mdudu yupo ndani.

Huku nilipo, changamoto hizo wanasema wanazikabili kwa SUMU na DAWA. SUMU wanayotumia ni 'MUPA FORCE 720EC' ambayo wanapulizia mara baada tu ya mmea kuanza kuweka shina ili PANZI asiukate, sumu hii wanaipuliza kila week. Na mavuno yakianza, sumu hii hupulizwa kila week pia ili kuzuia wale WADUDU watoboa tunda.

DAWA wanayotumia ni 'ATTAKAN C 344SE' kwaajili ya kuzuia CHAWA wekundu na kuzuia UKUNGU. Kabla ya matunda/mavuno kuanza, dawa hii hupulizwa kila week. Matunda/Mavuno yakianza, hupulizwa kila siku mbili.

JE, hizo SUMU/DAWA ni sahihi? na huo utaratibu wa kupulizia ni sahihi? Mkuu naomba muongozo wako, coz now mmea wangu tayari ushaota.

2. Tupo kipindi cha masika, mvua ni nyingi sana. Mtu anamaliza tu kupuliza dawa/sumu, ghafla mvua inanyesha! Nakumbuka kuna uzi fulani humu humu JF uliwahi ku-mention kimiminika ambacho ni kinatisha sumu kwenye mmea ili mvua isioshe. Ulitaja kitu kama 'AQUA STICKER' (kama sijakosea spelling). Nimeitafuta sana kwenye maduka mengi ya kilimo huku nilipo haipo na wala hawaijuwi. Labda nitajaribu kwenda maduka ya K/Koo. Maana pia nimewapigia simu at Balton Tz pale Mwenge, nao hawana hiyo AQUA STICKER, ila wamenambia wanayo inaitwa SUPER LINK for the same function, wanaiuza elfu 20 kwa lita moja.

3. Uwekaji wa mbolea ya NPK upoje, naiwekaje kwenye ardhi/shimo la mmea?? kwaajili ya kukuzia.

4. Natarajia kupanda tena Bamia kwa awamu ya pili. Hizi nitazifanya kwa utaratibu huu: Mbolea ya kupandia namix DAP & SAMADI KUKU; Mbolea ya kukuzia naweka NPK (17:17:17) pekee; kisha nacheza na Boosters to finalize. Hii iko poa?


kilimomaarifa.tajiri, habari mkuu. Nimerudi tena ndugu.

A). Mkuu wangu, Bamia inaendelea vyema. Dawa/Sumu nilinunua za aina tatu: MUPA FORCE, PROFECRON, na ATTAKAN C. week ya kwanza nilipuliza MUPA FORCE. Week ya pili nilipuliza PROFECRON. Kesho week ya tatu natarajia kupuliza ATTAKAN C. Nazingatia ule ushauri wako kwamba ni vizuri kutumia dawa/sumu aina mbili au zaidi ili kuzuia usugu wa dawa kwa wadudu. Dawa ya ukungu bado sijapiga, ila natarajia kwenda kuchukua Ridomil Gold au Blue Copper au Multi Power Plus (sijuwi ni ipi the best kati ya hizo kwa kukinga & kutibu ukungu).

B). Hapa kwa wakulima wengine majirani, kuna ugonjwa ambao umekuwa common yaani unasumbua sana kwa wote. Majani yanajikunja irregularly, yaani kama yanasala hivi, ni kuanzia kwenye tawi mpk jani. Sio kule kujikunja kwa jani by red spider mites (utitiri mwekundu), hapana. Bali hii yenyewe ni kama ukichaa hivi, yani kuanzia tawi linajikunja kunja ovyo ovyo (kama herufi 'S') mpk kwenye jani. Mfano tawi linajikunja kunja kuelekea chini badala ya upward. Jani nalo linakuwa kwenye umbo la kujikunja kunja irregularly mfano jani linakutana kwa kujifunga/kujifunika lenyewe au jani linajifunua lenyewe kwa muelekeo wa downward (jani haliko soft na halikai ktk ordinary shape yake). Yaani binafsi naweza kuuita ni 'ukichaa' wa mmea.

Mkuu, huo ni ugonjwa gani? na tiba yake ni nini?

Umemkumba kila mkulima wa bamia huku tulipo. Wanasema ugonjwa huo hushamiri zaidi wakati wa masika kama hivi sasa. Wanasema mmea unakuwa fresh tu kwa week za mwanzo. Ila ukishakua kuelekea kuweka vifunda vya maua, hapo ndo mmea unaanza 'kuwehuka' kama nilivyoelezea hapo juu.

C) Kuhusu mbolea za maua na matunda... najua kuna Multi K, Super Grow, n.k. Je ni ipi ambayo ni the best? Nataka mmea utoe maua mengi. Nakumbuka you mentioned nutrients like zinc, boron, etc kwenye Boosters. So ni booster ipi ambayo ni bora sana kuliko zingine zote?

D). Je ni kweli kwamba wakati wa mvua nyingi kama kipindi hiki, uchanuaji wa maua huwa ni hafifu sana? kutokana na uhaba wa jua.

Ahsante.

