GE2010 Kikwete aanguka ghafla Jangwani...!

GE2010 Kikwete aanguka ghafla Jangwani...!

.

Kikwete pole sana kwa yaliyokufika jangwani.

katika taarifa za habari usiku huu vyombo vya habari vyote hata vya watu binafsi vimehifadhi tukio la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kikwete. Ni dalili ya uzalendo wa hali ya juu. Kwa wanaoamini katika Mungu basi wahusika wapepunguza dhambi katika nafsi zao. Hiki ni kipindi kigumu kwa wananchi ambapo shetani atatumia tukio hilo kutugombanisha. Mungu nchi nyingi zimemwaga damu wakati wa uchaguzi, Mungu ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika.

Kashikiwa bunduki? Si ni yeye ameona urais ni mtamu kuliko uhai wake?? Na vyombo vya habari wasipotangaza wakaficha ndio watakuwa wamemtibu?? Eti uzalendo! mawe! Kuficha ugonjwa ndio uzalendo!!! wacha kutoa pumba hapa!
 
Nimeitazama du mbona kama kitu kimetokea ghafla jamani sikiliza kwa makini utaona jamaa analia I see halafu anakunja sura .... Kwishne!
 
Wamtumainiao BWANA ni kama Mlima wa Sayuni, hawatatikisika milelee.....JK mtegeemee na Kumtumainia MUNGU sio mwanadamu...kama vile ambavyo hutegemei kura za wafanyakazi basi vivyo hivyo, usiwategeemee wanadamu pia. MUNGU wang akutie nguvu mtumishi
Jamani JK bado ni kiongozi wetu , na kwa matatizo yaliyomkuta tumuombee sana ili apate nafuu na Taifa lisiingie katika janga la wasi wasi wa kisiasa.
JK mwombe Mungu wako na muamini nawe utapona.
 
Nasikia TV za nyumbani nyingi hazikulionesha tukio hili kwenye taarifa za usiku, ni kumlinda rais? Kwani ni aibu kuonwa na watanzania?
Runinga ndio ziko nyuma kiuandishi, lakini magazeti hayakopeshi, kesho hawamwachi.

Unadhani ni kwa nini vyombo vya runinga ndio bado havina uhuru kuliko magazeti?
 
Pale jangwani wahubiri mahiri wenye upako na uwepo wa roho mtakatifu uwa wanaubiri. Kukitokea kinyume na hapo uwa wanaanguka. Uliza watu wa jangwani, mwakasege aliomba apo wiki nzima mtu mwenye pepo akipita kiwanjani hapo mapepo yanatoka, Sina maana mkulu anamapepo ila tuchunguze.
Nawakisha
 
Huyu bwana ni mgonjwa..ila wanaficha..No way, something has to be done, he can no longer bear the presidency portifolio for the next 5 years, too weak!!
 
Jamani JK bado ni kiongozi wetu , na kwa matatizo yaliyomkuta tumuombee sana ili apate nafuu na Taifa lisiingie katika janga la wasi wasi wa kisiasa.
JK mwombe Mungu wako na muamini nawe utapona.
Imani bila matendo imekufa. Kwanini ajiweke kwenye risk? Kwani Mungu alimwambia bila yeye Tanzania haitaendelea??
 
Sijui hii inaonekanaje ila kuanguka anguka huko kunaleta picha ya utata kwa watu wengi kuliko maelezo mazuri yanayotolewa kila anapoanguka.

Namuonea huruma sana JK maana hata shamra shamra za kuzindua kampeni zimeingia dosari na kuanguka kwake. Kwa kuwa ni Rais wetu, ingekuwa vyema sote tumombe mungu ampe afya njema na utashi wa kuamua jambo lililo jema mbele yake.
 
Duh, huyu JK tumemzoea, hata term jana hivo hivo, basi mwaka huu anayo kazi, pengine jamaa anamhofia Slaa nini. nadhani tumpe DR sabu huyu anatuyeyusha tu.
 
Nisiwe mnafiki.Let me call a spade a spade.Huyu mtu anafahamika kuwa ni mgonjwa lakini ni king'ang'anizi.I strongly doubt kama hatatutia hasara tena ya kuitisha uchaguzi mwingine kabla ya 2010 assuming he steals the coming election.I just wish alipoanguka ndio ingekuwa ntolee kabisa.Nothing personal but he's just useless.

Sijui kama CCM wamejifunza lolote katika tukio hilo.Mungu yupo,na si mnafiki kama Makamba au Tambwe.Yani mtu anadai amefunga swaum halafu anaudanganya umma kuwa CCM iko serious katika kupambana na rushwa!I pray his condition gets even worse.Honestly!
 
