GE2010 Kikwete aanguka ghafla Jangwani...!

GE2010 Kikwete aanguka ghafla Jangwani...!

Yah! I hate CCM, Yah I hate Kikwete as a president but not as a personal, tukio lililotokea leo limefanya nitokwe na chozi. The guy is serious sick na kama CCM wanampenda huyu mtu basi ni heri wampumzishe

Kwenye siasa marafiki wakweli ni wachache. Wengi wata penda uendelee maana uwepo wako pale una faida kwao. Na usi shangae wengi wakiwa wana muombea mabaya ili wao wapate upenyo.
 
Mchungaji ..unafika mbali sana, kuhusu afya ya mtu ni siri ya mtu mwenyewe, and its unethical kuelezea mambo afya inalomsibu mtu mwingine.. mimi ni mtaalamu wa afya lakini hapo umefika mbali sana... nafikiri watu kama nyie katika kuropokaropoa kwa mambo msiyo yajua mnatambulikana kama wahaini na ni kwa sabaubu tu ya nchi yetu ni ya amani, lakini mtu kama wewe ungetakiwa uwe somewhere ujileze vizuri nani kakupa mamlaka hayo na pia unawesemea wa kinani

......acha kutisha watu ..wewe umekuja hapa kutisha watu.....kama si kweli ...unaogopa nini akimwaga dataz.........afteral kiapo cha usiri yeye hakimuhusu......yeye sio daktari.....

...hata kama ni mtu wa TISS ...Ameropoka ....huwezi kuumtisha kwenye hii forum ya wazi.....ni kazi ya kuya OR kuja hapa aseme kama ni kweli au la...au awatume !!!
 
Field Marshall ES (mkulu karibu ...long time not see you ...usipotee namna hiyo kaka .....njooo njoo tutwange kaka ...jamvi laki hili ...na wewe ndiye mwenye juzuuu....ukipotea sana ...tunakosa raha.....we want your active engagement.......
 
Nampa pole president. Naona alijua ameishiwa nguvu maana kwa mbali linasikika neno "Aise" halafu anajaribu kuendelea. Angeweza kabisa kuwaita walinzi wake. Namtakia afya njema ili aishi kujionea Dr. Slaa akiukwaa UMKULU
 
pole sana, nafikiri wewe ndo form 7.......hii ndiyo shida ya narrow mind

Mkuu kwa heshima na taadhima tunakuomba ukakojoe ukalale! usilete vitisho tutaandika zaidi ambapo itakuwa fedheha kwa mkuu wa nchi!
 
Nafikiri hapo kulikuwa na mgongano wa dhamira mbili tofauti (malaika wa bwana na wa shetani) moja ilikuwa inamwambia sema ukweli nyingine ilikuwa inamwambia danganya, nafikiri iliyokuwa inamwambia danganya ikashinda alipotaka kuendelea roho na mwili vikakataa.

Nyie mwogope Mungu
 
Daima fisi (Chadema) anasubiri mfupa kudondoka. Mwaka 2005 alipoanguka KIKWETE hapo hapo Jangwani waliomtakia mabaya walijua ndio mwisho wake lakini akapata ushindi wa kishindo zaidi ya asilimia 80. Mwaka huu 2010 pia ni wa CCM. Kwa watanzania makani suala la kuanguka ni dogo. Mbona Clinton alipatikana na hatia ya kufanya mapenzi katika Ikulu ya Wamarekani na akaendelea kuongoza sembuse kuanguka???? haaaaa.
Ikiwezekana ndugu yangu Mzee wa Busara kwa leo inatosha ukapumzike uka rest in peace maana unakoelekea si kuzuri, kama ni kumtetea mpendwa wetu umemtetea sana na kuanguka kwake hakukusababishwa na Chadema ni matatizo yake binafsi tumwombee tu uzima.
 
Mimi siyo mpenzi wa chama chochote, lakini Kikwete ni raisi wetu na nafikiri hakuna mwingine zaidi yake hata huyo unayemfikiria mwenyewe alikuwa hajiamini kupambana kwa nafasi hiyo utampaje mtu urais hata yyeye mwenyewe hajiamini.. urais siyo sehemu ya kujifunzia
poleni sana, kama ma fisadi wamewatuma mmeshindwa,
Kuwa kiongozi hakumaanishi nisiseme kasoro zake. Nimezoea kumuona akiwakejeli wanasiasa wenzie walio kambi tofauti na yake. Ni mtu wa ajabu mwenye visasi na kejeli nyingi tu.
Sasa anapata haki kwa aibu. Ametegemea polisi.
 
Nilikuwa nataka watu kama wewe mje niandike zaidi!

Mimi siropoki naongea facts! Mwaka 2005 alifanya uchunguzi wa afya France na madaktari walimshauri afanyiwe upasuaji mkubwa kutibu ulemavu wa nerves za kwenye ubongo alizo nazo. JK na washauri wake walikataa sababu chance za kupona ni 30% na kama operation ikienda vizuri kurudia hali ya kwaida ni 40% wakachomoa wakaomba dawa na si upasuaji.

