Wewe ushawahi kulima hiyo canola au alizeti?Tunao ujinga Sana ety?
Tumeshindwa alizeti Canola tutaiweza .. can we atleast stop this motherfvcking stupidity...
KWAni shida ni kulima?Wewe ushawahi kulima hiyo canola au alizeti?
KWAni shida ni kulima?
Shida ni Canola?
Shida ni alizeti?
Hapana shida ipo kwenye akili zetu .. Taifa KWA ujumla..
KWAni kuna mtu alisema kwamba tunao uhaba wa mazao ya kuzalisha mafuta nchini?How mkuu embu fafanua hili, na je umewahi lima moja wapo changamoto ni zipi Mkuu
Yaani unajibu kama umevuta unga wakati hujawahi kulima mazao ya kutoa mafuta bora kukaa kimya tuKWAni shida ni kulima?
Shida ni Canola?
Shida ni alizeti?
Hapana shida ipo kwenye akili zetu .. Taifa KWA ujumla..
Nimelima sana alizeti na nimefanya biashara ya mafuta yakupikia sanaa tuu ..Yaani unajibu kama umevuta unga wakati hujawahi kulima mazao ya kutoa mafuta bora kukaa kimya tu
Kumbe haulimi tena?Nimelima sana alizeti na nimefanya biashara ya mafuta yakupikia sanaa tuu ..
Mbona hiyo makitu inatoa mafuta na mavuno mengi sana kuzidi alizeti aiseeMbegu za canola tunazipataje kwa Tz tujaribu hichi kilimo.
#MaendeleoHayanaChama
Nenda Songwe nasikia wakenya wamefungua kiwandaNataka kujua wanapochakata parachichi mpaka kutoa mafuta yakupikia
Mkuu,tuna weza zalisha mafuta ya kila aina
1. mafuta ya mpunga
2. mafuta ya zabibu
3. mafuta ya alzeti
4. mafuta ya parachichi
5. mafuta ya nazi
6. mafuta ya chikichi
7. mafuta ya karanga
8. mafuta ya wanyama
9. mafuta ya canola
10. mafuta ya ufuta
11. mafuta ya pamba
12. mafuta ya mahindi
13. mafuta ya soya
etc
mafuta ya mpunga yana zalishwa na muwekezaji pale shinyanga na kusafirisha kwenda nje ya nchi...
View attachment 2185501
View attachment 2185502
View attachment 2185504
View attachment 2185505
View attachment 2185506
View attachment 2185507
View attachment 2185508
View attachment 2185509
View attachment 2185510
View attachment 2185511
View attachment 2185512
View attachment 2185513
Unaweza ila ni gharama sana ndiyo maana mafuta yake ni ghali mno achana nayo tuMkuu,
Hivi hiyo corn oil kwa mfano inaweza kuzalishwa commercially?
Maana Tanzania hakuna uhaba wa mahindi, lkn uhaba wa mafuta ya Kula unatisha!
Ukiipata naomba tushirikishane. Niko shamba nasubiri tu ipatikane niendeleze juhudiNimejaribu kufuatilia sijaona wala kusikia wapi Canola inalimwa hapa Tanzania.
Lakini nadhani upatilanaji mbegu siyo tatizo sana, nimeelekeza wadau wangu wanisakie huko Kenya. Ila najua kupitia Jamiiforums pia tunaweza kufanikiwa kuipata maana hapa tupo wadau wengi.