Mr Why
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 1,125
- 1,922
Ni siku chache zimepita tangu USA kuja na maamuzi ya kuzuia Mtandao wa TikTok ndani ya Taifa lao
Mpaka sasa hakuna sababu za kueleweka kwamba kwa nini mtandao huo uzuiwe zaidi ya wivu na uhasama wa kibiashara
Mara nyingi USA imekuwa ikijaribu kuua maendeleo ya China kwa muda mrefu sana hata katika biashara nyingine ikiwemo simu za Huawei kuzuiwa kuingia USA kipindi cha nyuma
Nadhani China nao wanapaswa kulipa kisasi kwa kuzuia mitandao iliyoundwa na kampuni ya META ikiwemo Facebook, Instagram na WhatsApp ndani ya Taifa lao ili wagawane hasara.
Mpaka sasa hakuna sababu za kueleweka kwamba kwa nini mtandao huo uzuiwe zaidi ya wivu na uhasama wa kibiashara
Mara nyingi USA imekuwa ikijaribu kuua maendeleo ya China kwa muda mrefu sana hata katika biashara nyingine ikiwemo simu za Huawei kuzuiwa kuingia USA kipindi cha nyuma
Nadhani China nao wanapaswa kulipa kisasi kwa kuzuia mitandao iliyoundwa na kampuni ya META ikiwemo Facebook, Instagram na WhatsApp ndani ya Taifa lao ili wagawane hasara.