Kwa hiyo tusishangae wala kusononeka raisi wetu na mgombea wa CCM anaulemavu kwenye mishipa ya ubongo. Kiswahili kitamu hakuna maneno zaidi

Msije kulalamika mchungaji hakusema ukweli

Rev Masa
Mchungaji wewe ni wa wapi usiye weza kuchunga uyasemayo?
 
wewe Nyani Ngabu ni chadema damu nani asiyekujua. ukitaka kumchokoza Nyani Ngabu mguse MBowe, Dr Slaa na chama chao cha Chadema. Wanajamiiforums wengi tumesituka kwamba mnatupeleka kusiko. kila mtu mwache achague chama akipendacho. kama upo chadema na wengine wape uhuru kuingia vyama tofauti na chako.
Jamani mbona huyu jamaa mimi simwelewi watu wanachangia mengine yeye anajibu mambo tofauti kabisa, hebu Mzee wa Busara kama hili tukio limeku touch na kukutoa huko uliko tangu 2008 basi uwe na ustaarabu unapojibu post za watu, hatukatai kumtetea Kikwete lakini heshima kwa watu wengine izingatiwe.
 
Neno au lugha nzuri pale mtu apatwapo na tatizo au misukosuko, sie waungwana huwa nalo moja tu... Pole au Poleni kwa yote yaloku/wa fika.

Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Luteni Kanali Mstaafu Dr Jakaya Mrisho Kikwete (BCom hons) ana tatizo kubwa kwenye Ubongo, ukiangalia kwenye hiyo clip angalau ndo unapata picha kwamba kuna kipindi ubongo wake unakosa oxygen, maana kabla ya kuanguka alitamka AISEE, nadhani hapa alishaanza kuona maruweruwe na uwezo wake wa kusoma na kutema alichokariri usiku kucha ukaanza kupotea na mwisho kabla ya kuanguka akawa anarudia maneno mara mbilimbili,
kama akitulia na akifanya kazi nyingine (sio uraisi) atakuwa na afya yake nzuri tu, haya matatizo yanamkuta JK kwa sababu hajui anachokifanya na wala ana upeo wa kujua anachokifanya, anatumia msuli mkubwa sana kujifanya anajua mambo na muda wake mwingi ni kujaribu kukariri data za kila aina, kwa hiyo mwisho wa siku anajikuta kichwa kimeshajaa data ambazo hata hajuhi ni zawapi kwa kifupi hayuko relaxed na kile anachokitema, hayupo at easy, ana tofauti kubwa sana kati yake na watu kama Nyerere, Mwinyi na hata Mkapa, ambao walikuwa wanatema vitu bila kutumia msuli

sina uhakika na hili lakini nadhani alishaenda Milembe kupimwa Akili au kichwa-nipo tayari kusahihishwa
 
Welcome, leo JF itapata wageni wengi sana, Invisible vipi sever yetu iko imara.

Luiza Gama

Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png

Join Date Sat Aug 2010
Posts 1
Thanks : 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power 0


mbona wewe hata hujatoka arobaini tangu uzaliwe?si bado mchanga wewe mwenye mwezi na nusu ati wamkebehi mwenzio?kweli nyani haoni kundule
 
Raisi wa nchi yeyote ile duniani ni public figure na kiila jambo hata kama ni personal wananchi wanapaswa kufahamishwa na kujua! Lakini kwa kuwa sisi watanzania tumezoea kupelekwa kienyeji ndo maana tunaona kujua ugonjwa wa raisi wako ni kosa! Hilo sio kosa and we should demand to know more if is fit or unfit to be our president,
kwasababu kama mgombea ni mgonjwa is going to cost us more money to run another election in case anything happen ndo maana we need to scrutinize afya yake na tujue hasa ni nini kinamsumbua na taarifa ziannikwe hadharani na tujue ni taasisi ipi imemfanyia examination in case of fabrication of medical exams then taasisi hiyo iwajibishwe! Sio kwa jk tu hata wagombea wengine wa nafasi ya raisi need to undergo medical exams na taarifa zitolewe,
ni muhimu sana kufanya hivyo kwani raisi ana mamlaka makubwa sana na kuna maamuzi mazito anatarajia kufanya hivyo afya yake hatakiwi kuwa na mashaka hata kidogo, hususani kama ana historia ya ugonjwa wa akili na magonjwa mangine ambayo yataweza ku compromize uwezo wake wa kufanya maamuzi, huo ni utaratibu wa kawaida kabisa na unatumika na nchi zote zilizoendelea duniani, hata marekani na nchi nyingi za ulaya taarifa za afya za kiongozi wa juu wa nchi wananchi wanatakiwa kushirikiswa na kujua kila kitu kuhusu afya ya kiongozi wao! Sasa ndugu yangu nachingwea wewe kama daktari huwezi kujua leadership protocal na umuhimu wa kuwa na kiongozi mwenye afya njema? Na ugonjwa wa kiongozi yeyote duniani ambaye ni mkuu wa nchi sio siri, na mtu akiamua kuingia kwenye siasa maisha yake ni public ndo maana analidwa na anakuwa hana maamuzi ya kwenda sehemu yoyete anayotaka yeye! I think you should know this, lakini kwa kuwa waafrika tumezoe mambo ya holela ndo maana unakurupuka na kuleta ethics zako bila kuzingatia ethics za kiungozi zaidi, so nachingwea ur very wrong and you need more exposure kuhusu mambo ya kiutawala
 
Kuwa kiongozi hakumaanishi nisiseme kasoro zake. Nimezoea kumuona akiwakejeli wanasiasa wenzie walio kambi tofauti na yake. Ni mtu wa ajabu mwenye visasi na kejeli nyingi tu.
Sasa anapata haki kwa aibu. Ametegemea polisi.
hapa ndugu yangu tuongee ukweli kabisa mimi au umma wa Tz haujaona mahali popote amkekuwa mtu wa kisasi watu wamekuwa wakimsema lakini amekuwa mpole. me nafikiri ingekuwa wakati wa uwazi na ukweli hapa hata hizi blog zisingekuwepo
 
Back
Top Bottom