-Kaveli-[/QUOTE]
 
Kaveli
KARIBU TENA KUU

TURUDI KATIKA MASWALI YAKO

==============

A). Mkuu wangu, Bamia inaendelea vyema. Dawa/Sumu nilinunua za aina tatu: MUPA FORCE, PROFECRON, na ATTAKAN C. week ya kwanza nilipuliza MUPA FORCE. Week ya pili nilipuliza PROFECRON. Kesho week ya tatu natarajia kupuliza ATTAKAN C. Nazingatia ule ushauri wako kwamba ni vizuri kutumia dawa/sumu aina mbili au zaidi ili kuzuia usugu wa dawa kwa wadudu. Dawa ya ukungu bado sijapiga, ila natarajia kwenda kuchukua Ridomil Gold au Blue Copper au Multi Power Plus (sijuwi ni ipi the best kati ya hizo kwa kukinga & kutibu ukungu).; TAFUTA BLUE COPPER, NA MULTI POWER PLUS 78 WP, Ukikosa tafuta Score kutoka Syngenta Company. Utatumia Blue Copper kwa wiki za mwanzoni, Ila matunda yakianza utaanza kutumia Multi Power Plus 78WP hii ni nzuri sana maana ina kinga na tiba pia ndani yake (Viambata). Lakini faida ya Copper ni kinga ya ukungu/Kuvu/Fangasi, ila pia kirutubisho cha copper ni lishe pia kwa mmea, Copper ikikosekana pia majani hukauka kutoka nchani kuja ndani ya jani, shida hii huonekana sanaa kwa uwazi zaidi katika miche ya kitunguu, lakini pia Copper huyapa majani vigour, yaani afya yawe imara na kutengeneza chakula kwa ushurikiano na Iron (Fe-Chuma)



B). Hapa kwa wakulima wengine majirani, kuna ugonjwa ambao umekuwa common yaani unasumbua sana kwa wote. Majani yanajikunja irregularly, yaani kama yanasala hivi, ni kuanzia kwenye tawi mpk jani. Sio kule kujikunja kwa jani by red spider mites (utitiri mwekundu), hapana. Bali hii yenyewe ni kama ukichaa hivi, yani kuanzia tawi linajikunja kunja ovyo ovyo (kama herufi 'S') mpk kwenye jani. Mfano tawi linajikunja kunja kuelekea chini badala ya upward. Jani nalo linakuwa kwenye umbo la kujikunja kunja irregularly mfano jani linakutana kwa kujifunga/kujifunika lenyewe au jani linajifunua lenyewe kwa muelekeo wa downward (jani haliko soft na halikai ktk ordinary shape yake). Yaani binafsi naweza kuuita ni 'ukichaa' wa mmea.

Mkuu, huo ni ugonjwa gani? na tiba yake ni nini?

1. Dalili hizo chanzo chaweza kuwa ni wadudu /Vipepeo weupe kitaalamu huitwa Bemicia Tabaci-Husababisha Leaf Curl-Kujisokota kwa majani

Jaribu kucheki hizi picha huenda zikatoa Mwanga kidogo=Picha sehemu A na
View attachment 504553

na Hii pia hapa chini, tizama hizo arrow nyeupe zinapo point, namna jani linajikunja, hapo chini /nyuma ya majani ndipo wadudu huwa, kwa hiyo kama mpiga dawa hageuzi nozzle ya bomba, basi anawaacha hao wadudu bila kupata dawa.

View attachment 504557
2. Na kunawakati hata kukosekana kwa virubisho kutoka katika Booster, hasa Zinc, Boroni, na Manganese huweza leta hiyo shida-Hasa upungufu wa Manganese.
View attachment 504560Upungufu wa Manganese

Kucontrol aina ya wadudu kama ni White flies, tafuta dawa yenye Imidacloplid ndani yake, au Cypermethrin au Abamectin, ukipata yenye sumu/ACtive ingredient mbili kati ya hizo itakuwa sawa, other wise chukua separetly yenye moja moja utakuwa uzipiga kwa kupishanisha (Wiki hii unapiga hii, na ile wiki unapiga yenye Active Ingredient nyingine). Baadhi ya dawa unazoweza kukuta viambata/Sumu mbili na zaidi ni kama vile. Nazitaja kwa trade name zake, Buffalo, Blast- Hizi mbili za kwanza unazipata kw a uhakika Balton Tanzania, kama uko Dar-Wako Mwenge kule, karibu na Itv KAMA SIJAKOSEA, nyingine, ni Duduall , nyingine ni Dudu Cypermethrin, nyingine Huuitwa Prosper.LAKINI HIZI TRADE NAMES, Zisikuchanganye, cha muhimu cheki ndani sumu iliyomo, hata kama kopo kwa nje limeandikwa Kaveli. Ila sumu ni hizo hapo wewe nunua. UKIPATA dawa za ukungu Multi k plus 78 WP, AU Score, itakusaidia pia kutibu Mild dew (Ubwiri unga ambao nao hushambulia sana wakati wa mvua, unakuta majani yana unga mweupe kwa juu). UPIGAJI unaweza changanya ndani yake, na dawa ya Wadudu na Booster pia. Fanya hivyo kisha ulete mrejesho. Kipimo cha dawa za wadudu ni mls15-20 kwa maji lita 15., Kipimo kwa dawa ukungu kama ni ya maji 30-50, kwa maji lita 15, kama ni za Ukungu, gram 50-80 kwa maji lita 15.



