Comments zako za nyuma haziendani Na ulichokikoment hapa unajitia aibu sasaUnaweza kua unamjibu kihuni hivi baba yako!
Mko wangapi?mbona swali rahisi kama hili unashindwa kujibu mwanaizaya laanifu?
Mwezi mchanga sio?= darsa
Hata hapa nnamwaga darsa kwa wenye uelewa.
Mkuu unabishana na huyo graduate wa chekechea? Unapoteza mda wako!!
Hajitambuagi huyo bibi mwache alivyo..
Mwezi vumbi nani alikudanganya mchanga?Mwezi mchanga sio?
haa haa mkuu kumbe na wewe umemwona anavyomwaga utamu kwa wenge lake sio.Kaa chini, kunywa Maji, vuta pumzi nyingi ndani, then Njoo utusimulie vzr hii episode.
We sasa una nongwa umejibiwa kistaarabu hufanyi uliloshauriwa ila kuleta ujuaji kwenye nyuzi za wenzio,mi nimemuamini sasa shida iko wapi?Mapovu yooote hayo!hasira za nini?hizi fiksi tu!humu wote si watoto......kwa kifupi sisi watu wa pwani....tuliozoea bahari....hizo stori za kawaida saaana!ni kama stori za vibwengo....majini chunusi.....nk uwe mpole tu!
Thanks bro. Hapa panazidi kunoga. Yaani bro hukupiga selfie na yule MTU MREFU, basi hata huyu RASTA NYOKA nae huna tupicha twake?

Kama kuna kitu nikuone hopeless nikuamini kila kitu kuwa kinapatikana shuleni. Na ushapumshamba wako mwingine nikuona formal education kama ndiyo elimu pekee duniani ukasahau kuna informal education ambayo ni elimu isiyohitaji kukariri mambo bali kuelewa na kwa greater thinkers huwa kipimo kizuri cha mtu mwenye akili kubwa.Nnajuwa kuwa wengi kama wewe wanapenda ujinga kwa kuwa tu shule mlienda kusomea ujinga.
Yaani ww mtu anakukaushia we unakomaa tu unamapepo?Ungekuwa na elimu hata ya kuunga unga tu ungeelewa tofauti ya "uptodate" na "update" pia ungeelewa tofauti ya ukweli na uongo.
Mshana unajua mijitu mirefu unajulikana kama Kabeba huko usukumani??? Acha huyo raster nyoko cha mtoto..! Huyo mdudu akitoa ushuzi uzinduki bila kupelekwa ukara(kisiwa wilayano ukerewe)Kwa taarifa yako mimi sijifanyi na sijawahi kujifanya, naujua uchawi naufahamu vizuri sana ushirikina
Kama unadhani hizi ni fix naomba uthibitishe hapa. ..weka ushahidi kama mimi nilivyotaja maeneo muda na wahusika
Jitengenezee uwezo wa kuaminika usiishie kusema hizi ni fix...ukishindwa hili utakuwa mpuuzi kama yule mpuuzi mwingine
uchocheziHa ha ha, nimecheka sana hapa!
Kumbe kila mbabe ana mbabe wake eeh.
Hapo umethibitisha kabisa kwamba Rasta Nyoka siyo Mbabe Uchwara!

Litakuwa jike lililoachika kwa uchafu wivu rohombaya na uchawi.Samahani ndugu wewe ni jinsia gani!
Yaani ww mtu anakukaushia we unakomaa tu unamapepo?