Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,142
- 39,388
- Thread starter
- #121
Mr Zero ana ulizwa na Tido wewe uliwahi kusema Lowassa ni Fisadi leo una muuza kwa Watanzania ameacha Ufisadi?? Mr Zero anajibu yeye hajawahi sema Lowassa ni Fisadi ila alisikia tu mitaani
Sawa sasa tujibu vipi JK kashamwelewa mr. zero au abadili mbinu ya ufundishaji?