Kikwete anawakwepa watanzania wa USA - tena!

Mwafrika wa Kike,its good tunapoona watanzania walioko marekani wanataka kuongea na RAIS wa JAMHURI HURU YA TANZANIA,lakini ni jaribu kusema kwa niaba ya Rais why hana muda huo.
1;Its just kupoteza muda kuongea na wananchi kama ww ambao wana mawazo ya kusadikika kama wewe.
2;Sisi wakulima huku vijijini tuna onana na Rais every time bcs nchi hii ni ya WAKULIMA sasa nyie wazamiaji hamjui sera za nchi u will just west time ya rais kujadiliana na nyie bcs Mawazo,Fikra na idea zenu zote ni za kusadikika.
3;Kama mnataka kumuona Rudini BONGO tuje tulime ARDHI ni kubwa sana huku Fedha mnazodai mnaleta hapa Nyumbani mbona hazina impact kwetu wananchi au JEANS na Tshirt,Nyie mnachangia kukua uchumi wa Marekani sasa i thout mngeli omba kuongea na GEORGE BUSH.na JK bcs yy anatufanyia kazi sisi watanzania na si watanzania wamarekani.
MWISHO HOJA MNAZOTAKA KUONGEA NA RAIS WEKENI HAPA TUTASAIDIA KUJIBU KAMA WANANCHI WA JAMHURI HII.

Ama kweli kuna watu ambao bado wanaota ndoto za mchana. Hivi mtoto wa mkulima unadhani hicho kilimo chako cha jembe la mkono ambacho ndicho kinatumiwa na wakulima waliowengi hapa Tanzania ndio kitatukomboa na kutufanya tuendelee?? Kati yako wewe na MWK nani ana mawazo ya kusadikika??

Hebu jiulize kwanza JK kaenda USA kufanya nini? Huo mualiko alioenda kuutoa huko ni kwaajili ya watu gani?? wakulima au wafanyabiashara??

JK ni Rais wa waTZ wote kwa hiyo waTZ walioko USA wana haki sawa ya kuonana nae kama ulivyokuwa nayo we mkulima.
 
Wabongo wa US muunde tawi la CCM huko kama walivyofanya wenzenu wa UK ndo mkuu wa kaya atakuwa tayari kuongea nanyi.Halafu upinzani wenu kwa serekali ya JK unaonekana wazi hapa, nadhani hata kama hasomi hapa taarifa zitakua zinamfikia.
 
ina maana rais ni wa wana CCM tu?

He hasnt got the bottle to face you guys, anajua mtamgrill kwelikweli....Msije mpa depression buree.Mngekua wanaCCM- ingekua ni mwendo "kidumu chama cha mapinduzi" na "CCM hoyee" huku akimwagiwa misifa kibao na angerudi bichwa limvimba kichizi.
 
Eti watu wa-behave kama maadili ya kiafrika yanavyosema, hebu tutolee upumbavu wako hapa na hayo maadili yako ya kiafrika. Wangekua wanafuata maadili ya kiafrika wasingekuwa wanaiba rasilimali kwa kasi kama hii. Wangekuwa wanafuata maadili ya kiafrika wasingekuwa wanawasaidia hawa wazungu wa makampuni mbalimbali ya madini watuibie, wangekuwa wanafuata maadili ya kiafrika wasingelindana kwenye kula rushwa. Kama maadili ya kiafrika ni kusema ndio kila kitu ambacho mkubwa wako anasema na huku akijua hakutendei haki basi hayo maadili yenu ya KIAFRIKA NI YA KIPUMBAVU na sitokubali kuyafuata.
 
Eti watu wa-behave kama maadili ya kiafrika yanavyosema, hebu tutolee upumbavu wako hapa na hayo maadili yako ya kiafrika. Wangekua wanafuata maadili ya kiafrika wasingekuwa wanaiba rasilimali kwa kasi kama hii. Wangekuwa wanafuata maadili ya kiafrika wasingekuwa wanawasaidia hawa wazungu wa makampuni mbalimbali ya madini watuibie, wangekuwa wanafuata maadili ya kiafrika wasingelindana kwenye kula rushwa. Kama maadili ya kiafrika ni kusema ndio kila kitu ambacho mkubwa wako anasema na huku akijua hakutendei haki basi hayo maadili yenu ya KIAFRIKA NI YA KIPUMBAVU na sitokubali kuyafuata.

