Kila dhambi unayofanya kuna majini (mapepo) maalumu yako nyuma yake

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,587
15,370
Majini (mapepo) ua roho wachafu ni mengi kwa idadi hayahesabiki. Yote yako hapa duniani.

Sasa tofautisha mtu kupagawa na majini (possessed) na mtu kutawaliwa na majini (Controlled). Watu wanaopagawa na majini ni asilimia kama moja tu asilimia 99 ya watu wanatawaliwa na majini.

Hawa huwezi kuona wanafurukuta au wanaanguka hovyo na kutoa povu.

Kila aliyewahi kwenda kwa mganga anamapepo.

Kila addiction (pombe, madawa, bange) kuna majini yake.

Kila dhambi kuna majini yake nyuma yakishawishi uendelee.

Ushabiki hasa wa mpira na movie unamajini yake special kuhakikisha hushikiki. Bora utoroke kanisani ukaangalie match. Sio akili yako ni majini.

Sio kila unayemtamani ni akili au wazo lako, sio kila hamasa ya kuangalia porno ni akili yako, nyumq yake kuna ushawishi mkali wa mapepo.


Sasa ufanye nini?
Uwe mkweli kwa Mungu, ukili udhaifu uombe ulinzi wa damu ya Yesu na malaika wenye nguvu kuliko majini. Ruhusu roho mtakatifu na neno ndio lishawishi akili yako sio majini.

Ni hayo tu.
Barikiwa
 
Majini (mapepo) ua roho wachafu ni mengi kwa idadi hayahesabiki. Yote yako hapa duniani.

Sasa tofautisha mtu kupagawa na majini (possessed) na mtu kutawaliwa na majini (Controlled). Watu wanaopagawa na majini ni asilimia kama moja tu asilimia 99 ya watu wanatawaliwa na majini.

Hawa huwezi kuona wanafurukuta au wanaanguka hovyo na kutoa povu.

Kila aliyewahi kwenda kwa mganga anamapepo.

Kila addiction (pombe, madawa, bange) kuna majini yake.

Kila dhambi kuna majini yake nyuma yakishawishi uendelee.

Ushabiki hasa wa mpira na movie unamajini yake special kuhakikisha hushikiki. Bora utoroke kanisani ukaangalie match. Sio akili yako ni majini.

Sio kila unayemtamani ni akili au wazo lako, sio kila hamasa ya kuangalia porno ni akili yako, nyumq yake kuna ushawishi mkali wa mapepo.


Sasa ufanye nini?
Uwe mkweli kwa Mungu, ukili udhaifu uombe ulinzi wa damu ya Yesu na malaika wenye nguvu kuliko majini. Ruhusu roho mtakatifu na neno ndio lishawishi akili yako sio majini.

Ni hayo tu.
Barikiwa
Amina Mtumishi,toa mapepo!
 
Amen Amen ndugu muinjilisti. Sasa naomba niulize tu, Shetani alipofanya uhaini kule Mbinguni alishawishiwa na nani ?
Yule ni kama sisi. Ni kiumbe mwenye utashi wa kuchagua anachotaka.

Hata Gabriel akiamua kuasi tena part 2 anayohiyo choice. Mungu anajiamini sana, anajiumbia viumbe vyenye hadhi mbalimbali.

Hata mbinguni malaika wanafanya ibada kwa hiyari na kupenda sio shuruti.
 
Sasa hao majini wema waislamu wanawatoa wapi ?
Ule ni msimamo au makubaliano ya kidini, ila ni uongo. Hiyo nadharia haina proof.
Majini yote ni mapepo mashetani.

Katika ulimwengu wa Roho kuna Mapepo na malaika tu. Hakuna kiumbe wa katikati.

Huo ni ubunifu wa juzi tu wa karne ya 5BK. Kabla ya hapo dunia yote inajua mapepo na malaika tu.

Usiamini kabisa ile kitu, itakugharimu.
 
Ule ni msimamo au makubaliano ya kidini, ila ni uongo. Hiyo nadharia haina proof.
Majini yote ni mapepo mashetani.

