Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 1,956
- 4,146
Ijulikane kuwa, vitisho vya Putin kwa nchi zote wakati akiivamia Ukraine, ilikuwa, na ole wa nchi yoyote itakayotia nia kutaka kuisaidia Ukraine iwe kwa fedha, silaha na ama kivyovyote, itachezea moto mkali na itajuta nchi hiyo
Kadri siku zilivyokuwa zikiendelea, kauli ya Putin ilikuwa ikizidi kukikwa kila uchwao na nchi mbalimbali hasa za Ulaya na Marekani
Ilifika wakati, nchi zikawa zinapeleka silaha pepupe pe bila uficho na hakuna alichofanya huyu mwamba wa kuongea
USA ikafikia hatua anatangaza kabisa na kiwango cha fedha zikazotumika kuifadhili Ukraine na bado hakufanya kitu
Tukafikili labda wanasubirishia kwenye kona ili kidhihirisha kauli yake
Marafiki wa Urus huko Mashariki ya kati wanataabishwa na hafanyi chochote kujaribu kuwatetea
Yemeni inatandikwa na hao asiowapenda, hapa ilipaswa sasa Putin aoneshe umwamba wake kwa kuwalinda na kuwatetea ili kweli dunia iseme, yeye ndiye super power!
Marekani anawaandika Houth na pia anawatandika Wapalestine kwa mgongo wa Israel na bado anagawa mabilioni ya dollar huko Ukraine ili mrusi achezee za uso, halafu yeye putini kabaki kuongea tu bila kufadhili hata taifa moja linalonyanyaswa
Hapa kila mwenye akili lazima aseme, USA ni dude kuuubwa sana bado na linaogopeka kwa kila vitaifa
Mbali na kuongea saana, bado Ukraine kataifa kadoogo bado kanaendelea kumpa taabu sana
Kadri siku zilivyokuwa zikiendelea, kauli ya Putin ilikuwa ikizidi kukikwa kila uchwao na nchi mbalimbali hasa za Ulaya na Marekani
Ilifika wakati, nchi zikawa zinapeleka silaha pepupe pe bila uficho na hakuna alichofanya huyu mwamba wa kuongea
USA ikafikia hatua anatangaza kabisa na kiwango cha fedha zikazotumika kuifadhili Ukraine na bado hakufanya kitu
Tukafikili labda wanasubirishia kwenye kona ili kidhihirisha kauli yake
Marafiki wa Urus huko Mashariki ya kati wanataabishwa na hafanyi chochote kujaribu kuwatetea
Yemeni inatandikwa na hao asiowapenda, hapa ilipaswa sasa Putin aoneshe umwamba wake kwa kuwalinda na kuwatetea ili kweli dunia iseme, yeye ndiye super power!
Marekani anawaandika Houth na pia anawatandika Wapalestine kwa mgongo wa Israel na bado anagawa mabilioni ya dollar huko Ukraine ili mrusi achezee za uso, halafu yeye putini kabaki kuongea tu bila kufadhili hata taifa moja linalonyanyaswa
Hapa kila mwenye akili lazima aseme, USA ni dude kuuubwa sana bado na linaogopeka kwa kila vitaifa
Mbali na kuongea saana, bado Ukraine kataifa kadoogo bado kanaendelea kumpa taabu sana