Acha hizo, kuanguka jukwaani na kuanguka bafuni ni vitu viwili tofauti. Huyu aliyeanguka bafuni aliteleza hata kama alikuwa amekunywa pombe huwezi kulinganisha na kuanguka jukwaani kwenye kampeni nzito kama hiyo. Tuache ushabiki, something is wrong
Hivi Watanzania wanataka dalili gani ZADI kutoka kwa mwenyezi Mungu kuwa huyu bwana hafai. Mungu wetu huyu alitutumia huo ujumbe siku ya mwisho ya kampeni ya JK mwaka 2005, akaanguka Jkwaani siku ya mwisho, kampeni muhimu sana ni siku ya mwanzo na siku ya mwishoi Tukamdharau Mungu tukamchagua JK kwa kishindo. Mungu akasema OK mmeifanya mioyo yenu kuwa migumu, miaka mitano Mungu akatupiga na kipupwe kikali kabisa cha maisha magumu na umaskini, maradhi, ajali, mafuriko ukame, uchumi mbaya, inflation, ufisadi na uonevu etc chini ya utawala wa JK. This time Mungu amesema Watanzania bado nawapenda sana, na kwa kuwa ni wagumu kuelewa mapema ngoja niwapelekee ujumbe mwanzoni kabisa labda wataelewa mbele ya safari. Kama Watanzania hatutaelewa ufunuo huu tena, nadhani miaka mitano ijayo itakuwa kiama, vilio na kusaga meno. Believe me, na si ajabu nchi ikatumbukia kwenye machafuko!!
Hili la kuanguka jukwaani kama ni kweli haliwezi kuwa jambo la kawaida, wale wenye historia ya mambo ya uraisi watakubaliana nami kuwa JK ni raisi labda wa kwanza na pekee aliyeongoza kuanguka kwenye majukwaa ya siasa na kampeni. Hata Joh Mccain au Robert Mugabe ambao kiumri ni wakubwa kuliko JK hawakuwahi kudondoka kwenye majukwaa ya kampeni. Last time alipodondoka Mwanza walisema ni sababu ya uchovu, je leo alikuwa amechoka? si alijua ana kampeni nzito na muhimu? Mbona hakudondoak juzi alivyorudisha fomu? Swaumu sio issue, Waislamu wanabadili ratiba ya kula tu na si kuwa hawali!
SIKU NJEMA HUONEKANA ASUBUHI. MUNGU AMETUPA ZAWADI HII ADIMU YA UFUNUO, MWAKA 2005 ALITUONYESHA MWISHONI, TUKAIFANYA MIOYO YETU MIGUMU, THIS TIME KWA UPENDO WAKE KWA WATANZANIA NA KWA KUWA AMESIKIA MATESO NA VILIO VYA WATU WAKE AMEAMUA KWA NEEMA KUTUONYESHA MWANZONI KABISA KABISA, JE TUTAIFANYA TENA MIOYO YETU MIGUMU KAMA FARAO!!!
WATCH AND PRAY!
Hivi Watanzania wanataka dalili gani ZADI kutoka kwa mwenyezi Mungu kuwa huyu bwana hafai. Mungu wetu huyu alitutumia huo ujumbe siku ya mwisho ya kampeni ya JK mwaka 2005, akaanguka Jkwaani siku ya mwisho, kampeni muhimu sana ni siku ya mwanzo na siku ya mwishoi Tukamdharau Mungu tukamchagua JK kwa kishindo. Mungu akasema OK mmeifanya mioyo yenu kuwa migumu, miaka mitano Mungu akatupiga na kipupwe kikali kabisa cha maisha magumu na umaskini, maradhi, ajali, mafuriko ukame, uchumi mbaya, inflation, ufisadi na uonevu etc chini ya utawala wa JK. This time Mungu amesema Watanzania bado nawapenda sana, na kwa kuwa ni wagumu kuelewa mapema ngoja niwapelekee ujumbe mwanzoni kabisa labda wataelewa mbele ya safari. Kama Watanzania hatutaelewa ufunuo huu tena, nadhani miaka mitano ijayo itakuwa kiama, vilio na kusaga meno. Believe me, na si ajabu nchi ikatumbukia kwenye machafuko!!
Hili la kuanguka jukwaani kama ni kweli haliwezi kuwa jambo la kawaida, wale wenye historia ya mambo ya uraisi watakubaliana nami kuwa JK ni raisi labda wa kwanza na pekee aliyeongoza kuanguka kwenye majukwaa ya siasa na kampeni. Hata Joh Mccain au Robert Mugabe ambao kiumri ni wakubwa kuliko JK hawakuwahi kudondoka kwenye majukwaa ya kampeni. Last time alipodondoka Mwanza walisema ni sababu ya uchovu, je leo alikuwa amechoka? si alijua ana kampeni nzito na muhimu? Mbona hakudondoak juzi alivyorudisha fomu? Swaumu sio issue, Waislamu wanabadili ratiba ya kula tu na si kuwa hawali!
SIKU NJEMA HUONEKANA ASUBUHI. MUNGU AMETUPA ZAWADI HII ADIMU YA UFUNUO, MWAKA 2005 ALITUONYESHA MWISHONI, TUKAIFANYA MIOYO YETU MIGUMU, THIS TIME KWA UPENDO WAKE KWA WATANZANIA NA KWA KUWA AMESIKIA MATESO NA VILIO VYA WATU WAKE AMEAMUA KWA NEEMA KUTUONYESHA MWANZONI KABISA KABISA, JE TUTAIFANYA TENA MIOYO YETU MIGUMU KAMA FARAO!!!
WATCH AND PRAY!