Kila dhambi unayofanya kuna majini (mapepo) maalumu yako nyuma yake

bangi na majini/mapepo wapi na wapi palipo na moshi wa bangi hakuna pepo wala jini au mchawi anaweza kusogea
Majini majanja sana. Yanaweza kudanganya watu yanaogopa mfupa wa nguruwe na bangi, wakati hayohayo wakati wa Yesu yaliomba yakimnilie kwa kwenye manguruwe kule kwa wagerasi.
Hakuna kiumbe kinachopenda kitimoto au kitu chochote kinachoathili akili za mwanadamu ikiwemo bangi na chochote kinacholeta uraibu kama majini.

Huwa ni maongomapngo na vigeugeu na masanii flani hivi. Wengi hawaelewi utendaji kazi wao ndio maana yanawasumbua.
 
Majini (mapepo) ua roho wachafu ni mengi kwa idadi hayahesabiki. Yote yako hapa duniani.

Sasa tofautisha mtu kupagawa na majini (possessed) na mtu kutawaliwa na majini (Controlled). Watu wanaopagawa na majini ni asilimia kama moja tu asilimia 99 ya watu wanatawaliwa na majini.

Hawa huwezi kuona wanafurukuta au wanaanguka hovyo na kutoa povu.

Kila aliyewahi kwenda kwa mganga anamapepo.

Kila addiction (pombe, madawa, bange) kuna majini yake.

Kila dhambi kuna majini yake nyuma yakishawishi uendelee.

Ushabiki hasa wa mpira na movie unamajini yake special kuhakikisha hushikiki. Bora utoroke kanisani ukaangalie match. Sio akili yako ni majini.

Sio kila unayemtamani ni akili au wazo lako, sio kila hamasa ya kuangalia porno ni akili yako, nyumq yake kuna ushawishi mkali wa mapepo.


Sasa ufanye nini?
Uwe mkweli kwa Mungu, ukili udhaifu uombe ulinzi wa damu ya Yesu na malaika wenye nguvu kuliko majini. Ruhusu roho mtakatifu na neno ndio lishawishi akili yako sio majini.

Ni hayo tu.
Barikiwa
Ubongo upo kwaajili ya kufikiri, ku-collect na ku-process taarifa na hatimae kufanya maamuzi nini kifanyike na hapo ndio movement za mwili huanza... Sasa kama kila unachokipenda, maamuzi na kufikikiri kupo based na mapepo na majini au Mungu Huu ubungo ni wa kazi gani?

Coz hai-make sense kuamua niamue mimi then useme cjui jini kaniingia kwenye Ubongo wangu ndo kanifanya nifanye ujinga how?

Decisions ni game of chances, kuna muda unakuwa correct na muda mwengine unakuwa wrong depends na situations, moods na bahati yako kwa hiyo siku
 
Muinjilisti naendelea kujifunza, hebu nivumilie. Hivi wale wana wamungu waliozaa na wanawake wa kibinadamu kwenye Mwanzo 6 walikuwa ni wakina nani ?

Pale kwenye mnara wa Babeli nini kilipelekea hadi watu wakagawanywa na kufukuzwa na kuzuiwa kujenga mnara ?

Kule Sodoma, kwanini watu walitaka kuwabaka wale Malaika, nini kiliwapelekea wale watu wafanya jambo kama lile. Ruthu alikaa nao miaka mingi lakini hawakuwahi kutaka kumbaka. Chanzo kilikuwa nini ?
1: Wale walikuwa watu wa kawaida tu. Wana wa Mungu ni uzao wa seth, na wana wa wanadamu uzao wa kaini na wale waliokuwa wameasi Mungu. Hata sasa watu wa dini wakishirikiana na wanasiasa na watu wa duniani wasiomheshimu Mungu mstari unaowatofautisha ukifutika matokeo yake ni uovu mkubwa, na dunia itajifuta yenyewe bila kiyama. Hiki ndicho ninaweza kukitetea.

2: Lile lilikuwa ni tukio la kiibada. Sio kujenga tu mnara. Pale kulikuwa na mambo mengi sana. Demonology, Dead worship and all sorts of spilitualism. Mungu hawezi kutawanya watu kujenga kamnara tu ambako kimo chake ni kifupi kuliko hata ukilinganisha kiml cha mchwa na mnawa wanaoujenga. Pale kuna mambo mengi sana. Kwa uzi huu nitaishia hapo kwanza.