Mkuu Geeque,

Yaani tumwambie Invisible kuwe na kuweka thanks 100 maana hapa ningebonyeza mpaka zifike.

Umeongea yote zaidi hata ya yale ambayo ningeweza kuandika. Hakuna cha kuongezea hapo mkuu.
 
Anasubiri muunde 'Jumuia' kwanza ndio akutane nanyi. Hamuoni wenzenu wa Uingereza mambo yanavyowanyookea?

Hakuna kunyooka kitu. Jiulize kwa nini wanapenda sana kupita London? Ukilijua hilo utaona jinsi pesa ya walipa kodi inavyoteketezwa kwa kupitia ofisi hii, na ipo siku tutaweka shinikizo kwa serikali ya UK kufunga account za wezi wote kutoka Tanzania. Mugabe hadi sasa analialia kama tumbili maana kilichompiga usoni alikuwa hakifahamu sasa tunaye huyu JK ambaye anafikiri sisi wote ni mataahira.
 
Nina wasiwasi kama "mtoto wa mkulima" ni mtoto wa mkulima kikweli, labda mtoto wa kigogo akijifaragua kama mtoto wa mkulima au ana makovu ya kisaikolojia na safari.Mtoto wa mkulima wa kawaida Tanzania hata mtandao anausikia kwenye bomba, anataka kutuzuga nini?

Ingawa binafsi kama nilivyowahi kusema hapo nyuma sihudhurii vikao vya rais anapokuja huku (labda kujumuika na watanzania tu, sitegemei chochote cha kujenga) naamini Watanzania popote walipo wana haki ya kukutana na viongozi wao.

Hayo maneno ya mtoto wa mkulima yanaonyesha kukurupuka.

Mwafrika wa Kike,its good tunapoona watanzania walioko marekani wanataka kuongea na RAIS wa JAMHURI HURU YA TANZANIA,lakini ni jaribu kusema kwa niaba ya Rais why hana muda huo.
1;Its just kupoteza muda kuongea na wananchi kama ww ambao wana mawazo ya kusadikika kama wewe.
2;Sisi wakulima huku vijijini tuna onana na Rais every time bcs nchi hii ni ya WAKULIMA sasa nyie wazamiaji hamjui sera za nchi u will just west time ya rais kujadiliana na nyie bcs Mawazo,Fikra na idea zenu zote ni za kusadikika.
3;Kama mnataka kumuona Rudini BONGO tuje tulime ARDHI ni kubwa sana huku Fedha mnazodai mnaleta hapa Nyumbani mbona hazina impact kwetu wananchi au JEANS na Tshirt,Nyie mnachangia kukua uchumi wa Marekani sasa i thout mngeli omba kuongea na GEORGE BUSH.na JK bcs yy anatufanyia kazi sisi watanzania na si watanzania wamarekani.
MWISHO HOJA MNAZOTAKA KUONGEA NA RAIS WEKENI HAPA TUTASAIDIA KUJIBU KAMA WANANCHI WA JAMHURI HII
1.Nakubaliana na wewe, ingawa kwa sababu tofauti.Ni kupoteza muda kwa sababu maswali muhimu yanajibiwa kwa propaganda na "responses" badala ya kufanyiwa kazi.

2.Dead wrong, kuna watu huko bado wanafikiri Nyerere ndiye rais.Kama nilivyosema, labda wewe ni mkulima special kwenye shamba lake la minanasi au upo kwenye "ukulima wa vigogo" ndiyo maana una special access.

3.Sio lazima kurudi nyumbani ili mtu ashiriki katika mchakato wa siasa na uchumi.Kuhusu fedha kutokuwa na impact hapa unajionyesha ukosefu wako wa habari, remittance za Watanzania zinaleta fedha nyingi za kigeni kuliko dhahabu, kwa mujibu wa ofisi ya makamu wa rais 8% ya familia za Tanzania zinategemea remittance *. By October 2007 Unajua kwamba 2.4% ya GDP au $ 313m zilitokana na remittance (International Fund for Agricultural development)**

According to a Tanzania Chamber of Minerals and Energy brochure, mining companies paid US$68.9 million in royalties, taxes and other contributions to the Tanzanian Treasury in 2005, compared to US$2.2 million in 1997. Between 1997 and 2005, the industry has paid a total of US$255.5 million in taxes and royalties. According to the government, minerals worth US$693 million were exported in 2004, compared to US$45 million in 1995***
Tafadhali lete masuala yenye kina, sio vitu visivyoeleweka.

