mwita ke mwita
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 8,058
- 3,755
:mad2:nampa pole mheshimiwa inatia huruma kama ana ugonjwa madaktari wampumzishe
Kikwete anatatizo kubwa ingawa limekuwa likifichwa sana! Hii ni mara ya nne anapoteza fahamu hadharani waliowahi fanya naye kazi foreign affairs wanajua hilitatizo, hata alioingia Ikulu amekuwa akipata tatizo hilo ila linafunikwa. Kikwete amewahi poteza fahamu akiwa London akijindaa kurudi Tanzania, hii ilifichwa fichwa na hata ndege na mfasala wake ulicheleweshwa.
Tatizo linajulikana anataizo kwenye nerves zinazohusiana na coordination ambazo nimeathirika kwenye ubongo na hii husababisha kupata kifafa kitaalamu kinaitwa Petit mal epileps. [/I]Ameishashauriwa kazi ya uraisi haiwezi sababu ya huo ulemavu. Amekuwa akikaidi madaktari wa ufaransa na kuzama kwa waganga wa jadi.
Nina wasi wasi sana kama akishinda atamaliza term kabla hatujalazimika kufanya uchaguzi mwingine. Jamaa hafai kuwa kwenye ile nafasi CCM kama issue ni uislam basi wekeni mgombea mwingine. Nasubiri wale puppets wake waje ni mwage kila kitu hadharani.
Pole Raisi Kikwete
Mch Masanilo K
Hii ni tathmini isiyona kichwa wala mguu. Ulikuwa huna hata sababu ya kujitaja wewe ni chama gani maana ni aibu kwa chama chochote kuwa na mwanachama asiyeweza kujenga hoja.Hii leo rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndugu Jakaya Mrisho Kikwete ameanguka mara mbili akihutubia umati wa wana CCM katika kuzindua kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa uchaguzi wa mwaka 2010.
Napenda nieleweke kuwa sina ubaya na kuanguka kwa JK lakini miscalculation ya CCM na JK kwa ujumla. Inaelekea Jangwani wanaidhania ni ile ya Yanga tu.
Inaelekea CCM na watu wake wamesahau kuwa Jangwani ni sehemu iliyobarikiwa na Papa Yahane Paulo II mwaka 1990, na hivyo ni patakatifu zaidi ya hata Ikulu anakokung'ang'ania. Wachawi wengi huanguka pale bila kujua kuwa wanakatiza eneo ambalo si la kuchezea na linalostahili heshima zote. JK kaanguka wakati akiongea maneno ambayo kwangu naweza kukiri ni uwongo, hakuyamalizia na Mungu akaamua kumnyamazisha kwa muda.
Mimi si CHADEMA na wala si CUF, siegemei upande wowote lakini iwe ni angalizo kwa wanasiasa wengine mnaotarajia kupatumia kwa uzinduzi wa kampeni zenu; msiende pale kuwaongopea watanzania yatawakuta makubwa!
Pole JK, lakini usirudie kusema uwongo kwani wanaokushangilia asilimia kubwa ni sababu ya njaa zao tu!
Mungu hadhihakiwi... Mungu hasikilizi sala za wanafiki... waongo....Mimi nikiwa kama mtanzania mwenye mapenzi maema na nchi yangu na watu wake akiwepo Raisi JK, ninamuombea Mungu ili amjalie afya njema na kuendelea kuingoza nchi ya Tanzania. Tunajua mangapi ambayo ameyafanyia Tz. Ufisadi si jambo dogo linahitaji uwe na uwezo thabiti wa kupambana nayo na uwezi kupambana ufisadi kwa kuhisi tuu.
Hivi wagonjwa wa namna hiyo wanaitwa walemavu? Halafu walemavu wenyewe hawana nafasi ya kuongoza?Kikwete anatatizo kubwa ingawa limekuwa likifichwa sana! Hii ni mara ya nne anapoteza fahamu hadharani waliowahi fanya naye kazi foreign affairs wanajua hili tatizo, hata alipoingia Ikulu amekuwa akipata tatizo hilo ila linafunikwa. Kikwete amewahi poteza fahamu akiwa London akijindaa kurudi Tanzania, hii ilifichwa fichwa na hata ndege na mfasala wake ulicheleweshwa Mkuu wa usalama ni shahidi wangu.
Tatizo linajulikana anataizo kwenye nerves zinazohusiana na coordination ambazo nimeathirika kwenye ubongo na hii husababisha kupata kifafa kitaalamu kinaitwa Petit mal epileps. Ameishashauriwa kazi ya uraisi haiwezi sababu ya huo ulemavu. Amekuwa akikaidi madaktari wa ufaransa na kuzama kwa waganga wa jadi.
Nina wasi wasi sana kama akishinda atamaliza term kabla hatujalazimika kufanya uchaguzi mwingine. Jamaa hafai kuwa kwenye ile nafasi CCM kama issue ni uislam basi wekeni mgombea mwingine. Nasubiri wale puppets wake waje ni mwage kila kitu hadharani.
Pole Raisi Kikwete
Mch Masanilo K
Kikwete anatatizo kubwa ingawa limekuwa likifichwa sana! Hii ni mara ya nne anapoteza fahamu hadharani waliowahi fanya naye kazi foreign affairs wanajua hili tatizo, hata alipoingia Ikulu amekuwa akipata tatizo hilo ila linafunikwa. Kikwete amewahi poteza fahamu akiwa London akijindaa kurudi Tanzania, hii ilifichwa fichwa na hata ndege na mfasala wake ulicheleweshwa Mkuu wa usalama ni shahidi wangu.