3: Biblia inasema zinaa inaharibu akili. Aziniye na mwanamke hana akili kabisa.
Wale malaika walikuja kwa umbo la watu, kwa sababu ni watu wapya hawajawazoea wakataka kuwalawiti. Sio mara ya kwanza mtu mpya kuingia eneo na kutaka kubakwa au kibakwa kabisa. Soma kitabu cha waamuzi. Kuna watu wanaitwa watu wapumbavu walitaka kufanya kama wale wa sodoma.

Chanzo ni akili mbovu. Ndio maana kuna jamaa wanalawiti hadi sungura, mbwa, ng'ombe na jamaa mmoja brazil alioa mti.

Zinaa huwa inapogusha ufahamu.
 
Ubongo upo kwaajili ya kufikiri, ku-collect na ku-process taarifa na hatimae kufanya maamuzi nini kifanyike na hapo ndio movement za mwili huanza... Sasa kama kila unachokipenda, maamuzi na kufikikiri kupo based na mapepo na majini au Mungu Huu ubungo ni wa kazi gani?

Coz hai-make sense kuamua niamue mimi then useme cjui jini kaniingia kwenye Ubongo wangu ndo kanifanya nifanye ujinga how?

Decisions ni game of chances, kuna muda unakuwa correct na muda mwengine unakuwa wrong depends na situations, moods na bahati yako kwa hiyo siku
Maamuzi unafanya wewe ni kweli.
Kwa nini tunasema Yule mtu anaendeshwa na akili za mke wake au na marafiki zake.

Wale jamaa vita vyao ni kwenye huo mfumo wa kuchakata mawazo. Tena kunaandiko linasema kuna wazo linakuingia mojakwa moja kutoka kwa ibirisi kama Yuda. Katika processing na execution ndipo unatakiwa kuwa makini. Unaweza kujikuta umeanza kuchakata mawazo ya majini yaliyojiingiza katikati ya mawazo yako.

Ndio maana biblia inasisitiza sana ulinde sana ubongo wako kuliko kitu chochote.
 
Majini majanja sana. Yanaweza kudanganya watu yanaogopa mfupa wa nguruwe na bangi, wakati hayohayo wakati wa Yesu yaliomba yakimnilie kwa kwenye manguruwe kule kwa wagerasi.
Hakuna kiumbe kinachopenda kitimoto au kitu chochote kinachoathili akili za mwanadamu ikiwemo bangi na chochote kinacholeta uraibu kama majini.

Huwa ni maongomapngo na vigeugeu na masanii flani hivi. Wengi hawaelewi utendaji kazi wao ndio maana yanawasumbua.

ulikuwepo wakat majini yanaomba yaingie kwa nguruwe au umesoma kwenye vitabu ulivyo vikuta tayari vimeandikwa na wewe ukakaririshwa?
 
Majini majanja sana. Yanaweza kudanganya watu yanaogopa mfupa wa nguruwe na bangi, wakati hayohayo wakati wa Yesu yaliomba yakimnilie kwa kwenye manguruwe kule kwa wagerasi.
Hakuna kiumbe kinachopenda kitimoto au kitu chochote kinachoathili akili za mwanadamu ikiwemo bangi na chochote kinacholeta uraibu kama majini.

Huwa ni maongomapngo na vigeugeu na masanii flani hivi. Wengi hawaelewi utendaji kazi wao ndio maana yanawasumbua.
Mkuu kuna watu wanapenda sana kula nyama ya kuku wa kienyeji. Je, ulaji huo nao ni uraibu? Na kama ni uraibu nao umesababishwa na majini?
 
Mkuu kuna watu wanapenda sana kula nyama ya kuku wa kienyeji. Je, ulaji huo nao ni uraibu? Na kama ni uraibu nao umesababishwa na majini?
Kupenda kula na ulafi.
Kazi ya majini ni kuiba, kuharibu na kuua.
Yatakuhamasisha uwe mlafi hadi yakuharibu mwili ufe.
 
ulikuwepo wakat majini yanaomba yaingie kwa nguruwe au umesoma kwenye vitabu ulivyo vikuta tayari vimeandikwa na wewe ukakaririshwa?
Hata kama unayo ukija kwangu kama utayasaliti nikiyafukuza kama kuna nguruwe pembeni yatakomba yaingie huko.

Tunaongea experience sio maneno. Yale maneno ninauhakika nayo nimeyafanyia research.
 
Back
Top Bottom