Kilimo cha Canola (Rapeseed) kinaweza kutupunguzia uhaba wa mafuta ya kula

Tunao ujinga Sana ety?

Tumeshindwa alizeti Canola tutaiweza .. can we atleast stop this motherfvcking stupidity...
 
How mkuu embu fafanua hili, na je umewahi lima moja wapo changamoto ni zipi Mkuu
KWAni kuna mtu alisema kwamba tunao uhaba wa mazao ya kuzalisha mafuta nchini?

Tuondoe sera mbovu za kilimo na uwekezaji KWA ujumla.. tuwe na nishati ya uhakika na nafuu alafu tuingie shambani tuilime alizeti in large scale ..
 
swala je ayo mafuta yana test gani.?
ukuwaji wake ni siku ngapi..?
na soko lake lipo wap.?
 
Jamani tuelekezane changamato ya hili zao maana nimeona kama lina lina faida sana maana kwa heka inaonyesha unaweza pata mazao yayoweza kukupa mpaka lita 600 sasa sielewi gharama zake
 
tuna weza zalisha mafuta ya kila aina

1. mafuta ya mpunga
2. mafuta ya zabibu
3. mafuta ya alzeti
4. mafuta ya parachichi
5. mafuta ya nazi
6. mafuta ya chikichi
7. mafuta ya karanga
8. mafuta ya wanyama
9. mafuta ya canola
10. mafuta ya ufuta
11. mafuta ya pamba
12. mafuta ya mahindi
13. mafuta ya soya
etc

mafuta ya mpunga yana zalishwa na muwekezaji pale shinyanga na kusafirisha kwenda nje ya nchi...

View attachment 2185501

View attachment 2185502
View attachment 2185504

View attachment 2185505

View attachment 2185506

View attachment 2185507

View attachment 2185508

View attachment 2185509

View attachment 2185510

View attachment 2185511

View attachment 2185512

View attachment 2185513
Mkuu,
Hivi hiyo corn oil kwa mfano inaweza kuzalishwa commercially?
Maana Tanzania hakuna uhaba wa mahindi, lkn uhaba wa mafuta ya Kula unatisha!
 
Nimejaribu kufuatilia sijaona wala kusikia wapi Canola inalimwa hapa Tanzania.

Lakini nadhani upatilanaji mbegu siyo tatizo sana, nimeelekeza wadau wangu wanisakie huko Kenya. Ila najua kupitia Jamiiforums pia tunaweza kufanikiwa kuipata maana hapa tupo wadau wengi.
Ukiipata naomba tushirikishane. Niko shamba nasubiri tu ipatikane niendeleze juhudi
 
Back
Top Bottom