mapepo

  1. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Mapepo ya JF

    Pepo la umbea/udaku (mafaili buku) Pepo la kukataa ndoa Pepo la kujichua Pepo la uchawa Pepo la upigaji Pepo la uzushi Pepo la ushoga Ongezea yaliyosahaulika NB: pepo la ushirikina, uchawi na ulozi limedhoofika sana baada ya wadau wake kutubu na kuokoka
  2. Think2

    JamiiForums Tanzania Sijawahi kuona tajiri ameanguka kwa mapepo kanisani

    Siijawahi kuona tajiri akiangushwa na mapepo kanisani ila masikini na wenye viator vya kati sasa 😂 😂 😂 Automatically ukiwa masikini unamapepo 😂 Vipi mdau umeshawahi ona tajiri anaangushwa na mapepo?
  3. Wazo la kabwela

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Jenista Mhagama Sekondari wanafunzi wanaanguka kwa mapepo

    Hii hali sasa imekuwa too much. Serikali ingilieni kati toka mwezi wa pili mwaka huu wanafunzi wa shule ya sekondari JENISTER MHAGAMA wa kidato cha kwanza na kidato cha tatu wamekuwa wakianguka mapepo... Leo watoto zaidi ya 100 wameanguka na hali zao ni mbaya wengine hawaoni wala kuongea...
  4. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Kwanini wazungu na matajiri hawaangushwi na mapepo?

    Nalikuwa kijana sasa ni mtu mzima sijawahi ona mzungu kaangushwa na mapepo ama tajiri akiombewa mapepo yamtoke! Walokole kwa aina zenu FPCT,TAG,UFUFUO,MUNGU WA BENDERA,MASANJA MKANDAMIZAJI CHURCH,GEODAVY CHURCH,MWAMPOSA CHURCH mtusaidie. Hao wenye mapepo ni ngumu sana kuwaona romani katoliki...
  5. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Mapepo yaliyotolewa na Makonda yalimwingia nani? Sasa we Gambo unabisha, ulikuwepo?

    Sasa wewe Gambo unabisha Makonda hakutoa mapepo, unabisha ulikuwepooooo? Je yalienda wapi mapepo hayoo? Ila siasa ni konyo wasemavya wapemba
  6. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tazama Mgombea ubunge jimbo la Arusha Mjini Paul Makonda akitoa watu mapepo

    Leo Safina, tumeshuhudia nguvu ya Mungu ikidhihirika kupitia mtumishi wake Paul Makonda Kwa jina la Yesu Kristo, pepo wameondoka na watu wengi wamepata uhuru wa kweli. Kama maandiko yanavyosema, ‘nanyi mtajua kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru’ (Yohana 8:32). Hakika Mungu yupo pamoja nasi.”
  7. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mbungwa: Ngoma ya Mashetani na wenye mapepo. Kula Chuma hicho.

    MBUNGWA: NGOMA YA MASHETANI NA WENYE MAPEPO. KULA CHUMA HICHO. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Narudisha miaka yangu nyuma kidogo. Kumbukumbu zinanichukua na kunipeleka kwa kasi kisha zinapunguza mwendo kwa kasi, polepole naanza kuyaona matukio ya mwaka mpaka mwaka kuanzia miaka ya 1995 mpaka...
  8. A

    JamiiForums Tanzania Nini maana yake? Kuota unafanya mapenzi

    Wakuu Kuna hili swala Nimekuwa nikilisikia mara kwa mara na watu wanasema ukemee hilo swala la kuota unafanya mapenzi sababu unafanya mapenzi na wàchawi Ila Mimi sikua nakemea sababu sioni kama ni sahihi Kila mtu anatafsiri yake ya ndoto Mfano redioni siku hizi hata station kubwa hapa bongo...
  9. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Mapepo yanaweza kukuingia ukiwa na uchungu moyoni. Samehe ondoa huo uchungu

    Soma waefeso 4.mstari wa 26 na 27 ondoa moyoni..uchunguu kuna mtu moyo wake sa hii umejawa maumivuu ondoa huoo uchunguu Mungu akubariki Akutie nguvu
  10. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Cameramen huwa hawaanguki na mapepo, njia ya kwenda kwa mganga imejaa masikini ila we unatoka mjin kufata utajir kwake, ishara ni nying ila mwafrika🤣

    Tunahangaika na vitu ambavyo tunataka vi-prove kitu kwetu wakati hata vyenyewe binafsi haviwezi hata kuji-prove.
  11. a sinner saved by Christ

    JamiiForums Tanzania Sababu ya wanawake wengi wa kikristo kuanguka/kulipuka mapepo wanapo ombewa ,kuliko ilivyo kwa wanaume

