GE2010 Kikwete aanguka ghafla Jangwani...!

GE2010 Kikwete aanguka ghafla Jangwani...!

Mkuu Shalom!

Mkadakara anajua anachokifanya, hes very smart ndo maana nikamjibu vile. Masa amekuwepo tokea 2006 ni hivi karibuni amekuwa branded m-dini! Tukisimama kwenye issues Rev Masa hana shida hata wanaoamini Mizimu kivyao! Ila nikichokozwa najuachukua silaha zangu ghalani

Mkuu siko hapa kuongea kitu ambacho kinawapendezesha watu bali ukweli na ndiyo maana nimekutetea, siku zote ulikuwa ni mtu wa issue mpaka walipoanza. Samahani kwa kuwa kazi hii tuliwaachia wachache lakini wakirudi tena itabidi tuingie wote hatuwezi kukaa kimya kwa mabo haya ya kijinga kisa eti na wewe unayejibu utaaonekana ni mdini
 
Aliyeondoa clip ni huyo mtoa habari wa UWT Michuzi a.k.a Mdau mkuu wa libeneke.Shame on you Michuzi.Hii inapaswa kuwa changamoto kwa JF kuwa na reliable source of info badala ya kutegemea traitors like Michuzi.
 
Aliyeondoa clip ni huyo mtoa habari wa UWT Michuzi a.k.a Mdau mkuu wa libeneke.Shame on you Michuzi.Hii inapaswa kuwa changamoto kwa JF kuwa na reliable source of info badala ya kutegemea traitors like Michuzi.


una maana Maskini Jeuri ndo misupu supu?

kama kaondo Misupusupu Mod anaweza kuirudisha

Hasipoirudisha jua kuwa na MOd wameshiriki kuitoa
 
Aliyeondoa clip ni huyo mtoa habari wa UWT Michuzi a.k.a Mdau mkuu wa libeneke.Shame on you Michuzi.Hii inapaswa kuwa changamoto kwa JF kuwa na reliable source of info badala ya kutegemea traitors like Michuzi.

kwani michuzi moderator wa JF? Could u Pls substantiate your accusation, otherwise your allegations has to be refuted
 
Kuondolewa kwa clip inayomuoyesha Rais JK akila ngwala ktk viwanja vya Jngwani kwa ugonjwa usiojulikana bado imenishtua sana mimi!

Kupasha au kupashwa habari ni haki ya kila MTZ na ipo hata ndani ya katiba;inakatazwa tu kuleta habari za uongo,za uchochezi au hata za kuleta mgawanyiko wa kidini,kikanda na kikabila;lkn kama habari husika ni ya kweli hata kama inazungumzia ukabila,udini au hata siasa inaruhisiwa watu waisome kwa mujibu wa sheria!

As far I know;Kuanguka Jangwani kwa Rais JK ni tukio la kweli lisilokuwa na uongo hata punje;kujaribu kuondoa clip inayoonyesha kuanguka kwake Rais JK sio tu kunawanyima nafasi wa-TZ kuona wenyewe kuhusu mustakabali wa Rais wao bali ni uvunjaji mkubwa wa sheria ulioambatana na uoga usio na maana yeyote kwa wana JF na watz kwa ujumla

Nalaani vikali kwa kitendo hiki cha kuondolewa kwa clip inayomuonyesha Rais JK akidondoka kiwanjani Jangwani kwa sababu imenikosesha mimi niliye mbali na Dar kusoma na kuona kw amacho yangu mwenyewe kilichotokea ;hii inaanza kunipa hisia kali kuwa baadhi ya wagombea haswa wa CCM hawagusiki wala hawafai kujadiliwa kwenye jukwa la JF;na hii itaipunguzia JF heshima yake iliyoanza kujijengea kama ni chombo huru cha majadiliano kisichofungamana na chama chochote kile cha siasa!

