Occupation:Next?
Samahani ndugu wewe ni jinsia gani!Punguza fiksi kaka wewe ni mtu mzima!usitake kujifanya unajuuuua mambo ya uchawi&ushirikina nk......acha fiksi
Mko wangapi?mbona swali rahisi kama hili unashindwa kujibu mwanaizaya laanifu?Naam, muhimu tunawatanabahisha kila tunapoweza.
Tumeyaona mengi, kumbuka hilo.
Tuna mchawi humu anaweza bashiri!Samahani ndugu wewe ni jinsia gani!
Ndugu solution hiyo hapo acha mipasho ya kichangu umeambiwa kama huamini pesa hiyo hapo unaogopa nini? Kuchumbiwa?Kaaaaz kweli kweli....njia ya muongo fupi!tukaulize habari za hilo jitu refu ambalo wewe tu ndo ulikua unaliona?![]()
![]()
usitokwe na mapovu!wengine humu tunauzoefu Wa Maji bahari.....hizo habari si mpya kwetu!sema ukweli ulisimuliwa ukaamua utie chumvi.....kana kwamba ni jambo limekutokea wewe.......ohooo...nimepewa masharti nisiseme....mara mengine sitasema!acha fiksi!!!
Unaweza kua unamjibu kihuni hivi baba yako!Ndugu solution hiyo hapo acha mipasho ya kichangu umeambiwa kama huamini pesa hiyo hapo unaogopa nini? Kuchumbiwa?
Pyuuu kumbe najibizana na Mgonjwa...sorry mental CaseUnaweza kua unamjibu kihuni hivi baba yako!
FaizaFoxy mbona unapenda kusema ukweli sanaWajinga Ndiyo Waliwao
Na wewe huoni kama hizi kauli zako zinaashiria chuki dhidi yake?
FaizaFoxy mbona unapenda kusema ukweli sana![]()
![]()
![]()
![]()
Kumbuka mara nyingine amani hukindwa na uongo
Vipi kwanini usiende kwenye Ile thread yako ukaendeleze darasa lako kimya kimyaNaam, uongo tuna u hate kwelikweli.
Uh TV show.Mkuu unabishana na huyo graduate wa chekechea? Unapoteza mda wako!!
Hajitambuagi huyo bibi mwache alivyo..
Vipi kwanini usiende kwenye Ile thread yako ukaendeleze darasa lako kimya kimya