Kijana amwagiwa Tindikali Igunga

Kijana amwagiwa Tindikali Igunga

Mkuu unatakiwa kuwa makini sana katika kuleta mada. Unapoanza kutoa shutuma kwa CDM inaonesha kuwa busara imekuwa pembeni. Hebu jiulize maswali yafuatayo<ol class="decimal"><li>Je mtu akikwambia kuwa uliwaona waliomwagia kuwa ni CDM utamjibu ndiyo?,</li><li>Kama uliwaona unathibitisha vipi kuwa ni CDM?(i.e Umewakuta na kadi za CDM mifukoni?)</li><li>Je mtu mwingine akisema kuwa Kijana huyu alikuwa wa CDM anabandua matangazo ya CCM na vijana wa CCM wakamteka na kumwagia tindikali usoni na kumwambia aseme ni CDM ili apatiwe matibabu nje ya nchi na CCM vinginevyo watamwacha apofuke utakataa?</li><li>Kama hukuwepo, ni kigezo gani kimekufanya uwashambulie CDM kiasi hicho?</li><li>Je Mtu akisema kuwa kundi la CCM limemtoa kafara huyu kijana kwa kumwagia tindikali ili wahusishe tukio na CDM ili polisi wapate sababu za kuwakandamiza wafuasi wa CDM wasifanye siasa na hata kuwakamata wasipige kura tutakuwa tumekosea?</li></ol>Katika post yako maneno pekee niliyaona yanabusara ni RED BOLDED kuwa kitendo hiki si kizuri hasa ukizingatia kuwa anapiganiwa mtu mmoja tu akasinzie bungeni na kupata posho. Je macho ya huyu kijana yanaweza kurudishwa?. Tuache ushabiki wa siasa, huwezi kuja na post biased kama hii halafu unusurike. Inaonesha wazi kuwa something is wrong. Hata maswa CCM walikimbilia conclusion kuwa Shibuda kaua na mkamuweka ndani bila sababu. Katika uchaguzi huu kila mtu anakuwa responsible kama yeye. Endapo tutasikia kauli ya viongozi wa CDM kuwataka vijana wanaowaunga mkono kuwamwagia tindikali wasiowaunga mkono hapo tutasema kuwa CDM inachochea fujo kama chama. Huu ni uzandiki mkubwa sana kuhusisha wahuni wachache na chama kinaochoonekana ni tishio. Sababu kama hizi ndizo zinatufanye sisi wengine tusio na chama kuzidi kuichukia CCM na kuomba siku moja chama chochote mbadala kishike nchi
<br />
<br />
Sheria za JF hazikatazi
 
Vipi umekihusisha chama cha Chadema moja kwa moja!?,inamaana Chadema ndio wapo ktk uchaguzi tu huko Igunga!?Hii ni chuki ya wazi kabisa unaionyesha kwa Chadema dhidi ya wananchi wa Tanzania,kwa uchochezi huo mmbaya hata siku ya kufa kwako hutafunga mdomo na hakika mwenye enzi Mungu atakulipia sawa kbs na kile unachokifanya
Jamani Magwanda! Nyie kila siku mnasema ndio chama cha upinzani peke yake Tanzania nzima, vyama vyote ni vyote ni CCM hata bungeni mlikataa kuungana na chama chochote, leo mnakubali kuna vyama vingi vya siasa vya upinzani.
Uzuri wa ili suala Kijana mwenyewe mpenda amani anasema kamwagiwa Tindikali na vijana wahuni wa CDM
 
Hi ni mbaya sana sana...............nawalaaani wote waliohusika nakitendo cha Kinyama....upinzani si Uadui...jamani..........sisi wote ni Wanadamu na Watanzania......pia kwa wengine ni ndugu............wengine tunaishi na familia zetu na tofauti zetu za ki-uanachama/kiitikadi........washenzi sana waliofanya kitendo hicho...................
 
Mabadiliko ya Tz ni ghalama! So mm naamin wakati utafika Magamba watakumbuka Methali ya MUOSHWA HUOSHWA,so naamin TZ ya leo si ya jana! Binafsi nampa Pole Mwanaharakati mwenzangu na nipo tayari kuchangia kwa sehemu Gharama ya Matibabu! Wanaharakati tusife Moyo Ushindi uu Karibu sana wa Kulikomboa Taifa kutoka kwa Magamba!
 
