Afisa_Nkai
JF-Expert Member
- Jul 5, 2025
- 418
- 839
Wakuu mimi niko salama!.
Nirudi kwenye mada nimekuja kugundua target ya nyoka pale bustanini haikuwa mwanamke kabisa, ingekuwa ni mwanamke basi eva alipokula tu lile tunda biashara ingeishia pale pale lakini kwanini sasa ilimfikia mwanaume?, kumaanisha kwamba target ya nyoka ilikuwa ni mwanaume, nyoka alimtumia mwanamke kumfikia mwanaume.
Ukiacha kula tunda ni kitu gani kingine nyoka alizingumza na mwanamke na ukitaka kujua kilichozungumzwa unapaswa uangalie kile ambacho mwanamke anakifanya nyuma ya haya yote, na kwa kuwa target ni mwanaume angalia namna ambavyo mwanamke anaenenda kinyume na mwanaume, hapo ndo unakuja kugundua kumbe wanawake hawahitaji mume, hawahitaji mpenzi kama ambavyo wanajinasibu kwenye mitandao they just need SLAVE (mtumwa).
Target ya mazungumzo ya pale bustanini ukiachana na kula tunda ilikuwa ni kuhakikisha mwanaume anakuwa mtumwa wa mwanamke, kwa namna gani ushawahi kuona mwanamke kabisa anajinasibu anataka mwanaume ambae ni provider, provider kwa namna gani sasa yaani provider ni mtu ambae anatafta kwaajili yake, na ukijaribu kwenda kinyume na hapo wanakwambia kuwa Mungu alisema utatafta kwa jasho, sasa kutafta kwa jasho na mimi mwanaume kuwa provide wako inaingilianaje an how come.
Nachoka mimi na haya mambo and what is the real essence of this life.
Nirudi kwenye mada nimekuja kugundua target ya nyoka pale bustanini haikuwa mwanamke kabisa, ingekuwa ni mwanamke basi eva alipokula tu lile tunda biashara ingeishia pale pale lakini kwanini sasa ilimfikia mwanaume?, kumaanisha kwamba target ya nyoka ilikuwa ni mwanaume, nyoka alimtumia mwanamke kumfikia mwanaume.
Ukiacha kula tunda ni kitu gani kingine nyoka alizingumza na mwanamke na ukitaka kujua kilichozungumzwa unapaswa uangalie kile ambacho mwanamke anakifanya nyuma ya haya yote, na kwa kuwa target ni mwanaume angalia namna ambavyo mwanamke anaenenda kinyume na mwanaume, hapo ndo unakuja kugundua kumbe wanawake hawahitaji mume, hawahitaji mpenzi kama ambavyo wanajinasibu kwenye mitandao they just need SLAVE (mtumwa).
Target ya mazungumzo ya pale bustanini ukiachana na kula tunda ilikuwa ni kuhakikisha mwanaume anakuwa mtumwa wa mwanamke, kwa namna gani ushawahi kuona mwanamke kabisa anajinasibu anataka mwanaume ambae ni provider, provider kwa namna gani sasa yaani provider ni mtu ambae anatafta kwaajili yake, na ukijaribu kwenda kinyume na hapo wanakwambia kuwa Mungu alisema utatafta kwa jasho, sasa kutafta kwa jasho na mimi mwanaume kuwa provide wako inaingilianaje an how come.
Nachoka mimi na haya mambo and what is the real essence of this life.