GE2010 Kikwete aanguka ghafla Jangwani...!

GE2010 Kikwete aanguka ghafla Jangwani...!

Mzee Mkandara
JK alipoanguka 2005 siku ya kufunga kampeini zake haikuwa Ramadhan, bali walisema ana kawaida ya kufunga, na lifunga maalum kwa ajili ya uchaguzi. Mwanza walisema ni uchovu wa safari ndefu na kazi nyingi. Sasa ni lini atakuwa na uhakika wa kutochoka? Na lini ataacha kufunga?
Ukisoma Daily news ya jioni hii utaona Mama Lwakatare ndiye aliyekemea pepo limtoke Rais na likamtoka! Narudia tena, this is serious.
 
Mzee Mkandara
JK alipoanguka 2005 siku ya kufunga kampeini zake haikuwa Ramadhan, bali walisema ana kawaida ya kufunga, na lifunga maalum kwa ajili ya uchaguzi. Mwanza walisema ni uchovu wa safari ndefu na kazi nyingi. Sasa ni lini atakuwa na uhakika wa kutochoka? Na lini ataacha kufunga?
Ukisoma Daily news ya jioni hii utaona Mama Lwakatare ndiye aliyekemea pepo limtoke Rais na likamtoka! Narudia tena, this is serious.
Duh basi ya Mwanza kuna mganga mmoja kule Pasiansi anajulikana ndiye alimtoa pepo JK alipoanguka huko Geita..Yaani jamaa anapata watu kichizi kwa sababu tu alimtibu JK.. Sasa hizi habari mbona zinazingua zaidi?
 
Kulingana na habari nilizozipata ni kwamba rais wetu ni mgonjwa siku nyingi sana na mara nyingi huenda Marekani kufanyiwa matibabu. Na inasemekana ana maradhi ya tuma shingoni ambayo inatakiwa afanyiwe operation. Tatizo ni kwamba ktk operation hiyo mguu ndani mguu nje, na JK kusikia hivyo alikataa kufanyiwa operation hiyo ila kukubali kutumia madawa tu ya kumsukuma siku mbele...(anagalieni jinsi wanavyofikiria)

Sasa kama kweli habari hizi zina ukweli nadhani JK anatakiwa kupumzika, hatakiwi kuendelea kugombea hali afya yake hairuhusu..Na maajabiu ni kwamba kila mwezi wa Ramadhan ndio humtokea na visingizio ndio hiyo Swaumu..Hivi kweli JK alikuwa hafungi Ramadhan kiasi kwamba ati Swaumu ndio imdondoshe pasipo kuwa na maradhi kama ya kisukari ambayo yanaweza kuishusha BP kama hakupata dawa kwa muda mrefu.

Hili siii swala la kuficha tena... Mh. JK na viongozxi wa CCM..mmeweza kuficha Mafisadi kwa kuyafagia nchini ya vungu lakini hili la maradhi ya rais hakika sasa mnakwenda kusiko takiwa kabisa..


Mkuu ungetumia muda kidogo kupitia mabandiko mtumishi wa Mungu Rev Masa K aliisha andika yote haya! rejea post namba...304 na 327 nakushauri uende kule ukaweke thanks

Rev Masa K
 
Huyu bwana ni mgonjwa..ila wanaficha..No way, something has to be done, he can no longer bear the presidency portifolio for the next 5 years, too weak!!

may be its about blood changes according whats sickness he had due to his trips outside the country, and the body applied a new system,
of no relax from tiedness
 
Mkuu ungetumia muda kidogo kupitia mabandiko mtumishi wa Mungu Rev Masa K aliisha andika yote haya! rejea post namba...304 na 327 nakushauri uende kule ukaweke thanks

Rev Masa K
Mkuu wangu mimi sina ushabiki wa dini kama ulivyo wewe. Siwezi kuweka thanks zangu kwa mtu ambaye Udini ndio unamtawala. Nimekusoma page 304 lakini hoja zako zoote ukaja ziharibu kwa kuweka udini wako mbele..Inachusha, wewe tu ndio hujui!
 
