Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,076
- 136,497
Hivi kweli Mkwere angemudu mdahalo na Slaa na Lipumba kama hali yenyewe ndio hii?
Ndio naama mi nimesema hapo kurasa za nyuma asingeweza kuhimili mashuti ya Slaa na Lipumba
Hivi kweli Mkwere angemudu mdahalo na Slaa na Lipumba kama hali yenyewe ndio hii?
umenena mkuu huyu jamaa ni msanii maana nimeicheki hiyo anguka kwenye wall ya binti mmoja hapa facebook, yaani ni ya kutafuta huruma tu kwa maamuma live ni msanii kha?Mnaosema Kikwete anaumwa mnadanganyika kweli. Mbona haunguki akiwa safari anatoa hotuba nje ya nchi? Hiyo political strategy kupata huruma ya wapiga kura. JK hana shida wala haumwi. Ni kama MP alivyolia bungeni to drive a point home. Mbona akitoka hapo hatuoni amelazwa kwa hata siku moja? Nyie hamjui siasa kweli.
sijui huwa mnalipwa shilling ngapi,kuneutralize mambo hapa...?
JF kuanguka ni dhahiri,ana matunguri :becky::becky::becky::becky::becky: aibu!
usijihangaishe mie sio chadema wala ccm..:becky:😛layball:😛layball:
Ipo siku huyu jamaa ataanguka akiwa kwenye zile roundtable/ panel discussions za Davos......nyi subirini tu
Au kufia (perish the thought) jukwaani kabisa....
naona ana renew kitu pale si kwamba ameanguka i hope something hiden therelakini ukumbuke alipodondoka ndo alikuwa anahitimisha kujinadi kwa wananchi,,, hii ya leo ndo alikuwa anafungua kujinadi kwa chama chake,,na ukumbuke alipodondoka mara ya kwanza walisingizia alikuwa amefunga, na hii ya leo watasema hivyo, kama raia mlipa kodi ambayo ndo anatumi kwanini hawasemi ukweli,,, Naamini jamaa anamatatizo ya kiafya huwezi ukasimama dakina 8 kuongea tu then ukadondoka hilo haliwezekani,,,,,swala la Slaa kufumaniwa huwezi li compare na kudondoka kwa kikwete hata kidogo,
Kwa macho ya kawaida ukimwangalia mgmbea Mwenza na yeye afya mgogoro tuweelewe vipi???
wewe Nyani Ngabu ni chadema damu nani asiyekujua. ukitaka kumchokoza Nyani Ngabu mguse MBowe, Dr Slaa na chama chao cha Chadema. Wanajamiiforums wengi tumesituka kwamba mnatupeleka kusiko. kila mtu mwache achague chama akipendacho. kama upo chadema na wengine wape uhuru kuingia vyama tofauti na chako.
JF kuanguka? usituambia JF itaanguka nani wa kuiangusha? Kweli JF imekaa vichwani mwenu....JK kuanguka siyo JF jamani!
wewe Nyani Ngabu ni chadema damu nani asiyekujua. ukitaka kumchokoza Nyani Ngabu mguse MBowe, Dr Slaa na chama chao cha Chadema. Wanajamiiforums wengi tumesituka kwamba mnatupeleka kusiko. kila mtu mwache achague chama akipendacho. kama upo chadema na wengine wape uhuru kuingia vyama tofauti na chako.
.Presure up, presure down. Kazi anayo!
Asisingizie swaum, kwani ye hajakandamiza daku? Ndio zake huyo kwani Mza nako ilikuwa swaum?
Aachwe apumzike kama alivyomuacha Mzee Mkapa! Kama ni mgonjwa aache wazima wa afya na akili akina Dr Slaa wachukue nchi!
sasa ndio umenikasirikia jamani? nithamee bathi kamanimekuuthi:smile-big:nilikuwa naamaanisha jeikei na wewe...:eyeroll2:
Originally Posted by ICHONDI![]()
![]()
Hivi Watanzania wanataka dalili gani ZADI kutoka kwa mwenyezi Mungu kuwa huyu bwana hafai.
Mungu wetu huyu alitutumia huo ujumbe siku ya mwisho ya kampeni ya JK mwaka 2005, akaanguka Jukwaani siku ya mwisho, kampeni muhimu sana ni siku ya mwanzo na siku ya mwisho Tukamdharau Mungu tukamchagua JK kwa kishindo.
Mungu akasema OK mmeifanya mioyo yenu kuwa migumu, miaka mitano Mungu akatupiga na kipupwe kikali kabisa cha maisha magumu na umaskini, maradhi, ajali, mafuriko ukame, uchumi mbaya, inflation, ufisadi na uonevu etc chini ya utawala wa JK.
This time Mungu amesema Watanzania bado nawapenda sana, na kwa kuwa ni wagumu kuelewa mapema ngoja niwapelekee ujumbe mwanzoni kabisa labda wataelewa mbele ya safari.
Kama Watanzania hatutaelewa ufunuo huu tena, nadhani miaka mitano ijayo itakuwa kiama, vilio na kusaga meno. Believe me, na si ajabu nchi ikatumbukia kwenye machafuko!!
Rais kikweete aliporejea amesema amefungulia na hii ni kutokana na uchovu wa swaumu ...hee jamani mbona wakristo wengi hasa wachungaji wanaubiri toka asb mpaka jioni awaanguki wakiwa kwenye swaumu ...hizi za wenzetu zina nini zinawadondosha??
Daima fisi (Chadema) anasubiri mfupa kudondoka. Mwaka 2005 alipoanguka KIKWETE hapo hapo Jangwani waliomtakia mabaya walijua ndio mwisho wake lakini akapata ushindi wa kishindo zaidi ya asilimia 80. Mwaka huu 2010 pia ni wa CCM. Kwa watanzania makani suala la kuanguka ni dogo. Mbona Clinton alipatikana na hatia ya kufanya mapenzi katika Ikulu ya Wamarekani na akaendelea kuongoza sembuse kuanguka???? haaaaa.
Tatizo la chadema mnafikiri mtakwenda Ikulu kwa matusi ya kisiasa dhidi ya wapinzania wenu CCM. Mnajitafutia ajali ya kisiasa bure. mwaka huu kikwete katangaza kampeni za kistaarabu na kaagiza kila mgombea CCM afanye hivyo. Hii ni kete ya ushindi.CCM totoroooooooooooooo na mgombea wake