Sources

* http://www.sendmoneyhome.org/uploads/2007/04/uk-press-release-07a-updated.doc

** http://www.ifad.org/events/remittances/maps/africa.htm
2007 International Forum on Remittances at the IDB Conference Center in Washington DC, on 18-19 October 2007.

*** http://www.iht.com/articles/ap/2006/10/26/business/AF_FEA_FIN_Tanzania_Mining.php

http://www.livelihoods.org/hot_topics/docs/RemitTanzania.pdf
 
Napenda pale isssues zinapojibiwa kwa nguvu ya hoja na siyo hoja za nguvu. Thanks Pundit for useful resources
 
Mkuu Geeque,

Yaani tumwambie Invisible kuwe na kuweka thanks 100 maana hapa ningebonyeza mpaka zifike.

Umeongea yote zaidi hata ya yale ambayo ningeweza kuandika. Hakuna cha kuongezea hapo mkuu.

Ahsante sana Mazee, unajua wakati mwingine inashangaza pale baadhi ya watu wanapokuja na ngonjera ndefu za kunyamazisha watu kwa kutumia vigezo ambavyo havina kichwa wala mguu.
 
Hii habari ya zamani lakini nimeona niweke hapa...alafu hili la kukwepa ni kuwa Rais ndio anapanga kuonana na Wananchi au wawakilishi wetu kwenye nchi husika ndio wanatakiwa kufanya hivyo? Sometimes wengine tunaolalamika kuwa kakwepa kuonana na Watanzania tunakaa sijui California,Minnesota au Texas sidhani kama tunategemea afunge safari kuzunguka US nzima kuonana na Bongonians. Muungwana anageuza jumapili so kuna leo na kesho nadhani anaweza kupata nafasi.

Jakaya Kikwete, The Hope Of Africa

The appointment of the Tanzanian Minister of Foreign Affairs and International Co-operation, Dr. Asha-Rose Migiro, a position hitherto held for over ten years by President Jakaya Kikwete, by the UN Secretary-General Ban Ki-Moon as his number two, is widely perceived as a fulfillment of a promise he made to appoint a woman to that covetous position.

It is also perceived by keen political observers of Tanzania and Africa as a deserved recognition of the politics and policies of a man whose rise to power and performance ever since brings hope to a troubled continent perceived by many a Gulliver in captivity.

When Kikwete was propelled to power not long ago, beating talented political heavy weights like Professor Ibrahim Lipumba of the Civil United Front, the fiery veteran Augustine Mrema of the Tanzania Labour Party, the very youthful and promising Freeman Mboye, he promptly appointed Dr. Migiro and several very talented women to key positions in his cabinet.

These include, Finance, Justice and Constitutional Affairs and several more in the civil service and provincial administration.If the UN appointment is deemed to be in recognition of the current trend in world politics where humanity is turning to women for

leadership in a world where men obsessed with power are consistently steering the ship of world affairs towards war and destruction, Kikwete is a first in a class of world leaders to have identified and recognised the leadership and contribution of women in the politics of peace and development, a sine qua non for a new world social order which he, himself, symbolises.

The many women in his cabinet are elsewhere in Africa fondly called "Kikwete babes".
Kikwete is also a first in many other domains. He does not pay lip service to the fight against corruption, poverty, disease and many other ills that brutal dictators in most of Africa have plunged the continent nor does he politicise it.

His first visits as President to a public service was to a prison, a hospital, a market and other places that unmistakably pointed to the fact that he intended to make the people, real people and their wellbeing the cornerstone of his administration.

And when he took up the file on corruption, which is the bane of most African regimes, he did so in a manner that was applauded by the citizenry; friends as well as adversaries, to the admiration of most foreign observers.

He promptly took measures pointing to the guarantee and the protection of the economic interest of his countrymen and women in the tourism and mining sectors while encouraging foreign investments, an act hardly seen elsewhere in Africa.

His influence in Africa and the world surged after his well received and highly applauded UN address in which he spoke for the vast majority on the planet by calling for an end to war, poverty and disease and advocating a new world social order and a new humanity in which all will live in peace, progress and prosperity.