Umemkumba kila mkulima wa bamia huku tulipo. Wanasema ugonjwa huo hushamiri zaidi wakati wa masika kama hivi sasa. Wanasema mmea unakuwa fresh tu kwa week za mwanzo. Ila ukishakua kuelekea kuweka vifunda vya maua, hapo ndo mmea unaanza 'kuwehuka' kama nilivyoelezea hapo juu.

C) Kuhusu mbolea za maua na matunda... najua kuna Multi K, Super Grow, n.k. Je ni ipi ambayo ni the best? Nataka mmea utoe maua mengi. Nakumbuka you mentioned nutrients like zinc, boron, etc kwenye Boosters. So ni booster ipi ambayo ni bora sana kuliko zingine zote? Kwangu mimi the best booster ni 1st. Wuxal macro Mix 2. Omex Foliar Fertilizer 3. Yara Vita Tracel Biz-From Yara Company 4. Potphos.

D). Je ni kweli kwamba wakati wa mvua nyingi kama kipindi hiki, uchanuaji wa maua huwa ni hafifu sana? kutokana na uhaba wa jua.

=Hilo lina ukweli pia mkuu, hasa kama muda woote anga imetanda mawingu tu, na pia lishe hasa ya Boron na Zinc ikiwa chini, maua yatakuwa kidogo sana.Lakini pia epuka kupiga hizi dawa za wadudu wakati wa mchana sa 6-9 hapo, kwa kuwa utauua nyuki, wanaosaidia uchavushaji.



=====================================================




kilimomaarifa.tajiri, habari mkuu. Nimerudi tena ndugu.

A). Mkuu wangu, Bamia inaendelea vyema. Dawa/Sumu nilinunua za aina tatu: MUPA FORCE, PROFECRON, na ATTAKAN C. week ya kwanza nilipuliza MUPA FORCE. Week ya pili nilipuliza PROFECRON. Kesho week ya tatu natarajia kupuliza ATTAKAN C. Nazingatia ule ushauri wako kwamba ni vizuri kutumia dawa/sumu aina mbili au zaidi ili kuzuia usugu wa dawa kwa wadudu. Dawa ya ukungu bado sijapiga, ila natarajia kwenda kuchukua Ridomil Gold au Blue Copper au Multi Power Plus (sijuwi ni ipi the best kati ya hizo kwa kukinga & kutibu ukungu).

B). Hapa kwa wakulima wengine majirani, kuna ugonjwa ambao umekuwa common yaani unasumbua sana kwa wote. Majani yanajikunja irregularly, yaani kama yanasala hivi, ni kuanzia kwenye tawi mpk jani. Sio kule kujikunja kwa jani by red spider mites (utitiri mwekundu), hapana. Bali hii yenyewe ni kama ukichaa hivi, yani kuanzia tawi linajikunja kunja ovyo ovyo (kama herufi 'S') mpk kwenye jani. Mfano tawi linajikunja kunja kuelekea chini badala ya upward. Jani nalo linakuwa kwenye umbo la kujikunja kunja irregularly mfano jani linakutana kwa kujifunga/kujifunika lenyewe au jani linajifunua lenyewe kwa muelekeo wa downward (jani haliko soft na halikai ktk ordinary shape yake). Yaani binafsi naweza kuuita ni 'ukichaa' wa mmea.

Mkuu, huo ni ugonjwa gani? na tiba yake ni nini?

Umemkumba kila mkulima wa bamia huku tulipo. Wanasema ugonjwa huo hushamiri zaidi wakati wa masika kama hivi sasa. Wanasema mmea unakuwa fresh tu kwa week za mwanzo. Ila ukishakua kuelekea kuweka vifunda vya maua, hapo ndo mmea unaanza 'kuwehuka' kama nilivyoelezea hapo juu.

C) Kuhusu mbolea za maua na matunda... najua kuna Multi K, Super Grow, n.k. Je ni ipi ambayo ni the best? Nataka mmea utoe maua mengi. Nakumbuka you mentioned nutrients like zinc, boron, etc kwenye Boosters. So ni booster ipi ambayo ni bora sana kuliko zingine zote?

D). Je ni kweli kwamba wakati wa mvua nyingi kama kipindi hiki, uchanuaji wa maua huwa ni hafifu sana? kutokana na uhaba wa jua.

Ahsante.

-Kaveli-
[/QUOTE]


kilimomaarifa.tajiri, thanks a lot mkuu. Umenijenga vyema na sasa naanza kuelewa mambo ya kuzingatia. Hasa kwenye madawa ya wadudu, nimeelewa vyema sana. Pia nimejifunza kuwa kwenye kupandia, Phosphorus inahitajika kwa wingi. Kwenye kukuzia, Nitrogen inahitajika kwa wingi.

Naomba your more remarks kwenye mambo yafuatayo:

1. Kwenye mbolea ya KUPANDIA... ipi ni the best kati ya DAP, SAMADI KUKU, NPK, na YARA MILLER WINNER?

2. Kwenye mbolea ya KUKUZIA... ipi ni the best kati ya UREA, NPK, na YARA MILLER WINNER?

3. Sasa for my case... Nilipandia samadi ya kuku pekee. Mmea unaanza week ya tatu. Shina la mmea sio imara, shina nyembamba (labda kwavile bado umri mdogo). Pia mmea hauna green iliyokolea vizuri (labda kwasababu mvua nyingi). Hivyo, niweke mbolea ipi kati ya zifuatazo kwa ajili ya KUKUZIA ? :

- Urea
-NPK 17 17 17
-NPK 20 10 10
-YARA MILLER WINNER (nadhani ratio yake ni 15:9:20).

