Kikwete, sasa umemwelewa Sumaye?

Aliyemuelewa/anaemuelewa Sumaye hana tofauti na Sumae mwenyewe, mwenye akili timamu hawezi kumuelewa Sumae mtu ambae amekuwa PM kwa kipindi cha miaka 10 halafu mtu huyo huyo leo anasema serikali (ambayo yeye alikua sehemeu yake) imewatelekeza wananchi wake kwa miaka mingi (including miaka ambayo yeye amekua PM)!!

Naamini waliomuelewa/wanaomulewa Sumae ni lile kundi alilolitaja Ben Mkapa siku ile ya uzinduzi wa kampeni za ccm pale jangwani - malofa na wapumbavu!!! Kweli baadhi ya watanzania ni wavivu wa kufikiri, hasa wale wanaomuelewa Sumae!!


Hivi kuelewa kwako kuna maana ipi?
 
Ndugu wana JF,

Nimelazimika kumwandikia rafiki yangu kipenzi JK waraka huu wa swali kwamba sasa amemwelewa Sumaye? Ktk makundi ya wanafunzi tunazo aina tatu yaani gold...silver...stone.

Gold huweza kuelewa bila msaada wa mwalimu na kwa haraka sana... Silver huelewa mara moja akifundishwa na mwalimu na hahitaji nguvu ya ziada ... Stone yeye hata akifundisha ni ngumu kuelewa na huhitaji mbinu kali zaidi aelewe ikibidi kwa kurudia rudia somo lkn hawa hawafiki mbali kielimu.

Nimeanza na utangulizi huo nikiikumbuka kauli ya rafiki yangu JK pale jangwani kwenye ufunguzi wa kampeni za CCM aliposema amemsikiliza Sumaye hajamwelewa!! anasema mpaka siku hiyo anapokwenda uwanjani alikuwa hajamwelewa!!!!

Lakini ktk sokomoko hilo tumeshuhudia CCM ikibadili mbinu na sera... Bajeti ya kampeni ikiongezeka maradufu na hata kuwakumbatia wale JK aliowaita wanamiliki viwanda vya uongo ili tu kupunguza mvumo wa kauli na sumu za Sumaye majukwaani ndo nauliza sasa JK amemwelewa Sumaye?

Ndani ya vikao vya siri ajenda imekuwa Sumaye... ndugu yangu BM hana raha tangu Sumaye aondoke CCM...

Vilio na kutupiana lawama vimetawala ndani ya CCM juu ya kile Sumaye anafanya huko UKAWA!!!

Mafaili machafu dhidi yake yametafutwa yamekosekana!! hata hoja ya shamba halali la mvomero iliyoletwa na Makamba haijauza sasa wanaulizana ITAKUWAJE SUMAYE ANAYETUJUA SISI BINAFSI AKIAMUA KUFUNGUKA??

Siku anajitoa CCM Sumaye alisema huko CCM mmemuona ni sisimizi tu kiasi cha kuandika barua kutojibiwa hivyo wataona umuhimu wake akiwa Upinzani na ni dhahiri sasa anawatetemesha ndipo nauliza JK sasa umemwelewa Sumaye?

Nimeuliza kote walikopita wana UKAWA nimeambiwa watu wamekua na shauku kubwa mno yakumsikiliza bwana zero kuliko yeyote na amekuwa akitoa hamasa sana ....

Sumaye amejenga ujasiri sana kwa wapinzani na wapenda mabadiliko... ameondoa hofu na woga... amejenga kujiamini sasa vinaanza vitisho kuwa nchi haiendi upinzani!!!!

Nauliza tena JK uliyesema kwa dharau humwelewi Sumaye sasa umemwelewa au abadili mbinu za ufundishaji? umuulize na mdogo wako Makongoro ule mchezo wa CHANDIMU vipi mbona amechoka mapema??

Ahsante kwa kunisoma natumai umenielewa!!!

