Solomon David
JF-Expert Member
- Mar 1, 2009
- 1,146
- 17
Ongea kuhusu censorship, topic inafungwa bila maelezo yoyote.
Sijui ni kwa agizo la Kinana au ni la Makamba? Huu si uhuru wa habari tena. Picha za Kikwete kuanguka ziliondolewa kwenye first post ya ile thread,Sasa presha imezidi hadi topic imefungwa kabisaaaa.
Halafu nije nisikie mafisadi ya CCM mnaleta zenu za kuleta hapa kuwa hii forum inapendelea chadema.
Sijui ni kwa agizo la Kinana au ni la Makamba? Huu si uhuru wa habari tena. Picha za Kikwete kuanguka ziliondolewa kwenye first post ya ile thread,Sasa presha imezidi hadi topic imefungwa kabisaaaa.
Halafu nije nisikie mafisadi ya CCM mnaleta zenu za kuleta hapa kuwa hii forum inapendelea chadema.