4. Kuhusu Boosters. Juzi nilienda kutafuta mbolea kwa agent wa YARA company. Nikapata mkanganyiko kidogo. Yule mhudumu alinambia kuwa 'Yara Miller tracel biz' ni booster ya MAJANI, yaani kuweka green (kijanikiwiti) kwenye mmea. Hii huwekwa wakati mmea ukiwa na umri wa week mbili.

Na 'Yara Vita Nitrabor' ni booster ya MAUA, yaani kubusti maua mengi na kuyashikilia. Hii huwekwa wakati wa vitumba vya maua.

Kwakweli maelezo yake hayo yalinikanganya. Mie nilikuwa najua kuwa hiyo Yara Tracel Biz ni booster ya MAUA (both starter & finisher). Yeye anasema ni booster ya MAJANI.

Mkuu niweke sawa kwenye hizo concerns. Maana haya maduka ya pembejeo maeneo ya huku kwetu wanaweka wauzaji wasio na taaluma kwenye masuala haya. Wanauzia uzoefu tu.

Ahsante

-Kaveli-
 
Kaveli
karibu kiongozi

Pia nimejifunza kuwa kwenye kupandia, Phosphorus inahitajika kwa wingi. Kwenye kukuzia, Nitrogen inahitajika kwa wingi. =UKO SAWA KABISA, NA KWA NYONGEZA TU. WAKATI WA MATUNDA, Potassium(K) kwa mbolea za chini (Za kuweka kuzunguka shina) na Calcium hutakiwa sana ili kunenepesha matunda, au mazao yenye bulb, kama kitunguu etc, na booster zenye Nitrogen, Zinc na Boron hutakiwa sana wakati wa maua na matunda.

Naomba your more remarks kwenye mambo yafuatayo:

1. Kwenye mbolea ya KUPANDIA... ipi ni the best kati ya DAP, SAMADI KUKU, NPK, na YARA MILLER WINNER?
=Kwa mbolea za asili, Samadi (ya kuku, mbuzi, ng'ombe) ni nzuri sana=TATIZO LA HIZO MBOLEA ZA ASILI NI SLOW NUTRIENT RELISER-Yaani zinachukua muda mrefu sana kuanza kuachia virutubisho kwa mmea (3-6 months), ni nzuri sana hushikamanisha udongo, huongeza rutuba, na husaidia udongo kuhold maji kwa muda mrefu etc. Kama utapenda kutumia samadi, ziweke shambani 3 months kabla ya kupanda. Kwa mbolea za viwandani DAP, AU MAP ni nzuri sana coz zina Phosphorus kwa wingi, lakini na zinafanya kazi haraka.LAKINI pia unaweza weka DAP/MAP wakati wa ku[anda hata kama shamba ulishaweka samadi, ili kusaidia kuupa mmea lishe haraka. SAMADI YA KUKU, niz nzuri sana ina P-Phosphorus na Nitrogen (N) kwa wingi, ila inajoto sana , iweke mapema shambano, na hakikisha unaimwagia maji ili ipoe kabla ya kupanda, otherwise, itachoma mazao yote, ni kama Urea tu, ukiiweka kama hakuna maji, itachoma mimea, maana itadrain maji toka kwenye mmea

2. Kwenye mbolea ya KUKUZIA... ipi ni the best kati ya UREA, NPK, na YARA MILLER WINNER? =YARA MILLER JAVA na NPK (20:10:10-Ambayo namba ya kwanza kati ya yale makundi ya namba, sharti namba ya kwanza iwe kubwa kuliko hizo 2). Hizi ni nzuri zaidi. UREA, ni nzuri ila kama hauna maji, itachoma mimea yote.

3. Sasa for my case... Nilipandia samadi ya kuku pekee. Mmea unaanza week ya tatu. Shina la mmea sio imara, shina nyembamba (labda kwavile bado umri mdogo). Pia mmea hauna green iliyokolea vizuri (labda kwasababu mvua nyingi). Hivyo, niweke mbolea ipi kati ya zifuatazo kwa ajili ya KUKUZIA ? :

- Urea
-NPK 17 17 17=TUMIA HII
-NPK 20 10 10=UKIIKOSA HIYO TUMIA HII, ILA NPK (17:17:17) itakufaa zaidi, coz inaonekana hata Phosphorus haipo ya kutosha thats why mmea hauna shina imara, na N-Nitrogen pia ipo kidogo, ndio maana hakuna green ya kutosha. NA KUMBUKA mizizi imara na Shina Imara, kwa mmea, ni sawa na Msingi Imara kwenye nyumba,other wise kwa mmea utapata shida huko mbele wakati wa maua na mtunda.
-YARA MILLER WINNER (nadhani ratio yake ni 15:9:20).

4. Kuhusu Boosters. Juzi nilienda kutafuta mbolea kwa agent wa YARA company. Nikapata mkanganyiko kidogo. Yule mhudumu alinambia kuwa 'Yara Miller tracel biz' ni booster ya MAJANI, yaani kuweka green (kijanikiwiti) kwenye mmea. Hii huwekwa wakati mmea ukiwa na umri wa week mbili.