Katika ulimwengu wa Roho kuna Mapepo na malaika tu. Hakuna kiumbe wa katikati.

Huo ni ubunifu wa juzi tu wa karne ya 5BK. Kabla ya hapo dunia yote inajua mapepo na malaika tu.

Usiamini kabisa ile kitu, itakugharimu.
Kwahiyo waislamu kudai kwamba majini wanaswali nao huko misikitini ni kutupiga kamba ?

Wahindu wana miungu yao mingi tu, na wakifanya ibada zao wanaamini wanapata majibu kama wewe, hiyo miungu yao unaiweka kwenye kundi gani ?
 
Kwahiyo waislamu kudai kwamba majini wanaswali nao huko misikitini ni kutupiga kamba ?
Wao wanatumia kitabu chao. Lakini vitabu vya mwenyezi Mungu vyote kabla yake hakuna hicho kitu.
Hapo wamefungamanishwa na mapepo kwa jina la majini safi.
Wanatakiwa kuombewa sana kwa upendo.
 
Wao wanatumia kitabu chao. Lakini vitabu vya mwenyezi Mungu vyote kabla yake hakuna hicho kitu.
Hapo wamefungamanishwa na mapepo kwa jina la majini safi.
Wanatakiwa kuombewa sana kwa upendo.
Muinjilisti, maelfu ya miaka hata kabla ya ukristo na uislamu kuzaliwa jamii mbalimbali zimekuwepo na miungu yao na ngano zinazofanana na zile za kiislamu na kikristo hasahasa kuhusu uwepo wa malaiku, kuzimu na mbinguni.

Mesapotamia na Misri sehemu ambazo ndiyo vitovu vya ustaarabu zilikuwa na uelewa wao wa kiroho ambao unaendana na wetu. Nini kimekufanya wewe uamini kwamba wao hawakuwa sahihi na wewe uko sahihi ?
 
Muinjilisti, maelfu ya miaka hata kabla ya ukristo na uislamu kuzaliwa jamii mbalimbali zimekuwepo na miungu yao na ngano zinazofanana na zile za kiislamu na kikristo hasahasa kuhusu uwepo wa malaiku, kuzimu na mbinguni.

Mesapotamia na Misri sehemu ambazo ndiyo vitovu vya ustaarabu zilikuwa na uelewa wao wa kiroho ambao unaendana na wetu. Nini kimekufanya wewe uamini kwamba wao hawakuwa sahihi na wewe uko sahihi
Hao wote ni matokeo ya mgawanyiko wa watu pale kwenye mnara wa babeli.
Ndio maana hadi Mexico kuna story za safina za nuhu. Ibada za wafu kila kona duniani. Na hapo ndio orgin ya mythology zote zilizotapakaa duniani.

Ndio maana mtu wa Mungu akiingia hukokote hizo elimu zinakuwa inferior na dhaifu. Daniel aliprove hizo akkaddian na messopotamia mythology ni upuuzi tu.
Hadi akapewa cheo cha mkuu wao wote anaripoti kwake. Wakati Daniel alikuwa kijana mdogo tu hana hata cheo Yerusalem alipotolewa.

Hayo yapuuze,
 
Hao wote ni matokeo ya mgawanyiko wa watu pale kwenye mnara wa babeli.
Ndio maana hadi Mexico kuna story za safina za nuhu. Ibada za wafu kila kona duniani. Na hapo ndio orgin ya mythology zote zilizotapakaa duniani.

Ndio maana mtu wa Mungu akiingia hukokote hizo elimu zinakuwa inferior na dhaifu. Daniel aliprove hizo akkaddian na messopotamia mythology ni upuuzi tu.
Hadi akapewa cheo cha mkuu wao wote anaripoti kwake. Wakati Daniel alikuwa kijana mdogo tu hana hata cheo Yerusalem alipotolewa.

Hayo yapuuze,
Muinjilisti, umechimba mambo vilivyo. Sasa naomba niulize, hivi wale wanefili ambao ni majitu walitokea wapi ?
 
Back
Top Bottom