    Ni sababu ya mapambo mengi ambayo mwilini mwao kuanzia kwenye nywele kichwani mpaka kwenye kucha za miguu. MAPAMBO YOTE HAYO YANAFUNGUA MLANGO WA KUMILIKIWA NA MAPEPO/MAJINI/KUZIMU. Kwa sababu Mungu hapendezewi nayo na hayatokani na Mungu bali yanatokana na kuzimu/roho ya uasi./mapepo/majini...
  12. Setfree

    JamiiForums Tanzania Yajue mapepo yanayosababisha ndoa kuvunjika

    Ndoa ni agano takatifu linalomuunganisha mwanaume na mwanamke mbele za Mungu. Hata hivyo, ndoa nyingi zimevunjika au zimejaa migogoro mikubwa isiyoelezeka, kiasi cha kuwafanya wengine wafikirie kukataa ndoa. Matatizo ya ndoa wakati mwingine chanzo chake ni cha kiroho. Biblia inatufundisha kuwa...
  13. Setfree

    JamiiForums Tanzania Kusinzia Kanisani ni Dalili ya Kuingiliwa na Mapepo

    Kusinzia ni jambo la kawaida kwa mwanadamu aliyechoka. Lakini kusinzia wakati wa ibada, hasa wakati Neno la Mungu linafundishwa, sio jambo la kawaida kiroho. Ni dalili ya mashambulizi ya kipepo, yanayolenga kuzima roho yako usipokee Neno la uzima. Ukweli huo unathibitiswa na Marko 1:23...
  14. R

    JamiiForums Tanzania Nini hutokea kichaa kisababishwacho na mapepo kinapompata Mwanadamu?

    Salaam, Shalom! Aina ya ukichaa ninayoiongelea Leo, ni tofauti, SI Ile inayotibika hospitalini, Aina hii ya ukichaa ni Ile ambayo madaktari hupima Kila kitu na kuona kipo sawa, wasione ugonjwa wowote, lakini mgonjwa Hali ni Tete. NINI HUTOKEA KATIKA AINA HII YA UKICHAA. Pepo au jini...
  15. chiembe

    JamiiForums Tanzania Gwajima akitumia mafuta ya kutoa mapepo yanayotengenezwa na Sheikh Mwaipopo, yanaweza kumsaidia kutoa mapepo yanayomsumbua

    Nashauri watu walio karibu na Gwajima wamshauri amuone Sheikh Mwaipopo amsaidie dawa ya kuondoa mapepo. Sheikh huyu anauza mafuta ambayo yanasaidia kuondoa mashaitwani. Nina imani yanaweza msaidia Gwajima kwa tatizo hilo
  16. R

    JamiiForums Tanzania Ninyi wahubiri wakristo hebu sasa acheni kutuaibisha. Yesu alikuwa anakemea mapepo masaa na na masaa au ilikuwa ni AMRI MOJA, ONDOKA?

    Mnafanya mambo ya upumbavu. Kwa damu ya Yesu × 500, kwa jina la Yesu x 400, toka toka toka x600. Kwa damu ya mwana kondoo x500 ....n.k. Huo ni upumbavu na hao wanaojazana humu nao ....... Yesu wala mitume hawakufanya ujuha huo. Ninyi ni wanamazingaombwe tu. BIBLIA ILISHAWEKA WAZI NINYI...
  17. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Hakuna majini wazuri, yote ni mapepo machafu

    Kuamini kwenye MAJINI ni dalili za uchawi
  18. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Kwanini mapepo, majini, wachawi na roho wabaya wote humwogopa YESU KRISTO

    Yesu Kristo - Mbabe wa mapepo, majini, wachawi na roho wabaya wote "Na pepo waliokuwa waovu walipomwona, walianguka mbele yake, wakapiga kelele wakisema, Wewe u Mwana wa Mungu!" Luka 4:41 Katika ulimwengu wa kiroho, kuna vita visivyoonekana vinavyopiganwa kila siku kati ya nuru na giza...
  19. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Muhamad aliporogwa na kukumbwa na mapepo. Alijitahidi pia kuyafanya majini yawe Maislamu dhabiti

    Hadith Inayohusiana na "Uchawi"Hadith inayojulikana zaidi kuhusu suala hili iko katika Sahih al-Bukhari na Sahih Muslim, ambazo ni vyanzo vya kuaminika zaidi vya Hadith katika Uislamu wa Kisunni. Hadith hii inasimulia tukio ambapo Nabii Muhammad alidaiwa kurogwa (kufanyiwa uchawi) na mtu wa...
  20. Setfree

    JamiiForums Tanzania Zijue dalili za kuvamiwa na mapepo

    Dalili za kuvamiwa na mapepo zinaweza kutofautiana kulingana na aina ya mapepo na kiwango cha uvamizi. Kulingana na Biblia na mafundisho ya Kikristo, dalili zinaweza kuwa za kimwili, kiakili, kihisia, na kiroho. Nakutajia hapa baadhi ya dalili kuu: 1. Dalili za Kiroho: Chuki au upinzani mkali...
Back
Top Bottom