dudupori
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 1,795
- 1,920
![]()
![]()
ntake LAZI
Halafu una kesi nyingine ya kumpora yule jamaa busha lake, hebu nipe mrejesho mkuu. 
![]()
![]()
ntake LAZI
Halafu una kesi nyingine ya kumpora yule jamaa busha lake, hebu nipe mrejesho mkuu. 
Ukitaka kupata kichekesho hiki mtafute mlekulechoma! Another stupid idiot...!Mshana Jr.....hii kitu umeleta humu ni fiksi tupu!ni kama umeota vileee ......si kweli!story haijanyoooka...uongo mtupu....labda changamsha kijiwe tu!story kama hiz ukikaa beach au kwenye vijiwe vya kahawa......bangi utazisikia tu!ulichofanya ni kujifanya tukio limekutokea wewe.....baada ya kupata masimulizi hasa kwa wavuvi....nk!
Mshana Jr.....hii kitu umeleta humu ni fiksi tupu!ni kama umeota vileee ......si kweli!story haijanyoooka...uongo mtupu....labda changamsha kijiwe tu!story kama hiz ukikaa beach au kwenye vijiwe vya kahawa......bangi utazisikia tu!ulichofanya ni kujifanya tukio limekutokea wewe.....baada ya kupata masimulizi hasa kwa wavuvi....nk!
Ukitaka kupata kichekesho hiki mtafute mlekulechoma! Another stupid idiot...!
Nidanganye ili iweje sasa! Acha upuuzi
Natumia jina halisi na hata picha pia
Nimeandika kila kitu kwa uwazi mno, nimetaja maeneo yanayotambulika kabisa
Nilikuwa na raia wa kigeni, (easy to spot ) muda unajulikana, kabla hujaandika up.upu kama huu ungeenda maeneo husika kupata ukweli sio mbali ni hapo Nyamisati ningekulipia hata nauli malazi na chakula ili ukajiridhishe
Silipwi sitafuti soko la chochote kupitia post zangu...
Nenda Nyamisati hata kesho kajiridhishe ndio uje hapa kutoa hukumu...kisha uje na ile ID yako iliyozoeleka
Hivi mko wangapi? Mbona wengine hatuwaoni? Tuwekee hiyo post unayodai kadanganya ambayo kila siku ndio reference yako! Hivi huna haya mwanaizaya uso na haya weye?
Umpuuzi namba moja kati ya wapuuzi wote nilowahi kukutana nao mwanaizaya weweNaam, hakuna utapeli rahisi na unaowaingiza watu mkenge kwa haraka zaidi kama kujifanya unajuwa "nguvu za kiza".
Ukishaona hivyo ujuwe watu wanaingizwa kizani.
Mapovu yooote hayo!hasira za nini?hizi fiksi tu!humu wote si watoto......kwa kifupi sisi watu wa pwani....tuliozoea bahari....hizo stori za kawaida saaana!ni kama stori za vibwengo....majini chunusi.....nk uwe mpole tu!Ukitaka kupata kichekesho hiki mtafute mlekulechoma! Another stupid idiot...!
Nidanganye ili iweje sasa! Acha upuuzi
Natumia jina halisi na hata picha pia
Nimeandika kila kitu kwa uwazi mno, nimetaja maeneo yanayotambulika kabisa
Nilikuwa na raia wa kigeni, (easy to spot ) muda unajulikana, kabla hujaandika up.upu kama huu ungeenda maeneo husika kupata ukweli sio mbali ni hapo Nyamisati ningekulipia hata nauli malazi na chakula ili ukajiridhishe
Silipwi sitafuti soko la chochote kupitia post zangu...
Nenda Nyamisati hata kesho kajiridhishe ndio uje hapa kutoa hukumu...kisha uje na ile ID yako iliyozoeleka
Tunamkubali mshana jr hata kama anatuambia uongo sisi poa maana story zake zinatuburudisha sanaUkweli ni kuwa hakuna vitu kama hivyo ni uongo tu.
Huyo mtu anakila dalili za kuja kutapeli watu na wengine kuna siku mtakuja kulalamika humu.
Asiyesikia la mkuu...
Not good bhana... Mimi na wewe tena...Hahahaaa mambo yalikuwa mengi na sikupenda kukupa usumbufu
Weka links zake hapa old rugSi moja, zipo nyingi.
Kafanye nilichokuambia upate mandate ya kujenga hojaMapovu yooote hayo!hasira za nini?hizi fiksi tu!humu wote si watoto......kwa kifupi sisi watu wa pwani....tuliozoea bahari....hizo stori za kawaida saaana!ni kama stori za vibwengo....majini chunusi.....nk uwe mpole tu!
Punguza fiksi kaka wewe ni mtu mzima!usitake kujifanya unajuuuua mambo ya uchawi&ushirikina nk......acha fiksiKafanye nilichokuambia upate mandate ya kujenga hoja
Tunamkubali mshana jr hata kama anatuambia uongo sisi poa maana story zake zinatuburudisha sana
Aseme ukweli sasa.....hadithi hadithi....utamu njooo UONGO KOLEAAAAA.....tutamuelewaTunamkubali mshana jr hata kama anatuambia uongo sisi poa maana story zake zinatuburudisha sana

Wala hatuhitaji mtanabaisho wako sisi twaendelea burudikana story nzuri kama za mshana jrNaam, muhimu tunawatanabahisha kila tunapoweza.
Tumeyaona mengi, kumbuka hilo.