MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,496
- 8,734
Uko maeneo ya miinuko au mikoa ya baridi? Au mnadandia tu treni?Mbona taarifa haijakamilika.
Zitapatikana wapi?
Zitauzwa kwa bei gani?
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko maeneo ya miinuko au mikoa ya baridi? Au mnadandia tu treni?Mbona taarifa haijakamilika.
Zitapatikana wapi?
Zitauzwa kwa bei gani?
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unafikiri kila mtu ana simu ya kuperuzi?Information zipo. Muda mwingi una-google kupata umbea wa utelezi na uzushi. Wewe ni sample ya mass kubwa katika aina ya informations wanazoperuzi
Acha hadithi za kwenye vijiwe vya kahawaMafuta haya yamepigwa ban nchi nyingi .
Hayafai KWA afya , Yana kiwango Kubwa cha Erucic acid pia yanadumaza ukuaji europe walipiga ban mafuta haya 1956
Wewe unafikiri kila mtu ana simu ya kuperuzi?
Ndio. Ni za bwerere sana siku hizi. Mchina kazimwaga pwaaaa techno, itel, infix, n.k.Wewe unafikiri kila mtu ana simu ya kuperuzi?
Sasa sisi huku si tunasubiri ccm waweke kwenye ilani wanasiasa watuhimize kutekeleza!Hiyo video ina zaidi ya miaka 6..wakenya wanalima canola..leo hii info ndio tunaipata..aisee kweli ujamaa ni umasikini.
#MaendeleoHayanaChama
Nadhani anamaanisha watumiaji wa uhakika kwamba bidhaa itapata mzunguko wa haraka!Soko tena? Mafuta yake yako Madukani hada kwenye Super Market kubwa, au soko lipi unataka?
Tuwasiliane tuongee na Watu wa Sua- wao wana ujuzi wa kutuambia wapi Tanzania inastawi na ulimaji wake na isitoshe Morogoro kuna maeneo mengi yapo yanapatikana kwa kilimo karibu PM tuyajengeNimejaribu kufuatilia sijaona wala kusikia wapi Canola inalimwa hapa Tanzania.
Lakini nadhani upatilanaji mbegu siyo tatizo sana, nimeelekeza wadau wangu wanisakie huko Kenya. Ila najua kupitia Jamiiforums pia tunaweza kufanikiwa kuipata maana hapa tupo wadau wengi.
Maeneo ya Miinuko hasa maeneo wanako lima Ngano, Haihitaji SUA, mfano Arusha sio yote, Kilimanjaro sio yote, Manyara, Mbeya, Iringa, Njombe, wanaweza lima, Morogoro wapi unazungumzia? Msiforce mamboTuwasiliane tuongee na Watu wa Sua- wao wana ujuzi wa kutuambia wapi Tanzania inastawi na ulimaji wake na isitoshe Morogoro kuna maeneo mengi yapo yanapatikana kwa kilimo karibu PM tuyajenge
Unaposema sio maeneo yote- ulifanya Utafiti wa Kisayansi au Viroba ndo vinakupelekesha??Acha ujuwaji No research no right to speak! Unaposema Haihitaji SUA unamaanisha nini?? Unajuwa Sheria ya Mimea?? Unajua kuwa ni kosa kuingiza Mbegu bila kushirikisha Wizara ya Kilimo?? Unajua kwa Mfano Mbegu ya Miwa ya Kutengenezea Sukari ili Ipate kibali cha kulimwa hapa Nchini toka uombe na kuleta Sample yake inachukuwa miaka 10!Serikali ya Tanzania Kukupa Kibali chake- kitu kama ujui usikurupuke na kupayukaMaeneo ya Miinuko hasa maeneo wanako lima Ngano, Haihitaji SUA, mfano Arusha sio yote, Kilimanjaro sio yote, Manyara, Mbeya, Iringa, Njombe, wanaweza lima, Morogoro wapi unazungumzia? Msiforce mambo
Tupe research uliyofanya kuthibitisha haya unayosema.Uko maeneo ya miinuko au mikoa ya baridi? Au mnadandia tu treni?