Ndimi LUSUNGO.
nashangaa sana kama wewe ni mwalimu na unawaweka wanafunzi katika makundi hayo basi elimu hii nchi haiwezi kukuwa, lakini kama ni mtazamo wako ulishidwa kuelewa groups ya wanafunzi basi siyo makosa yako kwa sababu hujui ukweli kuna groups ni kama zifuatazo Fast/ Gifted-Learner, Superior/ Bright-Learner, AverageLearner-and-Slow Learner na hakuna hizo unazosema,nachohofia kuna waalimu hawajui wasije wakaanza kuita watoto hilo jina la stone wakidhani wewe Uko sahihi,lakini kama nikijembe kwa mheshimiwa nimecheka sana.
 
Atamuelewa zaidi tarehe ishirini na tano mwezi wa kumi elfu mbili na kumina tano, kuanzia saa nane mchana matokeo yatakapoanza kubandikwa
 
Kumbe Lowassa alifanya mambo live chato! aibu

Aisee wewe ni zaidi ya jiwe, unapaswa kuwa kiazi. Si kosa lako ni kosa la aliyekuwa naibu wako wa elimu Mulugo. Tanzania ni muungano wa Zimbabwe na Zanzibar.
 
Aisee hao vijana wa IT masaki wana ubongo wa KENGE


CCM ni wapumbavu kupita maelezo.
Wanashindwa kujua kuwa wanapambana na mtu ambaye anapendwa na watu bila kutumia nguvu?
Lowasa ana vijana wanaompenda ila CCM wamefungua hadi IT Centre Masaki.
What a shame.
 
nashangaa sana kama wewe ni mwalimu na unawaweka wanafunzi katika makundi hayo basi elimu hii nchi haiwezi kukuwa, lakini kama ni mtazamo wako ulishidwa kuelewa groups ya wanafunzi basi siyo makosa yako kwa sababu hujui ukweli kuna groups ni kama zifuatazo Fast/ Gifted-Learner, Superior/ Bright-Learner, AverageLearner-and-Slow Learner na hakuna hizo unazosema,nachohofia kuna waalimu hawajui wasije wakaanza kuita watoto hilo jina la stone wakidhani wewe Uko sahihi,lakini kama nikijembe kwa mheshimiwa nimecheka sana.

Nawe pia ni kundi la stone,huwezi kumuelewa lusungo! Unakariri tu Sawa na ndugu #HapaMatusiTu ,na mkwere.
 
Last edited by a moderator:
Na wewe una akili za sisimizi ka Sumaye. Amekuwa Waziri Mkuu kwa miaka 10 hadi kipindi chake kilipoisha.

Ni concern gani tena aliitaka toka kwa Serikali. Ni yeye pekee ndo anastahili?

Nonsense.

Akili yako haifai hata kuichukua maana umelogwa na CCM.
ikiwa ccm imekaa miaka 53 na hakuna lolote walilotufanyia sembuse huyu wa miaka 10?
 
Wakati anamponda Lowassa ulutheri na ukanda hakuwa nao?

Wakati EL na Sumaye wakiwa paka na panya hawakuwa wote walutheri? sasa ilikuwaje?

Mbona Mwigulu Mlutheri lakini anaendesha mashambulizi kwa EL?

Mbona Mangula Mlutheri lakini anaendesha mapambano dhidi ya EL?

Sitta... Mwakyembe je?

Hivi kwanini CCM mnapenda kukimbilia ajenda za kipuuzi zinazoweza wamaliza wenyewe?

Kuna walutheri wangapi wenye nguvu huko CCM ambao ndo mnawatumia kumpiga EL?

Unafikiri wote ni manyani kama wewe mnaokimbilia abracadabra za udini?

Hawa wanataka huruma za udini, Ukanda, Ugonjwa na vitu visivyo na msingi
 
CCM ni wapumbavu kupita maelezo.
Wanashindwa kujua kuwa wanapambana na mtu ambaye anapendwa na watu bila kutumia nguvu?
Lowasa ana vijana wanaompenda ila CCM wamefungua hadi IT Centre Masaki.
What a shame.


CCM inakata Roho kama mchawi!!!

Wanahangaika sana!!!
 
Back
Top Bottom