Kwani UWT ndiyo mwaumbaji hizi ni porojo za mitaani. Maneno hayo kisheria ni uhaini unaweza kushitakiwa kwa kupanga kufupisha maisha ya Rais.Kuna wazee UWT waliapa toka 2005 kuwa JK hamalizi vipindi viwili.:confused2:
Nasubiri hotuba ya daktari wa raisi itakayotolewa. Tukicheza mpaka uchaguzi ufike tutapokea hotuba kibao za daktari wa rais
That he could of just pulled a stunt?
...mmm, My dear Roza. Jamaa anatuudhi lakini hii kidogo naona kama imepinda hivi ama we waonaje?
usichanganye mchanga na sukari! Slaa ameteleza yaani mabafu ya ma-guset na mahoteli yetu tiles hazina viwango! JK kadondoka kwa afya mbovu! tuseme ukweliKuanguka sio yeye tu kumbuka Dr Slaa aliaguka majuzi bafuni Mwanza na kuvunjika mkono,ile ni ajali kama ajali nyingine
Kuyumba si kuanguka. atakuwa kamili tu baada ya muda mfupi. wadau haifai kuandika hovyoRIP JK,
Nadhani ndo ule utabiri wa Mchawi wao, Sheikh Yahaya.
Tofautisha kuanguka kwa Slaa na Kikwete, huwezi kusema kuanguka kwa Kikwete ni bahati mbaya mara ngapi anashauriwa apumuzike hataki, tatizo la JK ni ugonjwa ambao unafichwa tofauti na kuanguka kwa Slaa huwezi kusema kuteleza kwa Slaa kulisababishwa na ugonjwa.Naomba mambumbumbu wa amani muache kuchochea chuki na hulka ya dharau katika nchi hii iliyojengwa kwa misingi ya heshima na upendo. Ndio maana Dr. Slaa alipodondoka na kuteguka mkono hakuna aliyesema RIP. Badala yake watu wote tulimuombea apone haraka aendelee na kazi za ujenzi wa Taifa. Muwe wastaarabu.
Kwani UWT ndiyo mwaumbaji hizi ni porojo za mitaani. Maneno hayo kisheria ni uhaini unaweza kushitakiwa kwa kupanga kufupisha maisha ya Rais.
hakuanguka jumla mabodyguard wake walimuwahi kabla hajafika chini. Mbona hata Dr Slaa alianguka bafuni huko mwanza hadi kuvunjika mkono. wote wameanguka tofauti mmoja kaanguka bafuni mwingine jukwaani. hii ni bahati mbaya inaweza ikamtokea mtu yoyoye wakati wowote.
good question....
na bila shaka katika group ya waliokuwa jangwani kuna wengi tu wana saumu why yeye tu????
kuhusu ikiwa wanafunga kinafiki au wanakula kwa siri sidhani...bali nadhani kuna unafiki kwa kikwete kusingizia saumu kila anapoanguka..
saumu saumu......good scapegoat eehh!!!!!
Kuyumba si kuanguka. atakuwa kamili tu baada ya muda mfupi. wadau haifai kuandika hovyo