Hii kitu mbaya sana, unaweza ukaona utani ila ukimuona yule kijana utamuhurumia! Labda niwapongeze ccm kwa kuamua kubeba dhamana ya kumuhudumia, coz nimemuona kijana akishushwa kutoka ndani ya ndege ya kukodi moshi airport na sasa amelazwa kcmc. Hii ni siasa iliyochanganyika na ujambazi coz kijana kamwagiwa tindikali baada ya kupigwa sana.
 
Isije kuwa zile Fuso za CDM zilikuwa zinasomba watu kutoka Arusha na Moshi ndio wanataka kuchafua amani Igunga!
Igunga ni sehemu ya amani sana hawezi kutokea mkazi wa Igunga amwagie mtu Tindikali, hii lazima watakuwa wale walikuja na zile Fuso tu hamna mwingine
nikumbushe zile plate numbers za fuso tuzifuatilie si unajua mambo ya polisi jamii.
 
Afadhali umenisemea hata mimi, huyu jamaa huwa najiuliza inakuwa vipi mtu anakuwa na arguments za ajabu ajabu. Hata kama ni CCM, he should have been strongly linked with the CCM-strengthes na siyo kutukana tukana watu. Ajenge hoja, mbona kuna mengi ya kujivunia huko CCM, lakini kwa wamelewa kodi zetu wanayasahau hata kuyatetea hawajui.
<br />
<br />

hivi ili mtu awe great thinker ni mpaka awe anamsifia dr. Slaa au chadema...
 
Njama za CCM zimeanza ili kutoa vitisho kwa watanzania kama ilivyo kawaida yao. Kama wameshindwa kujenga hoja jukwaani watuachie CDM tushawishi wananchi na sio kuleta propaganda zisizo na tija kwa taifa. Watanzania wa Igunga hawataki kusikia visingizio bali wanataka kuambiwa kodi zao zimefanya nini na sio nani kamwagia mwingine tundikali (The freedom is coming tomorrow
 
acha kumtukania mama yake unajua thamani ya mama wewe bora umtukane mwenyewe au we mwenzetu hukuzaliwa kua ukomae acha utoto na uhayawani ulaaniwe shetani mkubwa weeee tubu kwa Mungu na uombe akusamehe bila mama ungekuwepo wewe mbwiga!!!!
 
nasikitika sana watu wanaoleta siasa wakati jamaa kaumia sana,wakat anamwagiwa mm nilikuwepo kwenye gar tukimsubiria abandike zeni tusogee mbele mara wakatokea watu wakisema pipozzz ngoja tukuonyeshe nguvu ya umma wakamwagia tukafikir ni maj mara jamaa analia sana na kumchek mtu kaungua uso na kupofoka macho,nasema wakiletwa mbele yangu wale vjana waliokuwa wakisema pipoz nawakumbuka mpaka sasa.najiuliza ccm na cdm nani anatindikali nyingi? mnatupeleka wap?haya
<br />
<br />
sisi tunajua km hao watu ni cdm watakamatwa ila km ni magambaz hawataonekana, kwa hiyo baada ya siku mbil ukiona kimya jua washamtoa jamaa kafara kwa lengo la kuchafua cdm, hv kwa nn wabandike mabango usiku? Kuna agenda gan? Manake ccm ina mbinu chafu nyingi inajarib kutumia zote ilimrad washinde, hv wana jf cuf wapo? Au ndo washaunganisha nguvu!! Teh teh teh teh
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Sasa kwa mfano umelala na mtu chumba kimoja halafu asubuhi unakuta umeibiwa hela. Ungekuwa wewe utasema umeibiwa na nani?
<br />
<br />
kaibiwa na mwizi,hujui watu wanakata madirisha na kuiba cm,hela na hata nguo?masaburi yako yamechoka.
 
Magazeti ya leo yameandika kuwa kijana wa ccm amwagiwa tindikali na watu wasiofahamika,someni nipashe na mwananchi.
 
Dah kweli CCM mtatumaliza!juzi tu mlipokuwa mnakwenda kuchukua 4m mlituulia mtoto wetu kwa kumsaga kichwa na lori,mkajidai wasamaria mkatupa vpesa vyenu kutufariji ili tuwaone wema. leo mnazindua kampeni mmemwagia kijana tindikali, pamoja na kuwatoa kafara wanduguzetu kwa kuzamisha meli, huu ni mwanzo wa kampeni bado katikati na kufunga kampeni kweli CCM wauwaji wakubwa.
 
Back
Top Bottom