HONOURABLE PETER
Member
- Jul 8, 2019
- 21
- 30
Wataalamu wa kilimo cha vitunguu maji naomba uelewa juu ya kilimo hicho maana nimepitapita vijiji vya mkoani Tabora nikakutana na zao hili.
Naomba somo, soko na biashara yake ilivyo!
Naomba somo, soko na biashara yake ilivyo!