Ugoro kabisa watu wameondoa video y a tukio; sasa jf hovyo kabisa mada mhimu zinaondolewa; i call this ugoro tena umaskini wa akili; sasa jf ifungwe kama ndio mambo haya tutumie comm media ingine;
 
Mimi siyo mpenzi wa chama chochote, lakini Kikwete ni raisi wetu na nafikiri hakuna mwingine zaidi yake hata huyo unayemfikiria mwenyewe alikuwa hajiamini kupambana kwa nafasi hiyo utampaje mtu urais hata yyeye mwenyewe hajiamini.. urais siyo sehemu ya kujifunzia
poleni sana, kama ma fisadi wamewatuma mmeshindwa,

sema raisi wako!! raisi wenu we nani?
 
Mkuu wangu mimi sina ushabiki wa dini kama ulivyo wewe. Siwezi kuweka thanks zangu kwa mtu ambaye Udini ndio unamtawala. Nimekusoma page 304 lakini hoja zako zoote ukaja ziharibu kwa kuweka udini wako mbele..Inachusha, wewe tu ndio hujui!

Mkuu sina tabia hiyo labda nichokozwe hata wewe wajua! Kama utaamua kushkilia msimamo wako its your choice kwa sababu za watu fulani. Haina shida nitakuwekea mimi Thanks.

Turudi kwenye hoja! Jakaya hata kabla hajawa waziri amekuwa na hili tatizo, huu ulemavu wa kupoteza fahamu nitatizo lake na tiba sahihi ni upasuaji. Hizi dawa za miti shamba hazitomsadia
 
pole sana Jk
Ila ni vizuru ukaweka ugojwa wako hadharani mana unaacha maswali mengi kwa watanzania
 
Pole JK ,Suala la afya ya mkuu wa nchi na pia mtarajiwa kwa mara nyingine ni suala zito sana ,Kweli linastahili kupatiwa ufumbuzi haraka iwezekanavyo kwani wakati mwingine hata anaweza kuja anguka vibaya kwani hali hii inamtokea ghafla hata wasaidizi wake wanakuwa hawatarajii.Tunamwombea afya njema ili aweze kujinadi kwa wa Tanzania kama wataona anafaa wampe kura kama hawataona anafaa basi.
 
Mkuu wangu mimi sina ushabiki wa dini kama ulivyo wewe. Siwezi kuweka thanks zangu kwa mtu ambaye Udini ndio unamtawala. Nimekusoma page 304 lakini hoja zako zoote ukaja ziharibu kwa kuweka udini wako mbele..Inachusha, wewe tu ndio hujui!

Haita saidia, wakina MS wakija na propaganda zao a udini nasi tutajibu tu. Wakija kwa issues ni kheri, Acha kumtisha Rev kwa kuamua kuufuta udini hapa huoni sasa kuwa thread za Slaa ni Padri zimepungua kama sio kwisha?
 
I think the problem is based on JK's prepared speech, with colouful words but mare facts. God hates this. This is panishment from God. It cant be due to Ramadhani fasting. He has saved three other failures on the ground, was it also ramadhani? Mwanza 2times and Jangwani 2 times. He and his helpers should fear God, speak the truth. Who doesnt know that Tanzania has no rule of law? If you could see the face of Dr Amani while JK was speeching, Amani was very unhappy with the speech that became propaganda. We need Mdahalo. Anyway Godluck JK
 
Please please please, We need to pray for him so that God will protect him against all evil,

Mimi naamini hilo swala linalosababisha mtu kuanguka bila kuugua ni Mambo Mengi kichwani na yeye anayaruhusu yatawale the whole allocation kwenye kichwa, Ukiangalia hii Nchi ni kubwa sana na watu wanaomzunguka ni Wengi na mambo Mengi saana yanaendelea.

Chamsingi washauri wake wamshauri asiweke mambo mengi kichwani wala asiruhusu Mambo yanayomzunguka kumtawala saana maana anawasaidizi, Muhimu zaidi alipaswa awe na watendaji haswa wanaomsaidia kujenga Nchi kwa nguvu zote.

Mpaka hapo unaweza kujua ni kiasi gani mtu anaweka mambo mengi kichwani kuhusu hii Nchi na ukiona hivyo ujue ni mambo -ve ambayo hayakufanyika vizuri jinsi JK anavyotaka ndio maana anaumiza kichwa badala ya watendaji wake kumsaidia.

SOLUTION: ni kubadilisha Wasaidizi wake woote ambao sio watendaji wenye bidii sana na aweke watu ambao ni msaada yaani wachapa kazi SANA ili na yeye awe anapumzika yaani asiwe na mizigo kichwani, Inasikitisha sana jinsi anavyoumia sasahivi alafu wengine wanakujakufaidi tu na Mavyeo ya Uwaziri wakati mwenzao kaumiza kichwa hii sio haki kabisa.

