napenda
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 485
- 90
Petroli ni kwa ajili ya hizo water pump, haimwagiliwi direct kwenye vitunguu
Nimecheka sana , nazani anauliza matumizi kwa siku inakuaje
Petroli ni kwa ajili ya hizo water pump, haimwagiliwi direct kwenye vitunguu
Milioni moja?
Inategemea unalimia wapi?
Inategemea umwagiliaji kwa pampu au mifereji au mvua
Uzoefu wangu huku Kilosa huu:
Mbegu lita 7 kwa ekari @ 25,000/= jumla 175,000/=
Kuandaa kitalu 20,000/=
Kusia mbegu 10,000/=
kutunza kitalu 30,000/=
kukodi shamba 100,000/=
kufyeka shamba 48,000/=
kukatua udongo 64,000/=
kulainisha udongo 48,000/=
kutengeneza majaruba 25,000/=
kupandikiza 160,000/=
dawa ya kuua magugu 40,000/=
palizi mara mbili 100,000/=
Mbolea mifuko mitatu 210,000/=
Mtu wa kuweka mbolea mara mbili 10,000/=
madawa kuua wadudu na magonjwa 50,000/=
mpiga dawa wiki kumi 50,000/=
kung'oa 50,000/=
kukata vitunguu gunia mia 200,000/=
usafiri 100,000/=
chanja kukodi 100,0000
umwagiliaji petrol 2500 x lita 5 x wiki 10 = 125,000/=
mtu wa kumwagilia 5000 x wiki 10 = 50,000
JUMLA KUU = 1,855,000/=
Kwa wastani ni mil 2
Activity | Elaborations | Calculations | Acre 1 | Acre 2 | Acre 3 |
Kukodi | 250000*1 | 250000 | 500000 | 750000 | |
Kutifua | 100000*1 | 100000 | 200000 | 300000 | |
Arrow | 70000*1 | 70000 | 140000 | 210000 | |
Kutengeneza majaruba | 600*100 | 60000 | 120000 | 180000 | |
Kupanda | 500*100 | 50000 | 100000 | 150000 | |
Mbolea | 70000*2 | 140000 | 280000 | 420000 | |
Mbegu | 30000*7 | 210000 | 420000 | 630000 | |
Dawa | Majani (Megasate) | 20000*3 | 60000 | 120000 | 180000 |
Wadudu (Profecron) | 20000*3 | 60000 | 120000 | 180000 | |
Kumwagilia | 200000*1 | 200000 | 400000 | 600000 | |
Palizi (Kupiga Godi) | 700*100 | 70000 | 140000 | 210000 | |
Palizi ya Pili | 700*100 | 70000 | 140000 | 210000 | |
Mlinzi | 700000*1 | 700000 | 700000 | 700000 | |
Kung'olea | 600*100 | 60000 | 120000 | 180000 | |
Kukata Majani | 700*100 | 70000 | 140000 | 210000 | |
My travel costs | 100000*5 | 500000 | 500000 | 500000 | |
Emergency | 500000 | 700000 | 900000 | ||
Total | 3170000 | 4840000 | 6510000 |
Muda muafaka wakati was mvua usie JAn Feb pandikiza March Aptil panbana na magonjwa vuna June July faidi bei kubwa!!!Muda muafaka kulima ni miezi gani na vinachukua muda gani toka kupanda hadi kukomaa??
Naomba kujulishwa Mrejesho Nyuma, feed bac Kwa mtu aiyewahi kulima vitunguu mkuranga maeneo Ya Mkuranga Cc Malila
Nashkuru sana mkuu nikipata hizo Taarifa...Kweli niliwahi kuviona vitunguu pale Shungubweni, Hocet sec school, red indian, ila sikuchukua taarifa muhimu za mavuno yao. Nitafuatilia mkuu.
Bei Ya Kariakoo Sokoni ni Laki 40 Mpaka 35Vutunguu bei gani kwa sasa?
Preta, tafadhali njoo huku utoe ushauri!Naomba kufahamu namna ya kuandaa shamba la KITUNGUU ,pamoja na mbolea,madawa na wakati gani wa kuvitumia na au a gani ya mbegu!!(kilimo cha umwagiliaji)
Nategemea kupata ushauri toka kwenu!!
Asante
cheusimangala
Seconded.
Kijiji kinaitwa msosa to be precise. ni tarafa ya mahenge i think Wilaya ya Kilolo. Au ukiwa unatokea Dar kwenda Iringa opposite aljazeera hotel on your left. Kuna mifereji kabisa ya umwagiliaji. Nilikuwa huko last month, it's terrific, we nenda utapata mashamba ya kukodi and it pays.
Good luck.
Bei Ya Kariakoo Sokoni ni Laki 40 Mpaka 35
Mkuu sijaelewa hiyo laki 40 au ni laki 4 ? Kwa gunia
Ninafikiri alicho maanisha ni laki mmoja na elfu arobaini (140,000) mpaka laki mmoja na elfu thelathini na tano (135,000)