Salaam
Kama unaitaji kununua kitunguu, nenda Lumuma, hata upeleke semi 10 zitajaa kwa wakati mmoja.
Lumuma ni kijiji kinachopatikana wilaya ya Kilosa kwa upande wa Morogoro na Mpwapwa upande wa Dodoma, yaani kipo mpakani.
Sasa hapa kijijini kuna bonde kubwa lenye acres za kutosha, linatumika kwa kilimo cha vitunguu,,
Mteja wangu ambaye nilienda kumchimbia kisima nyumban kwake ni mkulima ananidadavulia kuwa bonde hilo wanalima kitunguu mwaka mzima, chanzo cha maji ni kijimto na mifereji inapitisha maji kutoka kwenye chemchem milimani huko inatililika mwaka mzima bila kujali majila.
Kufika Lumuma ni rahisi sana, ukitokea morogoro mjini, gari zipo hadi Lumuma, ukitokea Dodoma mjini pia zipo gari hadi Lumuma.
Kama unaitaji kununua kitunguu, nenda Lumuma, hata upeleke semi 10 zitajaa kwa wakati mmoja.
Siku njema.
👇
Video
Kama unaitaji kununua kitunguu, nenda Lumuma, hata upeleke semi 10 zitajaa kwa wakati mmoja.
Lumuma ni kijiji kinachopatikana wilaya ya Kilosa kwa upande wa Morogoro na Mpwapwa upande wa Dodoma, yaani kipo mpakani.
Sasa hapa kijijini kuna bonde kubwa lenye acres za kutosha, linatumika kwa kilimo cha vitunguu,,
Mteja wangu ambaye nilienda kumchimbia kisima nyumban kwake ni mkulima ananidadavulia kuwa bonde hilo wanalima kitunguu mwaka mzima, chanzo cha maji ni kijimto na mifereji inapitisha maji kutoka kwenye chemchem milimani huko inatililika mwaka mzima bila kujali majila.
Kufika Lumuma ni rahisi sana, ukitokea morogoro mjini, gari zipo hadi Lumuma, ukitokea Dodoma mjini pia zipo gari hadi Lumuma.
Kama unaitaji kununua kitunguu, nenda Lumuma, hata upeleke semi 10 zitajaa kwa wakati mmoja.
Siku njema.
👇
Video