Nachingwea
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 261
- 110
alafu angefanyaje, pole wee !!!!unavyofikri kwa ufupi ndiyo unafikria wote wako hivyoUnabahati sana Mkuu, sijui Nyani Ngabu yuko wapi, maana angekukong'oli na syntax mazee
alafu angefanyaje, pole wee !!!!unavyofikri kwa ufupi ndiyo unafikria wote wako hivyoUnabahati sana Mkuu, sijui Nyani Ngabu yuko wapi, maana angekukong'oli na syntax mazee
Kama nilivyokuwa nahisi na ndivyo ilivyotokea. Wameitoa video clip. Wapumbavu sana hawa.
Umeshaambiwa hapa. Ondoa vitisho vyako. Kikwete hana ubavu wa kuondoa blog yoyote tukitaka iwepo.hapa ndugu yangu tuongee ukweli kabisa mimi au umma wa Tz haujaona mahali popote amkekuwa mtu wa kisasi watu wamekuwa wakimsema lakini amekuwa mpole. me nafikiri ingekuwa wakati wa uwazi na ukweli hapa hata hizi blog zisingekuwepo
Wasiwasi wa nini? Si tumejua tayari ndugu?
alafu angefanyaje, pole wee !!!!unavyofikri kwa ufupi ndiyo unafikria wote wako hivyo
Ile video ya kudondoka imeshaondolewa na "user" (Michuzi)
lakini wakti wote tukae tunajua kwamba sisi nimeshika makali kwa mpini ni serkaliNachingwea,
Umechelewa sana ndugu yangu. Hata China ambako wakomunisti bado wanashika hatamu wamepata kazi ya ziada kuzuia blogs. Tunaenda na wakati na hakuna kurudi nyuma.
lakini wakti wote tukae tunajua kwamba sisi nimeshika makali kwa mpini ni serkali
Wenye akili tuliishaisave tulijua hili lingefuata ......iseeeeee
Mkuu fanya hisani tuwekee hapa...we dare...
Naamini Nachingwea ni Malaria Sugu!
Siku hizi vitisho havifanya kazi. Umemsikia hata Mkwere anakiri mitambao chiboko. Eti hawadanganyiki, kwani nani anayemdanganya nani?lakini wakti wote tukae tunajua kwamba sisi nimeshika makali kwa mpini ni serkali
lakini wakti wote tukae tunajua kwamba sisi nimeshika makali kwa mpini ni serkali
Wenye akili tuliishaisave tulijua hili lingefuata ......iseeeeee
Pale jangwani wahubiri mahiri wenye upako na uwepo wa roho mtakatifu uwa wanaubiri. Kukitokea kinyume na hapo uwa wanaanguka. Uliza watu wa jangwani, mwakasege aliomba apo wiki nzima mtu mwenye pepo akipita kiwanjani hapo mapepo yanatoka, Sina maana mkulu anamapepo ila tuchunguze.
Nawakisha