Alafu aachane na Wazee maana hii Nchi ni ya woote wazee na vijana kuna vijana wachapakazi kama wakina Nape yaani wengi tu! upinzani pia kuna nguvu kazi aangalie na huko maana hapo yupo kujenga nchi yaani Achague watu wenye kitu cha ziada yaani hadimu na hao watu wapo hapa Tanzania wengi tu! akifanya hivyo katu hatokuwa na vitu vingi vyakuweka kichwani.


Heaven Father protect our President give him wisdom, power and long life, In Jesus name Amen.
 
Haita saidia, wakina MS wakija na propaganda zao a udini nasi tutajibu tu. Wakija kwa issues ni kheri, Acha kumtisha Rev kwa kuamua kuufuta udini hapa huoni sasa kuwa thread za Slaa ni Padri zimepungua kama sio kwisha?

Mkuu Shalom!

Mkadakara anajua anachokifanya, hes very smart ndo maana nikamjibu vile. Masa amekuwepo tokea 2006 ni hivi karibuni amekuwa branded m-dini! Tukisimama kwenye issues Rev Masa hana shida hata wanaoamini Mizimu kivyao! Ila nikichokozwa najuachukua silaha zangu ghalani
 
Katiba yetu inasemaje.

37​
(2) Endapo Baraza la Mawaziri litaona kuwa Rais hawezi kumudu kazi zake kwa sababu ya maradhi ya mwili au ya akili, laweza kuwasilisha kwa Jaji Mkuu azimio la kumwomba Jaji Mkuu athibitishe kwamba Rais, kwa sababu ya maradhi ya mwili au ya akili hawezi kumudu kazi zake. Baada ya kupokea azimio kama hilo, Jaji Mkuu atateua bodi ya utabibu ya watu wasiopungua watatu atakaowateua kutoka miongoni mwa mabingwa wanaotambuliwa na sheria ya matababu ya Tanzania, na bodi hiyo itachunguza suala hilo na kumshauri Jaji Mkuu ipasavyo, naye aweza, baada ya kutafakari ushahidi wa kitabibu kuwasilisha kwa Spika hati ya kuthibitisha kwamba Rais kutokana na maradhi ya mwili au ya akili, hamudu kazi zake; na iwapo Jaji Mkuu hatabatilisha tamko hilo ndani ya siku saba kutokana na Rais kupata nafuu na kurejea kazini, basi itahesabiwa kwamba kiti cha Rais ki wazi, na masharti yaliyomo katika ibara ndogo ya (3) yatatumika.

Je Inapotokea kuwa Bunge limevunjwa kama ilivyo sasa maana yake hatuna Spika na baraza la mawaziri wapo busy kwa campaign itakuwaje? Alfu nadhani kusema baraza la mawaziri ambalo Rais ni mwenye kiti wake ndio liwasilishe hoja tumechemka watanzania kwenye katiba yetu, maana baraza kukaa linasubiri yeye mwenyewe aliite ndio likae, sasa itawezekanaje liitwe kumjadiri?, na pia hakuna JASIRI kati ya mawaziri anayeweza kuleta agenda ya kutaka eti rais apimwe afya kwenye baraza ambalo rais ndio mwenyekiti, Nadhani hiki kipengere hakijatutendea haki. Huu ni wakati muafaka wa mwalimu Hoza (sp) kubadirisha/kurekebisha hati ya kiapo chake mahakamani cha kumzuia JK kugombea, badala ya kuweka matumizi mabaya ya pesa aongeze na kipengere cha kuwa afya yake haitumainishi, sio ya kutegemewa
 
Please please please, We need to pray for him so that God will protect him against all evil,

Mimi naamini hilo swala linalosababisha mtu kuanguka bila kuugua ni Mambo Mengi kichwani na yeye anayaruhusu yatawale the whole allocation kwenye kichwa, Ukiangalia hii Nchi ni kubwa sana na watu wanaomzunguka ni Wengi na mambo Mengi saana yanaendelea.

Chamsingi washauri wake wamshauri asiweke mambo mengi kichwani wala asiruhusu Mambo yanayomzunguka kumtawala saana maana anawasaidizi, Muhimu zaidi alipaswa awe na watendaji haswa wanaomsaidia kujenga Nchi kwa nguvu zote.

