Canola ni zao la mafuta linaloweza kuleta unafuu wa tatizo la uhaba wa mafuta Tanzania

kadeti

JF-Expert Member
Aug 19, 2011
994
868
Canola ni zao la aina ya mmea jamii ya kunde; liligunduliwa uko Canada, na hili zao la canola limekuwa likilimwa zaidi ya miaka mingi sana uko Canada kabla ya kusambaa ktk bara zima la American.

Hili zao limekuja kwetu Afrika mashariki zaidi limekuwa likilimwa Kenya hasa maeneo ya rift valley, Canola limekuwa zao mbadala wa zao la aina ya Alzeti, kwa kiasi kikubwa hili zao la canola limekuwa zao ambalo linatoa faida nyingi sana kwa wakilima, kwanza kabisa hili zao la canola linachukua muda wa siku 85-90 kuweza kuvunwa ni takriban miezi mitatu.

Hili zao limekuwa likitumika kama zao mbadala/ zao mzunguko(crops rotation) kwa maana baada ya kuvuna canola basi udongo wa shamba lako hupata rutuba nyingi sana pamoja na mbolea, kwa ufupi hutumika sana km crops rotation. Pia huvumila magonjwa.

Baada ya kuvunwa kwa canola huwezwa kukamuliwa mafuta mazuri na yasiyo na colestrol km mafuta mengine, baada ya kukamua mafuta kinachobaki ni kitu kinaitwa Canola cake, ambayo hutumika kulishia mifugo na kuwapa Afya wanyama.

Kwa anayeitaji kulima hilo zao naomba tuwasiliane.

Zaidi ntaendelea kutoa elimu juu ya Canola.
 
Ilo ni shamba la canola...ambalo limeshalimwa na kuanza kuchanua Maua tayari kwa kutengeneza mbegu.
 

Attachments

  • Screenshot_20220603-132739_1654252386787.jpg
    Screenshot_20220603-132739_1654252386787.jpg
    35.8 KB · Views: 54
Izo in mbegu za canola pamoja na mmea
 

Attachments

  • Screenshot_20220603-132910_1654252337048.jpg
    Screenshot_20220603-132910_1654252337048.jpg
    40.6 KB · Views: 52
Mbegu zipo tayari kwa kukamuliwa mafuta ambapo 40%ya hizo mbegu no mafuta.
 

Attachments

  • Screenshot_20220603-132841_1654252354827.jpg
    Screenshot_20220603-132841_1654252354827.jpg
    43.7 KB · Views: 46
Hapo Canola ishaanza kuonyesha matunda ambayo yanasubiriwa kukauka, na mwisho kukamuliwa mafuta.
 

Attachments

  • Screenshot_20220603-134629_1654253285871.jpg
    Screenshot_20220603-134629_1654253285871.jpg
    45.8 KB · Views: 43
  • Screenshot_20220603-134712_1654253329188.jpg
    Screenshot_20220603-134712_1654253329188.jpg
    27 KB · Views: 47
Canola is a cool climate crop suitable for high altitude areas (1800 to 2400m) above sea level receiving an annual rainfall of 700mm per annum. It does well in optimal temperatures between 15 to 20 degrees Celsius in areas like Manyara, Kilimanjaro, Arusha, Mara, Mwanza, and singida.
 
Canola is a cool climate crop suitable for high altitude areas (1800 to 2400m) above sea level receiving an annual rainfall of 700mm per annum. It does well in optimal temperatures between 15 to 20 degrees Celsius in areas like Manyara, Kilimanjaro, Arusha, Mara, Mwanza, and singida.
Mbegu zapatikana wapi?
 
Canola ni zao la aina ya mmea jamii ya kunde; liligunduliwa uko Canada, na hili zao la canola limekuwa likilimwa zaidi ya miaka mingi sana uko Canada kabla ya kusambaa ktk bara zima la American.

Hili zao limekuja kwetu Afrika mashariki zaidi limekuwa likilimwa Kenya hasa maeneo ya rift valley, Canola limekuwa zao mbadala wa zao la aina ya Alzeti, kwa kiasi kikubwa hili zao la canola limekuwa zao ambalo linatoa faida nyingi sana kwa wakilima, kwanza kabisa hili zao la canola linachukua muda wa siku 85-90 kuweza kuvunwa ni takriban miezi mitatu.

Hili zao limekuwa likitumika kama zao mbadala/ zao mzunguko(crops rotation) kwa maana baada ya kuvuna canola basi udongo wa shamba lako hupata rutuba nyingi sana pamoja na mbolea, kwa ufupi hutumika sana km crops rotation. Pia huvumila magonjwa.

Baada ya kuvunwa kwa canola huwezwa kukamuliwa mafuta mazuri na yasiyo na colestrol km mafuta mengine, baada ya kukamua mafuta kinachobaki ni kitu kinaitwa Canola cake, ambayo hutumika kulishia mifugo na kuwapa Afya wanyama.

Kwa anayeitaji kulima hilo zao naomba tuwasiliane.

Zaidi ntaendelea kutoa elimu juu ya Canola.
Usha wahi kulima au ndo unaaza furusa? Watanzania tunependa Ujanja janja wa kupita kiasi, mtu hujawahi lima unataka watu wawasiliane na wewe.

Canola sio rahisi kama mnavyo taka kuaminisha watu,
 
Back
Top Bottom