Na 'Yara Vita Nitrabor' ni booster ya MAUA, yaani kubusti maua mengi na kuyashikilia. Hii huwekwa wakati wa vitumba vya maua.

Kwakweli maelezo yake hayo yalinikanganya. Mie nilikuwa najua kuwa hiyo Yara Tracel Biz ni booster ya MAUA (both starter & finisher). Yeye anasema ni booster ya MAJANI.

Mkuu niweke sawa kwenye hizo concerns. Maana haya maduka ya pembejeo maeneo ya huku kwetu wanaweka wauzaji wasio na taaluma kwenye masuala haya. Wanauzia uzoefu tu.

YARA VITA TRACEL BZ

upload_2017-5-7_21-48-2.png

=INA KIWANGO KIKUBWA YA PHOSPHORUS=7.5%, ZINGINE KAMA NITROGEN,ZINC , BORON ETC, NI 5%, KWA HIYO UNAWEZA ITUMIA ANY TIME, KAMA STARTER (KWA SABABU YA NITROGEN NA ZINC NA BORON-ILI KULETA MAUA MENGI, NA KUCHNGAMSHA MMEA) AU PIA AS FINISHER ( KWA SABABU KUNA PHOSPHORUS, NA POTASSIUM, ZINC NA BORON KWA AJILI YA KUIMARISHA MATUNDA). LAKINI ZIPO FINISHER AMBAZO ZINA POTASSIUM KW WINGI ZAIDI KAMA VILE MULTI K, AU POLYFEED FINISHER

YARA NITRABOR, NI SAWA NA CAN YA KAWAIDA,
upload_2017-5-7_22-1-16.png

ISIPOKUWA HII YARA NITRABOR ( INA NITROGEN TOTAL 15%, NA Calcium=25.6%, na BORON 0.3%). INAYEYUKA HARAKA, NA IKO BA BORONI KIDOGO NDANI YAKE, NINAVYOJUA MIMI, HII HUWA TUNAIWEKA KATIKA MIZIZI, ILI KUSAIDIA KUIMARISHA GANDA LA TUNDA, NA KUNENEPESHA MATUNDA KAMA MATIKITI,AU VIAZI, AU KITUNGUU KAZI AMBAYO HUFANYWA NA Calcium (Ca) ETC



NB: UKIWA UNAPATA MUDA UWE UNAPITIA UZI WANGU MKUU: UNA MAMBO MENGI SANA AMBAYO BAADHI UMEKUWA UKIULIZA
Je, unataka kulima mazao ya mbogamboga na matunda lakini unakosa maarifa sahihi?? Karibu tushauriane


KILA LAKHERI

======================


kilimomaarifa.tajiri, thanks a lot mkuu. Umenijenga vyema na sasa naanza kuelewa mambo ya kuzingatia. Hasa kwenye madawa ya wadudu, nimeelewa vyema sana. Pia nimejifunza kuwa kwenye kupandia, Phosphorus inahitajika kwa wingi. Kwenye kukuzia, Nitrogen inahitajika kwa wingi.

Naomba your more remarks kwenye mambo yafuatayo:

1. Kwenye mbolea ya KUPANDIA... ipi ni the best kati ya DAP, SAMADI KUKU, NPK, na YARA MILLER WINNER?

2. Kwenye mbolea ya KUKUZIA... ipi ni the best kati ya UREA, NPK, na YARA MILLER WINNER?

3. Sasa for my case... Nilipandia samadi ya kuku pekee. Mmea unaanza week ya tatu. Shina la mmea sio imara, shina nyembamba (labda kwavile bado umri mdogo). Pia mmea hauna green iliyokolea vizuri (labda kwasababu mvua nyingi). Hivyo, niweke mbolea ipi kati ya zifuatazo kwa ajili ya KUKUZIA ? :

- Urea
-NPK 17 17 17
-NPK 20 10 10
-YARA MILLER WINNER (nadhani ratio yake ni 15:9:20).

4. Kuhusu Boosters. Juzi nilienda kutafuta mbolea kwa agent wa YARA company. Nikapata mkanganyiko kidogo. Yule mhudumu alinambia kuwa 'Yara Miller tracel biz' ni booster ya MAJANI, yaani kuweka green (kijanikiwiti) kwenye mmea. Hii huwekwa wakati mmea ukiwa na umri wa week mbili.

Na 'Yara Vita Nitrabor' ni booster ya MAUA, yaani kubusti maua mengi na kuyashikilia. Hii huwekwa wakati wa vitumba vya maua.

Kwakweli maelezo yake hayo yalinikanganya. Mie nilikuwa najua kuwa hiyo Yara Tracel Biz ni booster ya MAUA (both starter & finisher). Yeye anasema ni booster ya MAJANI.

Mkuu niweke sawa kwenye hizo concerns. Maana haya maduka ya pembejeo maeneo ya huku kwetu wanaweka wauzaji wasio na taaluma kwenye masuala haya. Wanauzia uzoefu tu.