Mpaka hapo unaweza kujua ni kiasi gani mtu anaweka mambo mengi kichwani kuhusu hii Nchi na ukiona hivyo ujue ni mambo -ve ambayo hayakufanyika vizuri jinsi JK anavyotaka ndio maana anaumiza kichwa badala ya watendaji wake kumsaidia.

SOLUTION: ni kubadilisha Wasaidizi wake woote ambao sio watendaji wenye bidii sana na aweke watu ambao ni msaada yaani wachapa kazi SANA ili na yeye awe anapumzika yaani asiwe na mizigo kichwani, Inasikitisha sana jinsi anavyoumia sasahivi alafu wengine wanakujakufaidi tu na Mavyeo ya Uwaziri wakati mwenzao kaumiza kichwa hii sio haki kabisa.

Alafu aachane na Wazee maana hii Nchi ni ya woote wazee na vijana kuna vijana wachapakazi kama wakina Nape yaani wengi tu! upinzani pia kuna nguvu kazi aangalie na huko maana hapo yupo kujenga nchi yaani Achague watu wenye kitu cha ziada yaani hadimu na hao watu wapo hapa Tanzania wengi tu! akifanya hivyo katu hatokuwa na vitu vingi vyakuweka kichwani.


Heaven Father protect our President give him wisdom, power and long life, In Jesus name Amen.


Tutamuombea apone mapema

ILA ITAKIWA MZIMU WA SHEIKH YAHYA UMEMRUDIA MANA ALIWATABILIA WATU VIBAYA SASA NAY YEYE YEMEMRUDIA

JAGWANI NI SEHEMU YA KWENDA MTU MWEYE IMANI ZA KWELI POPE PAUL II ALIKUJA PALE THOSE YEARS
BARAKA ZAKE BADO ZIPO MTU AKISEMA UONGO KUDANGANYA UMMA NDO ANAPIGWA NYUNDO LA KUZIMU
 
Kuondolewa kwa clip inayomuoyesha Rais JK akila ngwala ktk viwanja vya Jngwani kwa ugonjwa usiojulikana bado imenishtua sana mimi!

Kupasha au kupashwa habari ni haki ya kila MTZ na ipo hata ndani ya katiba;inakatazwa tu kuleta habari za uongo,za uchochezi au hata za kuleta mgawanyiko wa kidini,kikanda na kikabila;lkn kama habari husika ni ya kweli hata kama inazungumzia ukabila,udini au hata siasa inaruhisiwa watu waisome kwa mujibu wa sheria!

As far I know;Kuanguka Jangwani kwa Rais JK ni tukio la kweli lisilokuwa na uongo hata punje;kujaribu kuondoa clip inayoonyesha kuanguka kwake Rais JK sio tu kunawanyima nafasi wa-TZ kuona wenyewe kuhusu mustakabali wa Rais wao bali ni uvunjaji mkubwa wa sheria ulioambatana na uoga usio na maana yeyote kwa wana JF na watz kwa ujumla

Nalaani vikali kwa kitendo hiki cha kuondolewa kwa clip inayomuonyesha Rais JK akidondoka kiwanjani Jangwani kwa sababu imenikosesha mimi niliye mbali na Dar kusoma na kuona kw amacho yangu mwenyewe kilichotokea ;hii inaanza kunipa hisia kali kuwa baadhi ya wagombea haswa wa CCM hawagusiki wala hawafai kujadiliwa kwenye jukwa la JF;na hii itaipunguzia JF heshima yake iliyoanza kujijengea kama ni chombo huru cha majadiliano kisichofungamana na chama chochote kile cha siasa!

Clip inayomuonyesha Rais JK akila mwereka kwa sababu ambazo bado Ikulu haijasema ni nini irudishwe mara moja tena bila masharti yeyote ile hapa JF!Kumbuka kuwa si sheria za usalama wa Taifa wala ya uchaguzi mkuu ya mwaka 2009 inayokataza watz wasione matukio yanayowapata wagombea wake ikiwemo kwa Rais kuanguka akihutubia!

Bado motto ya JF ni"wanachama wake wapo huru kusema na kuwaambia watz vitu vinavyotokea ili watz wengine wajue"?
 
Back
Top Bottom