msukuma fekero
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 2,252
- 2,901
Sema nchi zingine wanaziita kwa jina lake original rapeseedCanola inalimwa zaidi Canada na maana yake ni Canada oil.
Sema nchi zingine wanaziita kwa jina lake original rapeseedCanola inalimwa zaidi Canada na maana yake ni Canada oil.
Kwa ekari moja inakula kiasi gani mkuu? Je Kenya kwenye maduka ya kilimo inapatikana?Yule Mzungu anaye lima akiniambia anaweza nipatia mbegu kama kilo 50 free, ndo namsikilizia
Kilo 5, huwezi zikuta kwenye madukaKwa ekari moja inakula kiasi gani mkuu? Je Kenya kwenye maduka ya kilimo inapatikana?
Tafadhari walau Kilo 5 kwangu ukipataYule Mzungu anaye lima akiniambia anaweza nipatia mbegu kama kilo 50 free, ndo namsikilizia
Mpaka bangi inatoa mafuta usitaharuki sanamahindi,mpunga sikuwahi kujua kama yana toa mafuta
Kwenye miti hamna wajenzi mazo almost ypote apo tunalima ila tunakomaa na alizeti plus mawese
Hata Kondoo wanaweza kutoa mafuta pia😂 huku wakitoa na nyama.mahindi,mpunga sikuwahi kujua kama yana toa mafuta
Ok nitauliziaNenda Songwe nasikia wakenya wamefungua kiwanda
Kiongozi tunangoja mrejesho wako wa mbegu toka Kwa Mzungu 😂😂😂Kilo 5, huwezi zikuta kwenye maduka
Mrejesho wa mbegu??Kiongozi tunangoja mrejesho wako wa mbegu toka Kwa Mzungu
Kiongozi tunangoja mrejesho wako wa mbegu toka Kwa Mzungu 😂😂😂
itashi ### utashiNjia tunazo lakini hatuna itashi
Information zipo. Muda mwingi una-google kupata umbea wa utelezi na uzushi. Wewe ni sample ya mass kubwa katika aina ya informations wanazoperuziNimeamini kukosa information kunatunyima mengi sana aisee na mimi nimehamasika ila tatizo ni kuitoa hiyo brown ili mafuta yawe meupe
View attachment 2184447
Nimeangalia na kusona sehemu ya maandiko kuhusu mmea aina ya Canola au Rapeseed, ambao unaweza kuzalisha mafuta ya Kula zaidi ya Alizeti.
Wenzetu Kenya wenye mashamba makubwa wameanza kulima, licha ya kuwapatia faida lakini kimekuwa ni kama kilimo cha muda kusaidia kurutubisha ardhi au kubadilisha mazao wakati wa kulima Ngano.
View attachment 2184452
Imeelezwa kuna aina mbili kuu za mafuta yanayopatikana kutoka na mmea huu wa Rapeseed. Ipo inayotoa mafuta kwa ajili ya kupikia na mafuta ya tasnia ya kemikali za magari.
Kwa upande wa Kenya inaelezwa kuwa bei ya jumla ya mbegu za Rapeseed (canola) kwa mwaka huu 2022, inakadiriwa kuwa Kati ya US$ 5.2 na US$ 9 kwa kilogram au Kati ya US$ 2.36 na US$ 4.08 kwa pound(lb). Bei hii kwa Kenya ni sawa na Shilingi ya Kenya (KES) 566.45 kwa kilogram kwa Mombasa and Nairobi.
View attachment 2184442
Mbona taarifa haijakamilika.Mbegu zitaanza kupatikana Tanzania mwezi wa 9 ,anzeni kuandaa mashamba.
Arusha kwenyewe ni baadhi ya Maeneo sio Arusha nzima, Kilimanajro ni kule West Kilimanjaro ndo unaweza lima. Haipendi joto hata kidogo ndo maana inalimwa maeneo ya miinuko kutoka usawa wa bahari, Maeneo kama Mbeya sehemu kubwa unaweza lima, au kule Iringa.Kama hauko ukanda unao limwa Ngano usihangaike na mbegu, utaishia kupata maua bila mbegu, Canola zinafanya vizuri ukanda za mwinuko, Mikoa kama Arusha, Baadhi ya sehemu za mkoa wa Manyara hada Hanangi, Kilimanjaro West Kilimanjaro ambako kule zinalimwa muda kitambo, Iringa, Njombe na Mbeya.
Sasa uko Tanga , Dar, Dodoma, Mwanza, Shinyanga, Singida unakomaaa na Canola utalia.