Ahsante

-Kaveli-[/QUOTE]
 
Mbegu nilinunua kg 500 ukinunua wakati wa mavuno utapata kwa 1200@kg so inakuwa laki 6 na dawa nilitumia laki 2 na palizi ilikuwa laki 1,5 pamoja na umwagiliaji, msimamizi nlikuwa simlipi direct yeye nlikuwa namsaidia kumnununilia dawa ktk shamba lake ambalo liko karibu na la kwangu, so cost ikawa laki 1.5 ukiongezea na laki 3.5 hapo juu unapata laki 5 .Kuhusu mkoa ni Manyara maeneo ya Bashay wilaya ya Mbulu
Shukrani kwa mrejesho mkuu ila hii hesabu ya gharama zilizotumika naona haijakaa sawa, ukijumlisha kwa mujibu wa vitu ulivvyo orodhessha hapo juu.
Tsh.1,000,000/ kukodi shamba
Tsh.600,000/ mbegu
Tsh.200,000/ dawa
Tsh.150,000y palizi na umwagiliaji
JUMLA KUU ni Tsh.1.95 million.

Please make some clarification on this ili tunufaike wote.Shukrani
 
mkuu samahani ila mimi nahisi huyu bwana ni muongo na maetudanganya ndio maana ameshindwa kujibu maswali yenu kitaalamu. huwez lima kitunguu ukamuachia kijana. hilo ni ziroo kabisaa. nakijua saana kitunguu both maji na saumu. jamaa awaeleze vizur maana kuna maandalizi kibao saana kuanzia kitaluni mpaka shambani.

anya way nikirudi kwaako, siku hizi tunatumia mbegu zilizoboreshwa {F1} na mbegu hizi ndio maana zinatuhitaji kutumia mbolea za dukani pamoja na madawa yaake. hiii itatusaidia kupata maximu profit. siku nikipata muda nitawaeleza kiundani zaid kuhusu vitunguuu saum na vitunguu maji
Mkuu bado tu hujapata mda uje utupe darasa?
 
anaweza akawa anahoja nzuri ila ameshindwa kuchanganua vizuri garama. me ni nalima pia lakini hizo garama sio.

mbulu kukodi shamb 1,000,000 kwa miaka miwili ulienda na mzungu nini?

kuna vigarama vingi sana umeviacha
 


kilimomaarifa.tajiri, thanks a lot mkuu. Umenijenga vyema na sasa naanza kuelewa mambo ya kuzingatia. Hasa kwenye madawa ya wadudu, nimeelewa vyema sana. Pia nimejifunza kuwa kwenye kupandia, Phosphorus inahitajika kwa wingi. Kwenye kukuzia, Nitrogen inahitajika kwa wingi.

Naomba your more remarks kwenye mambo yafuatayo:

1. Kwenye mbolea ya KUPANDIA... ipi ni the best kati ya DAP, SAMADI KUKU, NPK, na YARA MILLER WINNER?

2. Kwenye mbolea ya KUKUZIA... ipi ni the best kati ya UREA, NPK, na YARA MILLER WINNER?

3. Sasa for my case... Nilipandia samadi ya kuku pekee. Mmea unaanza week ya tatu. Shina la mmea sio imara, shina nyembamba (labda kwavile bado umri mdogo). Pia mmea hauna green iliyokolea vizuri (labda kwasababu mvua nyingi). Hivyo, niweke mbolea ipi kati ya zifuatazo kwa ajili ya KUKUZIA ? :

- Urea
-NPK 17 17 17
-NPK 20 10 10
-YARA MILLER WINNER (nadhani ratio yake ni 15:9:20).

4. Kuhusu Boosters. Juzi nilienda kutafuta mbolea kwa agent wa YARA company. Nikapata mkanganyiko kidogo. Yule mhudumu alinambia kuwa 'Yara Miller tracel biz' ni booster ya MAJANI, yaani kuweka green (kijanikiwiti) kwenye mmea. Hii huwekwa wakati mmea ukiwa na umri wa week mbili.

Na 'Yara Vita Nitrabor' ni booster ya MAUA, yaani kubusti maua mengi na kuyashikilia. Hii huwekwa wakati wa vitumba vya maua.

Kwakweli maelezo yake hayo yalinikanganya. Mie nilikuwa najua kuwa hiyo Yara Tracel Biz ni booster ya MAUA (both starter & finisher). Yeye anasema ni booster ya MAJANI.

Mkuu niweke sawa kwenye hizo concerns. Maana haya maduka ya pembejeo maeneo ya huku kwetu wanaweka wauzaji wasio na taaluma kwenye masuala haya. Wanauzia uzoefu tu.

Ahsante

-Kaveli-[/QUOTE]
mkuu una uchambuzi murua sana,,mm sijawahi kulima bamia ila maelezo yako yamenifunza vitu vingi sana, Ahsante sana

mm natarajia kulima mihogo huko vigwaza mkoa wa pwani mwishon mwa mwaka huu,natumai mchango wako wa mawazo utahusika pia mana nitaleta mrejesho mkuu
Kaveli
karibu kiongozi

Pia nimejifunza kuwa kwenye kupandia, Phosphorus inahitajika kwa wingi. Kwenye kukuzia, Nitrogen inahitajika kwa wingi. =UKO SAWA KABISA, NA KWA NYONGEZA TU. WAKATI WA MATUNDA, Potassium(K) kwa mbolea za chini (Za kuweka kuzunguka shina) na Calcium hutakiwa sana ili kunenepesha matunda, au mazao yenye bulb, kama kitunguu etc, na booster zenye Nitrogen, Zinc na Boron hutakiwa sana wakati wa maua na matunda.