Tatizo linajulikana anataizo kwenye nerves zinazohusiana na coordination ambazo nimeathirika kwenye ubongo na hii husababisha kupata kifafa kitaalamu kinaitwa Petit mal epileps. Ameishashauriwa kazi ya uraisi haiwezi sababu ya huo ulemavu. Amekuwa akikaidi madaktari wa ufaransa na kuzama kwa waganga wa jadi.
Nina wasi wasi sana kama akishinda atamaliza term kabla hatujalazimika kufanya uchaguzi mwingine. Jamaa hafai kuwa kwenye ile nafasi CCM kama issue ni uislam basi wekeni mgombea mwingine. Nasubiri wale puppets wake waje ni mwage kila kitu hadharani.
Pole Raisi Kikwete
Mch Masanilo K
Nyani unakumbuka jinsi Zap Judah alivyopigwa na Kosta Zyu au Rick Hatton alivyopopolewa na Paciao? Duh! Rais kayeyuka ka vile mlenda, tena alishaanza mapema kwa kusita kutamka kitu fulani.
Watadai ni Swaumu na upup mwingi, je hakuwa amepumzika vya kutosha kabla ya kwenda kuhutubia? Je kwa nini hawakubadilisha muda ukizingatia kuwa kitendo hiki kilitokea tena 2005?
Mimi nimeangalia clip ya kudondoka kutoka blog ya michuzi, alianza kusihiwa nguvu wakati akisema kuwa tuleifanya mengi na tunaahidi kufanya zaidi kama mkitupa ridhaa, tuta... tu...nyaaa-- then kwisha. Nadhani hizi ahadi zinampa shida kwa kuwa anajua hazitekelezeki, alikuwa anasema uongo, na mwili wake ukakataa kabisa. This is very sad, na nadhani huyu bwana ana kaugonjwa hako na lazima kanampata mara kwa mara, ndio maana alijua kanakuja akasema "aisee"Au ndio tuseme Dalili tunaoneshwa jinsi CCM itakavyodondoka?
Mnajua nyie Unapokuwa mumini wa dini ya Kisilamu na ukawa unaapa kwa kutumia hiyo Quran kwa kutowa ahadi halafu ukienda kinyume au ukiwa unadangaya basi itakurudi tu halina shaka hilo ,hususan ukizingatia huu ni mwezi ndiwo iliyoshushwa hiyo quran isitoshe ukiwa kiongozi unasema mambo huku ukijuwa kuwa haya si ya ukweli na walahai tu hawa viumbe kwa mamneno matamu ili mradi yetu yende hapo ndipo zahama huanza.
Lakini juu ya yote hayo Chadema wasubiri 2025 kwani akimaliza Urais Jk ni lazima kwa hali yeyote ile achukuwe mtu kutoka zanzibar
Mchungaji ..unafika mbali sana, kuhusu afya ya mtu ni siri ya mtu mwenyewe, and its unethical kuelezea mambo afya inalomsibu mtu mwingine.. mimi ni mtaalamu wa afya lakini hapo umefika mbali sana... nafikiri watu kama nyie katika kuropokaropoa kwa mambo msiyo yajua mnatambulikana kama wahaini na ni kwa sabaubu tu ya nchi yetu ni ya amani, lakini mtu kama wewe ungetakiwa uwe somewhere ujileze vizuri nani kakupa mamlaka hayo na pia unawesemea wa kinani
Mchungaji ..unafika mbali sana, kuhusu afya ya mtu ni siri ya mtu mwenyewe, and its unethical kuelezea mambo afya inalomsibu mtu mwingine.. mimi ni mtaalamu wa afya lakini hapo umefika mbali sana... nafikiri watu kama nyie katika kuropokaropoa kwa mambo msiyo yajua mnatambulikana kama wahaini na ni kwa sabaubu tu ya nchi yetu ni ya amani, lakini mtu kama wewe ungetakiwa uwe somewhere ujileze vizuri nani kakupa mamlaka hayo na pia unawesemea wa kinani
Kuanguka sio yeye tu kumbuka Dr Slaa aliaguka majuzi bafuni Mwanza na kuvunjika mkono,ile ni ajali kama ajali nyingine
Hivyo vitisho vya enzi za kina Mobutu usijaribu kuvileta hapa! Tena ukome! Nani kamkwambia afya ya rais wa nchi inakuwaga siri? Akitaka watu wasihoji chochote atoke kwenye hiyo post!Mchungaji ..unafika mbali sana, kuhusu afya ya mtu ni siri ya mtu mwenyewe, and its unethical kuelezea mambo afya inalomsibu mtu mwingine.. mimi ni mtaalamu wa afya lakini hapo umefika mbali sana... nafikiri watu kama nyie katika kuropokaropoa kwa mambo msiyo yajua mnatambulikana kama wahaini na ni kwa sabaubu tu ya nchi yetu ni ya amani, lakini mtu kama wewe ungetakiwa uwe somewhere ujileze vizuri nani kakupa mamlaka hayo na pia unawesemea wa kinani