So unaweza kulima mfano Kahawa Singida? Wabongo tunajifanyaga wabishi wakati information ziko wazi, sio kila kitu SUA infirmation ziko wazi, Kenya unajua wanako lima ni maeneo gani? Au wao no wajinga ndo hawajui? Wacha ujuaji wa kengeUnaposema sio maeneo yote- ulifanya Utafiti wa Kisayansi au Viroba ndo vinakupelekesha??Acha ujuwaji No research no right to speak! Unaposema Haihitaji SUA unamaanisha nini?? Unajuwa Sheria ya Mimea?? Unajua kuwa ni kosa kuingiza Mbegu bila kushirikisha Wizara ya Kilimo?? Unajua kwa Mfano Mbegu ya Miwa ya Kutengenezea Sukari ili Ipate kibali cha kulimwa hapa Nchini toka uombe na kuleta Sample yake inachukuwa miaka 10!Serikali ya Tanzania Kukupa Kibali chake- kitu kama ujui usikurupuke na kupayuka
hio iko wazi kuna Machapisho ya kutosha, kuhusu hili zao, sio zao geni, Basi kalime kule Bagamoyo then utarajie kuvuna make tumejawa ujuaji mbuzi sanaTupe research uliyofanya kuthibitisha haya unayosema.
#MaendeleoHayanaChama
We mjinga kweli, watu wanalima mbona Kula Arusha? Au Arusha ni nchi inayo jitegemea? Kuna vitu vingi vinalimwa ambavyo ni vigeni sana nenda kwenye Mashamba ya Wazungu uone watu wanalima mazao ya ajabu sana ambayo hujawahi yaona kokote kule.Unaposema sio maeneo yote- ulifanya Utafiti wa Kisayansi au Viroba ndo vinakupelekesha??Acha ujuwaji No research no right to speak! Unaposema Haihitaji SUA unamaanisha nini?? Unajuwa Sheria ya Mimea?? Unajua kuwa ni kosa kuingiza Mbegu bila kushirikisha Wizara ya Kilimo?? Unajua kwa Mfano Mbegu ya Miwa ya Kutengenezea Sukari ili Ipate kibali cha kulimwa hapa Nchini toka uombe na kuleta Sample yake inachukuwa miaka 10!Serikali ya Tanzania Kukupa Kibali chake- kitu kama ujui usikurupuke na kupayuka
Hao SUA wako wana impact gani katika nchi hii? au unazungumiza ule Ujirani mwema wa kuwasaidia vijiji vinavyo wazunguka?Unaposema sio maeneo yote- ulifanya Utafiti wa Kisayansi au Viroba ndo vinakupelekesha??Acha ujuwaji No research no right to speak! Unaposema Haihitaji SUA unamaanisha nini?? Unajuwa Sheria ya Mimea?? Unajua kuwa ni kosa kuingiza Mbegu bila kushirikisha Wizara ya Kilimo?? Unajua kwa Mfano Mbegu ya Miwa ya Kutengenezea Sukari ili Ipate kibali cha kulimwa hapa Nchini toka uombe na kuleta Sample yake inachukuwa miaka 10!Serikali ya Tanzania Kukupa Kibali chake- kitu kama ujui usikurupuke na kupayuka
SUA wana impact kubwa sana,mabwana shamba wengi Tanzania ni wa SUA,madaktari wanaotibu mifugo yetu Ni wa SUA,walimu wanaofundisha mabwana shamba na wafugaji kwenye vyuo vya kati ni kutoka SUA.Hao SUA wako wana impact gani katika nchi hii? au unazungumiza ule Ujirani mwema wa kuwasaidia vijiji vinavyo wazunguka?