Naomba your more remarks kwenye mambo yafuatayo:

1. Kwenye mbolea ya KUPANDIA... ipi ni the best kati ya DAP, SAMADI KUKU, NPK, na YARA MILLER WINNER?
=Kwa mbolea za asili, Samadi (ya kuku, mbuzi, ng'ombe) ni nzuri sana=TATIZO LA HIZO MBOLEA ZA ASILI NI SLOW NUTRIENT RELISER-Yaani zinachukua muda mrefu sana kuanza kuachia virutubisho kwa mmea (3-6 months), ni nzuri sana hushikamanisha udongo, huongeza rutuba, na husaidia udongo kuhold maji kwa muda mrefu etc. Kama utapenda kutumia samadi, ziweke shambani 3 months kabla ya kupanda. Kwa mbolea za viwandani DAP, AU MAP ni nzuri sana coz zina Phosphorus kwa wingi, lakini na zinafanya kazi haraka.LAKINI pia unaweza weka DAP/MAP wakati wa ku[anda hata kama shamba ulishaweka samadi, ili kusaidia kuupa mmea lishe haraka. SAMADI YA KUKU, niz nzuri sana ina P-Phosphorus na Nitrogen (N) kwa wingi, ila inajoto sana , iweke mapema shambano, na hakikisha unaimwagia maji ili ipoe kabla ya kupanda, otherwise, itachoma mazao yote, ni kama Urea tu, ukiiweka kama hakuna maji, itachoma mimea, maana itadrain maji toka kwenye mmea

2. Kwenye mbolea ya KUKUZIA... ipi ni the best kati ya UREA, NPK, na YARA MILLER WINNER? =YARA MILLER JAVA na NPK (20:10:10-Ambayo namba ya kwanza kati ya yale makundi ya namba, sharti namba ya kwanza iwe kubwa kuliko hizo 2). Hizi ni nzuri zaidi. UREA, ni nzuri ila kama hauna maji, itachoma mimea yote.

3. Sasa for my case... Nilipandia samadi ya kuku pekee. Mmea unaanza week ya tatu. Shina la mmea sio imara, shina nyembamba (labda kwavile bado umri mdogo). Pia mmea hauna green iliyokolea vizuri (labda kwasababu mvua nyingi). Hivyo, niweke mbolea ipi kati ya zifuatazo kwa ajili ya KUKUZIA ? :

- Urea
-NPK 17 17 17=TUMIA HII
-NPK 20 10 10=UKIIKOSA HIYO TUMIA HII, ILA NPK (17:17:17) itakufaa zaidi, coz inaonekana hata Phosphorus haipo ya kutosha thats why mmea hauna shina imara, na N-Nitrogen pia ipo kidogo, ndio maana hakuna green ya kutosha. NA KUMBUKA mizizi imara na Shina Imara, kwa mmea, ni sawa na Msingi Imara kwenye nyumba,other wise kwa mmea utapata shida huko mbele wakati wa maua na mtunda.
-YARA MILLER WINNER (nadhani ratio yake ni 15:9:20).

4. Kuhusu Boosters. Juzi nilienda kutafuta mbolea kwa agent wa YARA company. Nikapata mkanganyiko kidogo. Yule mhudumu alinambia kuwa 'Yara Miller tracel biz' ni booster ya MAJANI, yaani kuweka green (kijanikiwiti) kwenye mmea. Hii huwekwa wakati mmea ukiwa na umri wa week mbili.

Na 'Yara Vita Nitrabor' ni booster ya MAUA, yaani kubusti maua mengi na kuyashikilia. Hii huwekwa wakati wa vitumba vya maua.

Kwakweli maelezo yake hayo yalinikanganya. Mie nilikuwa najua kuwa hiyo Yara Tracel Biz ni booster ya MAUA (both starter & finisher). Yeye anasema ni booster ya MAJANI.

Mkuu niweke sawa kwenye hizo concerns. Maana haya maduka ya pembejeo maeneo ya huku kwetu wanaweka wauzaji wasio na taaluma kwenye masuala haya. Wanauzia uzoefu tu.

YARA VITA TRACEL BZ

View attachment 505951
=INA KIWANGO KIKUBWA YA PHOSPHORUS=7.5%, ZINGINE KAMA NITROGEN,ZINC , BORON ETC, NI 5%, KWA HIYO UNAWEZA ITUMIA ANY TIME, KAMA STARTER (KWA SABABU YA NITROGEN NA ZINC NA BORON-ILI KULETA MAUA MENGI, NA KUCHNGAMSHA MMEA) AU PIA AS FINISHER ( KWA SABABU KUNA PHOSPHORUS, NA POTASSIUM, ZINC NA BORON KWA AJILI YA KUIMARISHA MATUNDA). LAKINI ZIPO FINISHER AMBAZO ZINA POTASSIUM KW WINGI ZAIDI KAMA VILE MULTI K, AU POLYFEED FINISHER