Hatuongei habari za nguvu ya giza hapa, mleta mada kaleta pumba hazina mbele wala nyuma...ajali ya JK na wengine ni kawaida tu, kila mtu na afya yake ilivyo anajauwa mwenyewe na hili si tukio la kwanza kumtokezea JK, mahala tofauti, iweje mambo ya papa sijuwi nguru yanakuja hapa, hata hamuoni haya kutudanganya na kuongea pumba hapa!!! hata Dr.Slaa ameanguka ****** tumeambiwa, aje mtu leo atuletee hadhithi kama hizo hapo juu tutamuelewaje?
Kama humtakii mema Kikwete.... endelea kufananisha kuanguka kwa Dr Slaa na kuanguka kwa Kikwete!!
 
Kikwete anatatizo kubwa ingawa limekuwa likifichwa sana! Hii ni mara ya nne anapoteza fahamu hadharani waliowahi fanya naye kazi foreign affairs wanajua hili tatizo, hata alipoingia Ikulu amekuwa akipata tatizo hilo ila linafunikwa. Kikwete amewahi poteza fahamu akiwa London akijindaa kurudi Tanzania, hii ilifichwa fichwa na hata ndege na mfasala wake ulicheleweshwa Mkuu wa usalama ni shahidi wangu.

Tatizo linajulikana anataizo kwenye nerves zinazohusiana na coordination ambazo nimeathirika kwenye ubongo na hii husababisha kupata kifafa kitaalamu kinaitwa Petit mal epileps. Ameishashauriwa kazi ya uraisi haiwezi sababu ya huo ulemavu. Amekuwa akikaidi madaktari wa ufaransa na kuzama kwa waganga wa jadi.

Nina wasi wasi sana kama akishinda atamaliza term kabla hatujalazimika kufanya uchaguzi mwingine. Jamaa hafai kuwa kwenye ile nafasi CCM kama issue ni uislam basi wekeni mgombea mwingine. Nasubiri wale puppets wake waje ni mwage kila kitu hadharani.

Pole Raisi Kikwete

Mch Masanilo K
 
CCM oyeeeee watu wanatoka mbio! wanaguna mtu kidogo aponyokwe roho! du lahaula!
 
Wewe usituhubirie miinjili yako hapa, Kikwete alianguka kule mwanza mwaka ule, kule kumebarikiwa na nani?

Kama hapo Jangwani pamebarikiwa na huyo papa mbona pamekuwa ni "maskani" ya vibaka na wakabaji usiku, au papa hakubariki vibaka wadhurike?


Isipokuwa udini tu unakusumbuwa!

Mwanza alianguka mbele ya nani vile?
 
...maana hata shamra shamra za kuzindua kampeni zimeingia dosari
Vigelegele vyote viliisha, kuna kada akajidai kuja na "CCM Oyee," kwani kuna mkereketwa alijibu? JK mwenyewe akaona isiwe tabu hili orodha la Ilani feki litaniua bure hapa, akanywa maji, akaanza
 
Huyu bwana ni mgonjwa..ila wanaficha..No way, something has to be done, he can no longer bear the presidency portifolio for the next 5 years, too weak!!

Yeye alipomfanyizia mwenzake kule Mwanza na kuvunjika mkono alifikiri nini? Naye karudisha mapigo -- tena mbele ya halaiki ya watu wake! Tit for tat -- as they say! Kama unajua huu, nami najua hii!
 
Kikwete anatatizo kubwa ingawa limekuwa likifichwa sana! Hii ni mara ya nne anapoteza fahamu hadharani waliowahi fanya naye kazi foreign affairs wanajua hilitatizo, hata alioingia Ikulu amekuwa akipata tatizo hilo ila linafunikwa. Kikwete amewahi poteza fahamu akiwa London akijindaa kurudi Tanzania, hii ilifichwa fichwa na hata ndege na mfasala wake ulicheleweshwa.

Tatizo linajulikana anataizo kwenye nerves zinazohusiana na coordination ambazo nimeathirika kwenye ubongo na hii husababisha kupata kifafa kitaalamu kinaitwa Petit mal epileps. Ameishashauriwa kazi ya uraisi haiwezi sababu ya huo ulemavu. Amekuwa akikaidi madaktari wa ufaransa na kuzama kwa waganga wa jadi.

Nina wasi wasi sana kama akishinda atamaliza term kabla hatujalazimika kufanya uchaguzi mwingine. Jamaa hafai kuwa kwenye ile nafasi CCM kama issue ni uislam basi wekeni mgombea mwingine. Nasubiri wale puppets wake waje ni mwage kila kitu hadharani.

Pole Raisi Kikwete

Mch Masanilo K
Ubarikiwe mchungaji! watu wanafikiria kuficha ugonjwa ndio kuutibu!!!!!!
 
Back
Top Bottom