Clip inayomuonyesha Rais JK akila mwereka kwa sababu ambazo bado Ikulu haijasema ni nini irudishwe mara moja tena bila masharti yeyote ile hapa JF!Kumbuka kuwa si sheria za usalama wa Taifa wala ya uchaguzi mkuu ya mwaka 2009 inayokataza watz wasione matukio yanayowapata wagombea wake ikiwemo kwa Rais kuanguka akihutubia!

Bado motto ya JF ni"wanachama wake wapo huru kusema na kuwaambia watz vitu vinavyotokea ili watz wengine wajue"?

Naungana na wewe Komredi katika kupinga kuondoa clip ya JK akianguka Jangwani kwani ni kutunyima habari sisi tuliombali na Dar. Mara baada ya kupata taarifa za Kunaguka kwa Jk nilikimbilia JF nikijua ni jukwaa linalotoa habari bila woga wala upendeleo. Lakini kwa kitendo hiki kilichofanyika leo kimenihuzunisha sana na kuiondolea JF heshima yake!
 
Naungana na wewe Komredi katika kupinga kuondoa clip ya JK akianguka Jangwani kwani ni kutunyima habari sisi tuliombali na Dar. Mara baada ya kupata taarifa za Kunaguka kwa Jk nilikimbilia JF nikijua ni jukwaa linalotoa habari bila woga wala upendeleo. Lakini kwa kitendo hiki kilichofanyika leo kimenihuzunisha sana na kuiondolea JF heshima yake!

invisible inabidi atujibu kirichotokea why clip inakuwa removed?

Najua atakaa kimya kama kawaida yake
 
Naungana na wewe Komredi katika kupinga kuondoa clip ya JK akianguka Jangwani kwani ni kutunyima habari sisi tuliombali na Dar. Mara baada ya kupata taarifa za Kunaguka kwa Jk nilikimbilia JF nikijua ni jukwaa linalotoa habari bila woga wala upendeleo. Lakini kwa kitendo hiki kilichofanyika leo kimenihuzunisha sana na kuiondolea JF heshima yake!

Shida ya JF sio indepent source tunategemea wengine warushe ndio tucopy na kupaste, sasa kama kungekuwa na member wa JF aliyenasa hili tukio angeliweka hapa live. Naona clip zote kila kona zimenyofolewa na hii ni kwasababu wote walikuwa wanategemea source moja, mwenye nayo alipoiondoa ndio Imekuwa KWISHENEY angalia hata hapa Raisi Kikwete alipoanguka Jukwaani Jangwani - wavuti
 
Naungana na wewe Komredi katika kupinga kuondoa clip ya JK akianguka Jangwani kwani ni kutunyima habari sisi tuliombali na Dar. Mara baada ya kupata taarifa za Kunaguka kwa Jk nilikimbilia JF nikijua ni jukwaa linalotoa habari bila woga wala upendeleo. Lakini kwa kitendo hiki kilichofanyika leo kimenihuzunisha sana na kuiondolea JF heshima yake!

Kuna wakuu hapa wanayo walinusa kuwa itachomolewa. Tuvute subira naamini itapatikana tu...
 
Du !

Haya kumekucha huko Jangwani mwenye news zaidi atujulishe hii ni kwa mujibu wa TBC ndo naangalia hapa, Rais Kikwete kadondoka live akihutubia.

2yz9yxh.jpg

Rais Jakaya Kikwete akiwa amebebwa na walinzi pamoja na wasaidizi wakati alipoanguka Jukwaani Jangwani

5yhkip.jpg

Masononeko na vilio mara baada ya Rais Kikwete kuanguka (photo: PwaniRaha.com)

VIDEO:
SEHEMU YA KWANZA



SEHEMU YA PILI



VIDEO ya MWELEKA iko wapi???
 