YARA NITRABOR, NI SAWA NA CAN YA KAWAIDA,
View attachment 505954
ISIPOKUWA HII YARA NITRABOR ( INA NITROGEN TOTAL 15%, NA Calcium=25.6%, na BORON 0.3%). INAYEYUKA HARAKA, NA IKO BA BORONI KIDOGO NDANI YAKE, NINAVYOJUA MIMI, HII HUWA TUNAIWEKA KATIKA MIZIZI, ILI KUSAIDIA KUIMARISHA GANDA LA TUNDA, NA KUNENEPESHA MATUNDA KAMA MATIKITI,AU VIAZI, AU KITUNGUU KAZI AMBAYO HUFANYWA NA Calcium (Ca) ETC



NB: UKIWA UNAPATA MUDA UWE UNAPITIA UZI WANGU MKUU: UNA MAMBO MENGI SANA AMBAYO BAADHI UMEKUWA UKIULIZA
Je, unataka kulima mazao ya mbogamboga na matunda lakini unakosa maarifa sahihi?? Karibu tushauriane


KILA LAKHERI

======================



kilimomaarifa.tajiri, thanks a lot mkuu. Umenijenga vyema na sasa naanza kuelewa mambo ya kuzingatia. Hasa kwenye madawa ya wadudu, nimeelewa vyema sana. Pia nimejifunza kuwa kwenye kupandia, Phosphorus inahitajika kwa wingi. Kwenye kukuzia, Nitrogen inahitajika kwa wingi.

Naomba your more remarks kwenye mambo yafuatayo:

1. Kwenye mbolea ya KUPANDIA... ipi ni the best kati ya DAP, SAMADI KUKU, NPK, na YARA MILLER WINNER?

2. Kwenye mbolea ya KUKUZIA... ipi ni the best kati ya UREA, NPK, na YARA MILLER WINNER?

3. Sasa for my case... Nilipandia samadi ya kuku pekee. Mmea unaanza week ya tatu. Shina la mmea sio imara, shina nyembamba (labda kwavile bado umri mdogo). Pia mmea hauna green iliyokolea vizuri (labda kwasababu mvua nyingi). Hivyo, niweke mbolea ipi kati ya zifuatazo kwa ajili ya KUKUZIA ? :

- Urea
-NPK 17 17 17
-NPK 20 10 10
-YARA MILLER WINNER (nadhani ratio yake ni 15:9:20).

4. Kuhusu Boosters. Juzi nilienda kutafuta mbolea kwa agent wa YARA company. Nikapata mkanganyiko kidogo. Yule mhudumu alinambia kuwa 'Yara Miller tracel biz' ni booster ya MAJANI, yaani kuweka green (kijanikiwiti) kwenye mmea. Hii huwekwa wakati mmea ukiwa na umri wa week mbili.

Na 'Yara Vita Nitrabor' ni booster ya MAUA, yaani kubusti maua mengi na kuyashikilia. Hii huwekwa wakati wa vitumba vya maua.

Kwakweli maelezo yake hayo yalinikanganya. Mie nilikuwa najua kuwa hiyo Yara Tracel Biz ni booster ya MAUA (both starter & finisher). Yeye anasema ni booster ya MAJANI.

Mkuu niweke sawa kwenye hizo concerns. Maana haya maduka ya pembejeo maeneo ya huku kwetu wanaweka wauzaji wasio na taaluma kwenye masuala haya. Wanauzia uzoefu tu.

Ahsante

-Kaveli-
[/QUOTE]
 
Kwa makusudi mazima kabisa,nakuomba ukipata muda uandike upya huo mrejesho wako bila kukosa taarifa muhimu kama.

1.Huota baada ya muda gani kupandwa?
2.Kwa kutegemea mvua kama chanzo cha maji,ni ipi miezi mizuri ya kupanda?
3.Step za uhudumiaji kwa kupiga madawa na amount yake
4.Mbolea gani na kiasi gani itahitajika.
n.k
Ila nina swali la kipekee,je,kwa maeneo yenye udongo wa tifutifu na ni milimani na mvua hunyesha kuanzia NOVEMBA-MEI/JUNI,zao hilo litastawi?
Ahsante.
Kiujumla angeweka cost benefit analysis na master plan ingekaa vizuri
 
Sasa izo milion saba ni pesa za kujisifia na wewe. Nikiigawa kwa miezi mitano ni kama vile ulikuwa unafanyia m1 kwa mwezi. Sasa unajisifu kupata m1 kwa mwezi. Au ulikuwa hujashika pesa ya namna iyo.

Wewe kwanza muongo tu. Upo hapa unajikanyaga kanyaga tu. Mara nilikodi shamba ka m1, mara nililipa msimamizi laki tano jumla 1.5 ndyo cost. Huoni hata aibu. Cost za mbegu, umwagiliaji, uandaaji wa shamba, mbolea, vibarua, ulinzi etc umemuachia nani.

Nyie ndyo tunawaitaga wakulima wa internet.
You clicked on the point
 
mkuu tindo,
hapo engosheraton mashamba huwaga bei gani kwa hili zao la vitunguu? na wanalima mwez gani sabab mvua za arusha nazo ni changamoto

Wanafanya kuanzia 250,000 - 300,000@ heka kwa msimu. Kilimo chake kinaanzia mwezi wa 4 mpaka wa 11. Huwa wanamwagilia kwa mfereji. Shida ni moja hasa wakati wa soko kwani vitunguu vingi huwa vinakuja toka eneo la Mang'ola, hivyo bei hushuka sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom