Young Philosopher
Member
- Apr 10, 2012
- 32
- 2
"Success requires sacrifice":bathbaby:
Gharama nilizoingia wakati nalima
Activity Elaborations Calculations Acre 1 Acre 2 Acre 3 Kukodi 250000*1 250000 500000 750000 Kutifua 100000*1 100000 200000 300000 Arrow 70000*1 70000 140000 210000 Kutengeneza majaruba 600*100 60000 120000 180000 Kupanda 500*100 50000 100000 150000 Mbolea 70000*2 140000 280000 420000 Mbegu 30000*7 210000 420000 630000 Dawa Majani (Megasate) 20000*3 60000 120000 180000 Wadudu (Profecron) 20000*3 60000 120000 180000 Kumwagilia 200000*1 200000 400000 600000 Palizi (Kupiga Godi) 700*100 70000 140000 210000 Palizi ya Pili 700*100 70000 140000 210000 Mlinzi 700000*1 700000 700000 700000 Kung'olea 600*100 60000 120000 180000 Kukata Majani 700*100 70000 140000 210000 My travel costs 100000*5 500000 500000 500000 Emergency 500000 700000 900000 Total 3170000 4840000 6510000
Mkuu Bavaria, naomba umalizie pia hapo... kwa kila Ekari moja unaweza kupata kilo Ngapi kwa makadirio? Na mapato pia kwa bei ya soko ikoje? Pia hizi details ni maeneo gani?
Shukrani mkuu kwa details nzuri.
Kaka tafadhali naomba kupata namba yako nipate maelezo zaidi. Namba yangu ni 0767 235923.
Niulize hapahapa tu mkuu, hakuna maneno.
Kwanza, linitaka kujua hizo data ulizotoa hapo ni kwa maeneo gani. Mfano gharama ya kukodi shamba hope inaweza kuvary kutokana eneo na eneo... mimi nataka kufanya Kilosa.
Pili, gharama ya unwagiliaji hiyo inahusisha pump za kusukuma maji au aina gani ya umwagiliaji inatumika?
Tatu, ulisema Akari 1 inatoa gunia 70 - 100. Je, gunia moja linakuwa na Kg ngapi? Au mauzo yanafanyika kwa Gunia? If yes bei zikoje za shamba aitha kwa Kg au gunia?
Okay hizo ni gharama ambazo nilikutana nazo mimi binafsi nililima ruaha mbuyuni. Nimeweka hapo ili upate overview ya gharama zote, ndio zinaweza kubadilika kutoka eneo moja kwenda jingine.
Pia umwagiliaji ilikuwa wa pump ila wewe ukipata eneo ambalo lipo karibu na maji ni sawa tu kupunguza gharama. Yani sio lazima gharama zako ziwe sawa na hizo, zinaweza kuzidi au kupungua.
Gunia haliuzwi kwa KG, wanauza as gunia, na bei pia inategemea na msimu na mavuno kwa kipindi hiko.
Kuna wakati gunia linaweza kufika hadi 40,000 au 120,000 kutegemea na muda uliovuna.
Sijui nimekujibu kama unavyotaka?
Naomba kujuzwa gharama za kilimo cha vitunguu kwa heka moja wadau, kwa Iringa na Kilimanjaro
Nawasilisha
Yeah nimekuelewa vzr kabisa na umejibu vyema. May be nijui upi msimu mzuri wa kulima ili kuweza kuvuna katika kipindi ambacho bei inakuwa iko juu??!
Habari zenu wana "U"?
Naomba mwenye uzoefu wa kilimo cha vitunguu maeneo ya iringa. Mimi nasoma tumaini iringa 2nd year, nataka nitumie boom lang kwa ujasiliamali coz Maisha sahv ni very tight.
Sasa, nataka nijue wapi shamba linapatikana maeneo gani na gharama kwa hekalu moja kwanza.
Mwaweza nisaidia pia na masomo yake.