Last edited by a moderator:
kwani michuzi moderator wa JF? Could u Pls substantiate your accusation, otherwise your allegations has to be refuted

Tumia busara kidogo ili uweze kuelewa.Aliye-upoload hiyo clip youtube ni Michuzi.Sasa kama huna uzoefu na uploading and hotlinking huwezi kuelewa nachoongea.Anyway,ngoja nikupe shule ya chapchap.Ukiweka video kwenye hosting site kama youtube kisha mie nikaikopo kwenye tovuti yangu,ukiiondoa basi na kwangu itakuwa haipatikani.Only way ya ku-access ni kama mtu mwingine alii-save somewhere.Kwa kifupi,Michuzi kaondoa clip yake,na hivyo kila aliyekopi clip hiyo from him hataweza kuiona.

Umeelewa sasa?
 
Halafu kama alivyokwisha sema Mag3... baada ya kuanguka anaibuka mtu na kupayuka.... CCM OYEEEEE
Halafu mwingine akasikika akisema TOT endeleeni kutumbuiza, huku mwenzao yuko chini akipigana na izirael, huwezi amini.
 
I'm starting not to trust the JF MOTO, where we dare talk openly; now we don't. Invisible and all mods pls take clip back otherwise vote of confidence to the MODS.
Pia ni aibu kama kaiweka MICHUZI then MOD huna copy; ebu tupate malengi ya tukio hili maana linakera na kuona sasa si mahala pa kukimbilia kupata habari; tuanze kutafuta vyanzo vingine maana hii ni dharau
 
Halafu mwingine akasikika akisema TOT endeleeni kutumbuiza, huku mwenzao yuko chini akipigana na izirael, huwezi amini.

ha ha ha ha, i know it's a sad day lakini hapa imebidi nicheke kama sina akili nzuri.

yaani mafisadi wa ccm hata hawako sensitive kabisaaaa, mtu anaitisha TOT kutumbuiza wakati kikwete yuko chini anakula mchanga?
 
Kikwete kaanguka akizindua kampeni,Dkt Slaa alianguka alipoteuliwa tu kuwa mgombea,akavunjika mkono.Wote inaonesha wana ugonjwa wa kuanguka anguka.
Hatujui dkt Slaa ataanguka tena wapi.Na ile picha ya dkt Slaa alipoanguka ****** mbona haikuletwa hapa JF,au ndio tatizo la kutegemea source kichama.
 
Kikwete kaanguka akizindua kampeni,Dkt Slaa alianguka alipoteuliwa tu kuwa mgombea,akavunjika mkono.Wote inaonesha wana ugonjwa wa kuanguka anguka.
Hatujui dkt Slaa ataanguka tena wapi.Na ile picha ya dkt Slaa alipoanguka ****** mbona haikuletwa hapa JF,au ndio tatizo la kutegemea source kichama.

Dr Slaa hana kifafa! Dr Mkwere inajulikana
 
Kikwete kaanguka akizindua kampeni,Dkt Slaa alianguka alipoteuliwa tu kuwa mgombea,akavunjika mkono.Wote inaonesha wana ugonjwa wa kuanguka anguka.
Hatujui dkt Slaa ataanguka tena wapi.Na ile picha ya dkt Slaa alipoanguka ****** mbona haikuletwa hapa JF,au ndio tatizo la kutegemea source kichama.

sick!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
What is Kikwete's height and weight?? Au hii nayo ni nyara na siri za serikali.? Unaweza kukuta hata daktari wake hajui.No its a joke lazima atakuwa anajua.

Wenzetu data za viongozi wao zipo wazi

Barack Obama's height is 6'1" (six feet, one inch). This is 185.4 cm.
(source: Office of the Press Secretary, February 28, 2010, "Release of the President's Medical Exam" - pdf file on The White House)
Barack Obama's weight is 180 pounds. This is 81.6 kg.
(source: NBC Nightly News, March 1, 2010 - reported based on the same Medical Exam cited above, which also includes the fact that he was weighed while wearing shoes and workout attire).
 
Back
Top Bottom