Kile kipindi ambacho nilipotea

Kile kipindi ambacho nilipotea

Kwanini msichukulie kama burudani tu kama mnahisi anawaambia uongo

Inabidi aseme hii ni "fictitious". Ubunifu tu na hakuna ukweli.

Hapo watu wanajuwa kuwa ni burudani tu. Lakini mwenzetu anatetea uongo utafikiri ukweli.

Anawahadaa wengi sana na nimejaribu kujiuliza kwanini? Nikapata jibu, aaah anawatayarisha wateja.

Hii ni kama alivyoanza MziziMkavu sasa anauza dawa kiulaini. Tena at least MziziMkavu anauza dawa za tiba mbadala lakini huyu mwenzetu sijuwi mpaka sasa kama hakuna watu wapenda ushirikina aliokwisha watia chanjo za makalio, sijuwi.
 
Muongo tu huyo hana lolote.

Kuna siku alikuja na picha humuhumu JF akidanganya kuwa kaipiga yeye hapo njia ya kwenda Ikulu, kumbe ile picha ipo kwenye mitandao kwa miaka kadhaa, nikamuumbuwa uongo wake kwa kuileta source nyingine kabisa ya ile picha, basi toka siku hiyo kajenga chuki kwangu.

Huu anaoleta humu ni uongo tu hajuwi lolote huyo.

Wajinga Ndiyo Waliwao.
Kuna vitu huwa anajiongelea vimejaa nadharia zaidi
 
Inabidi aseme hii ni "fictitious". Ubunifu tu na hakuna ukweli.

Hapo watu wanajuwa kuwa ni burudani tu. Lakini mwenzetu anatetea uongo utafikiri ukweli.

Anawahadaa wengi sana na nimejaribu kujiuliza kwanini? Nikapata jibu, aaah anawatayarisha wateja.

Hii ni kama alivyoanza MziziMkavu sasa anauza dawa kiulaini. Tena at least MziziMkavu anauza dawa za tiba mbadala lakini huyu mwenzetu sijuwi mpaka sasa kama hakuna watu wapenda ushirikina aliokwisha watia chanjo za makalio, sijuwi.
Ulishawahi kuwa mteja wake ukachanjwa hizo sehemu?
 
Punguza fiksi kaka wewe ni mtu mzima!usitake kujifanya unajuuuua mambo ya uchawi&ushirikina nk......acha fiksi
Kwa taarifa yako mimi sijifanyi na sijawahi kujifanya, naujua uchawi naufahamu vizuri sana ushirikina
Kama unadhani hizi ni fix naomba uthibitishe hapa. ..weka ushahidi kama mimi nilivyotaja maeneo muda na wahusika
Jitengenezee uwezo wa kuaminika usiishie kusema hizi ni fix...ukishindwa hili utakuwa mpuuzi kama yule mpuuzi mwingine
 
Saa 23:50 now nalala mkuu mshana JR ila nawazo nenda pale UDSM maana ni Chuo Mama omba Ufungue short course km wale wachina na conficious Yao anzisha hata vi Basic technician na Technician certificate in witchcraft and kupaaology in the midnight!!!
Kupaaology hii Kali aisee.
 
Kwa taarifa yako mimi sijifanyi na sijawahi kujifanya, naujua uchawi naufahamu vizuri sana ushirikina
Kama unadhani hizi ni fix naomba uthibitishe hapa. ..weka ushahidi kama mimi nilivyotaja maeneo muda na wahusika
Jitengenezee uwezo wa kuaminika usiishie kusema hizi ni fix...ukishindwa hili utakuwa mpuuzi kama yule mpuuzi mwingine
Matangazo biashara.....kwa mwendo huu utawapata wengi tu humu!fiksi tupu!
 
Dear haters fanyeni haya kuthibitisha uongo wangu kwenye hii post
-nendeni Nyamisati, simbaulanga kilwani na gezani
-nendeni kilindoni mafia niliandika jina langu hili ninalotumia hapa pale IBIZA
-Kauluzeni habari nilizoandika hapa huko kote nilikotaja
-nimezungumzia uchawi wa hivyo visiwa
-nimezungumzia magendo ya huko, kwanini msiende kuuliza?
-kuna Boat kubwa tatu moja ya fiber zinazofanya safari kati ya mafia na Nyamisati si mkaulize hizi habari
Mnashupaa hapa kulazimisha sukari iwe chumvi mtaweza kweli?
Naweka dau la nauli ya laki moja mmoja wenu aende
 
Kwa taarifa yako mimi sijifanyi na sijawahi kujifanya, naujua uchawi naufahamu vizuri sana ushirikina
Kama unadhani hizi ni fix naomba uthibitishe hapa. ..weka ushahidi kama mimi nilivyotaja maeneo muda na wahusika
Jitengenezee uwezo wa kuaminika usiishie kusema hizi ni fix...ukishindwa hili utakuwa mpuuzi kama yule mpuuzi mwingine

Hayo mahadithi tulikuwa tukipigiana utotoni.

Kwani kutaja sehemu ndiyo hupatungii uongo?

Umesahau nikivyokuumbuwa? Si ulitaja mitaa ambayo ipo na ukaweka picha ukajidai hii jana usiku, kama vile umepiga wewe hiyo picha. Ngoja kesho niipekuwe library ya JF kama hawajazifuta zile post ntaibandika.

Wajinga Ndiyo Waliwao.
 
BaaDa ya ya kufika gambosi aka gamboshi wengi muiitavyo, nilikutana na dunia nyingine kabisa! Ambayo iko ndani ya huu ulimwengu tunaoishi!, picha linaanza sehemu ya kulala, naambiwa fuatana na Huyo jogoo mwekundu! Atakapolala na wewe utalala hapohapo! Na kweli ikawa hivyo! Jogoo alikuwa na hirizi kubwa shingoni, njiani tukakutana na na mlevi mmoja akanitukana mno! Nikataka kumvagaa! Jogoo akanirukia akanikaba shingoni!.... Inaendelea!..............
Napata kigugumiza kidogo, alikukaba kwa style gani huyo jogoo..!?
 
Mapovu yooote hayo!hasira za nini?hizi fiksi tu!humu wote si watoto......kwa kifupi sisi watu wa pwani....tuliozoea bahari....hizo stori za kawaida saaana!ni kama stori za vibwengo....majini chunusi.....nk uwe mpole tu!

Mkuu wengine hatuijui Bahari mana huku mkoani hakuna bahari, ebu acha mshana atuhabarishe basi ili siku tukifika pwani tuchukue tahadhari
 
Ukitaka kupata kichekesho hiki mtafute mlekulechoma! Another stupid idiot...!
Nidanganye ili iweje sasa! Acha upuuzi
Natumia jina halisi na hata picha pia
Nimeandika kila kitu kwa uwazi mno, nimetaja maeneo yanayotambulika kabisa
Nilikuwa na raia wa kigeni, (easy to spot ) muda unajulikana, kabla hujaandika up.upu kama huu ungeenda maeneo husika kupata ukweli sio mbali ni hapo Nyamisati ningekulipia hata nauli malazi na chakula ili ukajiridhishe
Silipwi sitafuti soko la chochote kupitia post zangu...
Nenda Nyamisati hata kesho kajiridhishe ndio uje hapa kutoa hukumu...kisha uje na ile ID yako iliyozoeleka
Mshana jr nipe mimi hizo hela za kumlipia huyu nguchiro hela ya nauli na chakula na kulala guest inayonukia udongo mbichi nifanye mimi utafiti
 
Back
Top Bottom