Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,230
- 39,639
- Thread starter
- #201
Aliyemuelewa/anaemuelewa Sumaye hana tofauti na Sumae mwenyewe, mwenye akili timamu hawezi kumuelewa Sumae mtu ambae amekuwa PM kwa kipindi cha miaka 10 halafu mtu huyo huyo leo anasema serikali (ambayo yeye alikua sehemeu yake) imewatelekeza wananchi wake kwa miaka mingi (including miaka ambayo yeye amekua PM)!!
Naamini waliomuelewa/wanaomulewa Sumae ni lile kundi alilolitaja Ben Mkapa siku ile ya uzinduzi wa kampeni za ccm pale jangwani - malofa na wapumbavu!!! Kweli baadhi ya watanzania ni wavivu wa kufikiri, hasa wale wanaomuelewa Sumae!!
Hivi kuelewa kwako kuna maana ipi?