Asiyefanya kazi na asile, ndiyo neno sahihi hapa hilo uliloliweka haliendani na maudhui.
Kumbuka habari ya Isaka kuchimba visima kwa umwagiliaji na ufugaji enzi hizo na huyu ni mtoto wa ahadi. Maombi bila matendo ni zero.
you need a revelation to understand that word!
to help you: biblia inaposema utafuteni kwanza ufalme wa Mungu na haki yake na hivi vyote mtazidishiwa
kwanza unatakiwa uelewe; ufalme wa mbinguni nini? na kuutafuta ufalme wa mbinguni ni kufanya nini?
ufalme wa mbinguni ni ule ufalme wa Mungu Muumba wa mbingu na nchi, kumbuka kuna ufalme wa kuzimu,wa shetani
kuutafuta ufalme wa mbinguni ni kujitoa katika ukuaji wa ufalme wa mbinguni hapa duniani,
tunajitoaje katika ukuaji wake?
kupitia kuombea watu kuokoka,kushuhudia watu waokoke,kuchangia katika ueneaji wa injili kwa nguvu,akili,na mali zetu,
ukuaji wa ufalme wa mbinguni ni injili kuenea na kuwafikia watu wengi zaidi na kuwatoa kutoka kwenye ufalme wa mbinguni
Yesu alitufundisha namna ya kuomba ktk Mathayo6:9-15
9In this manner,therefore,pray: Our Father in heaven, hallowed be thy name
10 Your kingdom come.......
watu wengi hawajui kuomba, ndio maana maombi hayajibiwi,Ni lazima uombee ufalme wa mbinguni kwanza kabla ya kuleta maombi yako, kwa maelekezo zaidi kuhusu namna ya kuomba kutokana na jinsi Yesu alivyofundisha nitafute
kwahiyo, biblia inaposema kuutafuta ufalme wa mbinguni kwanza haimaanishi usifanye kazi, bali kazi uifanyayo iwe kwaajili ya ukuaji wa ufalme wake, then utapokea baraka zake kupitia kazi yako,maana kazi yako inamtukuza yeye na inasaidia ukuaji wa injili yake
MF:unapoomba Mungu akupatie Pesa, mke nk...Ili isaidie nini kwenye ufalmewake? hujaona watu wanapata pesa wanakuwa walevi wa kutupwa na kufa? wengine wamepata wake kwa hisia zao wamepata stress mpaka wamejiua!
Lakini unapoomba unamwambia Mungu, naomba ubariki kazi ya mikono yako ili nikutumikie kwa pesa zako katika kuupeleka mbele ufalme wako au nipatie mke mwema ili niweze kukutumikia wewe nikiwa nae! God will answer you immediately according to His time
This is the mystery of the kingdom of God
It is a revelation
Note: This is not applicable to anyone who is not righteous before God
halafu hiyo sijaweka hapo, ni signature yangu, ila pata mafunuo hayo
msweet nadhani na wewe umeelewa sasa