Kile kipindi ambacho nilipotea

Kile kipindi ambacho nilipotea

Jamaa atawaingiza mkenge wengi, hususan wakati huu wa mpito.

Hivi nnamashaka wengine washaanza kumtafuta na wengine washaliwa, wanangoja matokeo.
 
Mshana Jr.....hii kitu umeleta humu ni fiksi tupu!ni kama umeota vileee ......si kweli!story haijanyoooka...uongo mtupu....labda changamsha kijiwe tu!story kama hiz ukikaa beach au kwenye vijiwe vya kahawa......bangi utazisikia tu!ulichofanya ni kujifanya tukio limekutokea wewe.....baada ya kupata masimulizi hasa kwa wavuvi....nk!
Ukitaka kupata kichekesho hiki mtafute mlekulechoma! Another stupid idiot...!
Nidanganye ili iweje sasa! Acha upuuzi
Natumia jina halisi na hata picha pia
Nimeandika kila kitu kwa uwazi mno, nimetaja maeneo yanayotambulika kabisa
Nilikuwa na raia wa kigeni, (easy to spot ) muda unajulikana, kabla hujaandika up.upu kama huu ungeenda maeneo husika kupata ukweli sio mbali ni hapo Nyamisati ningekulipia hata nauli malazi na chakula ili ukajiridhishe
Silipwi sitafuti soko la chochote kupitia post zangu...
Nenda Nyamisati hata kesho kajiridhishe ndio uje hapa kutoa hukumu...kisha uje na ile ID yako iliyozoeleka
 
Mshana Jr.....hii kitu umeleta humu ni fiksi tupu!ni kama umeota vileee ......si kweli!story haijanyoooka...uongo mtupu....labda changamsha kijiwe tu!story kama hiz ukikaa beach au kwenye vijiwe vya kahawa......bangi utazisikia tu!ulichofanya ni kujifanya tukio limekutokea wewe.....baada ya kupata masimulizi hasa kwa wavuvi....nk!

Ukitaka kupata kichekesho hiki mtafute mlekulechoma! Another stupid idiot...!
Nidanganye ili iweje sasa! Acha upuuzi
Natumia jina halisi na hata picha pia
Nimeandika kila kitu kwa uwazi mno, nimetaja maeneo yanayotambulika kabisa
Nilikuwa na raia wa kigeni, (easy to spot ) muda unajulikana, kabla hujaandika up.upu kama huu ungeenda maeneo husika kupata ukweli sio mbali ni hapo Nyamisati ningekulipia hata nauli malazi na chakula ili ukajiridhishe
Silipwi sitafuti soko la chochote kupitia post zangu...
Nenda Nyamisati hata kesho kajiridhishe ndio uje hapa kutoa hukumu...kisha uje na ile ID yako iliyozoeleka
e59510e8a88fd2742fa94575572c0bb4.jpg
 
Hivi mko wangapi? Mbona wengine hatuwaoni? Tuwekee hiyo post unayodai kadanganya ambayo kila siku ndio reference yako! Hivi huna haya mwanaizaya uso na haya weye?

Si moja, zipo nyingi.
 
Ukitaka kupata kichekesho hiki mtafute mlekulechoma! Another stupid idiot...!
Nidanganye ili iweje sasa! Acha upuuzi
Natumia jina halisi na hata picha pia
Nimeandika kila kitu kwa uwazi mno, nimetaja maeneo yanayotambulika kabisa
Nilikuwa na raia wa kigeni, (easy to spot ) muda unajulikana, kabla hujaandika up.upu kama huu ungeenda maeneo husika kupata ukweli sio mbali ni hapo Nyamisati ningekulipia hata nauli malazi na chakula ili ukajiridhishe
Silipwi sitafuti soko la chochote kupitia post zangu...
Nenda Nyamisati hata kesho kajiridhishe ndio uje hapa kutoa hukumu...kisha uje na ile ID yako iliyozoeleka
Mapovu yooote hayo!hasira za nini?hizi fiksi tu!humu wote si watoto......kwa kifupi sisi watu wa pwani....tuliozoea bahari....hizo stori za kawaida saaana!ni kama stori za vibwengo....majini chunusi.....nk uwe mpole tu!
 
Mapovu yooote hayo!hasira za nini?hizi fiksi tu!humu wote si watoto......kwa kifupi sisi watu wa pwani....tuliozoea bahari....hizo stori za kawaida saaana!ni kama stori za vibwengo....majini chunusi.....nk uwe mpole tu!
Kafanye nilichokuambia upate mandate ya kujenga hoja
 
Back
Top Bottom