For once an African leader was at last speaking for a continent and most of the world in a new and original tone that reflected the hope and aspirations of real humans. For once an African leader delivered a message full of meaning, hope and respect for humanity irrespective of colour, race and religion.

Arusha, Tanzania, in deference to this great leader and his peace loving and friendly people, an astute student of the colossus Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, has been transformed into a mini-African and world capital by the sheer number of conferences that take place there throughout the year.

It is also an ideal pilgrim's paradise for those who aspire to have a taste of yet unadulterated natural environment, peace and development that eludes an afflicted continent torn by endless strife by a predatory neo-colonial ruling class.

Kikwete is, indeed, the hope that Africa has sought for so long. He is the first among emerging African leaders whose originality and simplicity elicits hope for a better Africa after the "big men' shall leave the stage. And this will be very soon indeed.

Chief Charles A. Taku, International Lawyer, Writer and Pan-Africanist is lead counsel at the ICTR and the Special Court for Sierra Leone.

Source hii hapa
 
Hii article ya kipambe kaandika nani? Isije kuwa ndiyo mtandao unafagilia.
 
Jamani acheni kulalamika!
Mungwana hakwenda pale for his people's interest! Ameenda for his own interest.
Kaalikwa na mabesti wake na matapeli wa kimataifa akina Andrew Young na Paul Tudor Jones! Wamempa tuzo na kumwagia sifa. sasa aonane na wabongo kwa nini, ili wampe mfadhaiko wa akili? No way, Mwafrika wa kike, wewe ndiyo ulimwambia mungwana abembee! sasa utaona anavyojua kubembea!
This is our president! Tungojee hiyo 2010!
 
Jamani acheni kulalamika!
Mungwana hakwenda pale for his people's interest! Ameenda for his own interest.
Kaalikwa na mabesti wake na matapeli wa kimataifa akina Andrew Young na Paul Tudor Jones! Wamempa tuzo na kumwagia sifa. sasa aonane na wabongo kwa nini, ili wampe mfadhaiko wa akili? No way, Mwafrika wa kike, wewe ndiyo ulimwambia mungwana abembee! sasa utaona anavyojua kubembea!
This is our president! Tungojee hiyo 2010!

Ina maana hao jamaa ndiyo wamelipa gharama zote i.e. usafiri, malazi pale Four Seasons, per-diem za ujumbe wake ??!!
 
Susuviri,
I couldnt have said it better. Niliachwa mdomo wazi kwenye ile tafrija ya jana usiku pale Andrew Young alipomwintroduce Kikwete kama kiongozi aliyekuwa "groomed" na Julius Nyerere. Sioni lolote ndani ya uongozi wake linalofanana na Julius Nyerere. Lakini baada ya kusoma bandiko la Kichuguu kuhusu Andrew Young, sishangai tena. Hawa wapo hapa kwa maslahi yao wenyewe na kampuni zao. Kampuni ya Andrew Young, Goodworks International, imeshalalamikiwa Nigeria. Huko Tanzania wameshanunua Hotel Mount Meru. Mwakilishi wake pale Dar-es-Salaam alipokelewa kiserikali na rais akiagiza apewe usafiri wa kiserikali. Ila naunga mkono wazo la Sullivan Summit kufanyika Arusha. Hii pia itasaidia kuiweka Tanzania kwenye ramani na kutuongezea utalii. Katika tafrija za jana walikuwepo Boys 2 Men original. walitumbuiza kwa nyimbo zao tamu kukiwemo na ule "End of the Road." Chris Tucker did not disappoint either. Mwawado, sikukuona, ingawa hata kama tulionana singeweza kukufahamu. And so Icadon. There was no press room.
 
Susuviri,
I couldnt have said it better. Niliachwa mdomo wazi kwenye ile tafrija ya jana usiku pale Andrew Young alipomwintroduce Kikwete kama kiongozi aliyekuwa "groomed" na Julius Nyerere. Sioni lolote ndani ya uongozi wake linalofanana na Julius Nyerere. Lakini baada ya kusoma bandiko la Kichuguu kuhusu Andrew Young, sishangai tena. Hawa wapo hapa kwa maslahi yao wenyewe na kampuni zao. Kampuni ya Andrew Young, Goodworks International, imeshalalamikiwa Nigeria. Huko Tanzania wameshanunua Hotel Mount Meru. Mwakilishi wake pale Dar-es-Salaam alipokelewa kiserikali na rais akiagiza apewe usafiri wa kiserikali. Ila naunga mkono wazo la Sullivan Summit kufanyika Arusha. Hii pia itasaidia kuiweka Tanzania kwenye ramani na kutuongezea utalii. Katika tafrija za jana walikuwepo Boys 2 Men original. walitumbuiza kwa nyimbo zao tamu kukiwemo na ule "End of the Road." Chris Tucker did not disappoint either. Mwawado, sikukuona, ingawa hata kama tulionana singeweza kukufahamu. And so Icadon. There was no press room.

Jasusi,

Karibu sana, ulipotelea wapi?
 
Susuviri,
I couldnt have said it better. Niliachwa mdomo wazi kwenye ile tafrija ya jana usiku pale Andrew Young alipomwintroduce Kikwete kama kiongozi aliyekuwa "groomed" na Julius Nyerere. Sioni lolote ndani ya uongozi wake linalofanana na Julius Nyerere. Lakini baada ya kusoma bandiko la Kichuguu kuhusu Andrew Young, sishangai tena. Hawa wapo hapa kwa maslahi yao wenyewe na kampuni zao. Kampuni ya Andrew Young, Goodworks International, imeshalalamikiwa Nigeria. Huko Tanzania wameshanunua Hotel Mount Meru. Mwakilishi wake pale Dar-es-Salaam alipokelewa kiserikali na rais akiagiza apewe usafiri wa kiserikali. Ila naunga mkono wazo la Sullivan Summit kufanyika Arusha. Hii pia itasaidia kuiweka Tanzania kwenye ramani na kutuongezea utalii. Katika tafrija za jana walikuwepo Boys 2 Men original. walitumbuiza kwa nyimbo zao tamu kukiwemo na ule "End of the Road." Chris Tucker did not disappoint either. Mwawado, sikukuona, ingawa hata kama tulionana singeweza kukufahamu. And so Icadon. There was no press room.

Nitakwambia zaidi kwenye pm, meza ya press sikuiona vile vile.Alafu ni watu wangapi walinunua hizo DNA test kits?

Mwaka 2005 katika pita pita yangu nilijikuta pale Georgia State University Andrew Young School of Policy Studies, baada ya semina ile akawa anazungumzia kuhusu uchaguzi wa Tanzania na alimzungumzia Rais Kikwete kiundani(inaonekana wanajuana sana)

293136430.jpg

Andrew Young
 
Jasusi, habari za kufanyika mkutano huu Arusha mwakani zilikuwa tayari kwenye habari six months ago. Je ilikuwa ni lazima Rais ndiyo aje kutangaza hilo? Halafu hiyo tuzo ina prestige gani ya kumfanya mtu akurupuke kwenda kuifuata? Kwanini wasiamue kusubiri na kumpatia watakapokuja mwakani? Nadhani najua jibu la hilo swali la mwisho... they are helping him out kwa Watanzania!!!
 
Watanzania tulioko Marekani tuko fragmented hatuna ushirikiano ila kelele nyiingi.Vigroup viingi, mikutanoni ni kutambiana na kuchekana, kila mmoja na interest zake. Mwacheni muungwana afanye kazi zake na kwa wale tuliotegemea kupewa madaraka kwa vile we feel we are capable, tukubali kuwa wamepewa wengine na ingawa ni vilaza based on our perception,hao ndio wanaoiongoza Tanzania na ni ukweli na utabakia hivyo.

Watanzania wajanja tuko wengi USA, kila mtu na mambo yake kila mmoja mjuaji, kila mmoja msomi, wenye majumba wapo, wenye kazi nzuri wapo, wenye green card, wanafunzi tupo, wenye pasipoti za Bush wapo,wenye makampuni wako; tunaondesha taxi tupo, wenye makanisa wapo, wenye-madeal na shughulizao wapo. Ilimradi tupo USA basi Kiwete lazima atupe special preference maanake tuko majuu bwana au vipi mshikaji?

MFUPA ULIOSHINDA FISI MPE MENOSUGU

Kwi, kwi, kwi,
 
Tatizo watu wameweka maadili ya kiafrika mbele" Heshima ya mshumaa" kuliko interest ya taifa .
 
Back
Top Bottom