<br />Hii habari inasikitisha sana Watanzania lazima tuwe makini na hawa jamaa wa CDM sio binadamu kabisa na hawana huruma hata kidogo.<br />
Wanataka kuingiza Tanzania kwenye machafuko makubwa ya umwagaji damu
Wana JF sasa hivi tupo hapa Igunga hospital usiku huu, kijana wa CCM aliyekuwa anabandika mabango kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni za CCM kesho, ametekwa na vijana wa CDM na kumwagiwa tindikali usoni,, kwakweli ameharibika vibaya na inasikitisha sana. Hawa CDM kwanini wameweka fujo na ughaidi mbele? Sasa huyu kijana hawezi kuona na ukimwona utarokwa machozi. Hebu hizi tamaa na uroho wa madaraka usituingize kwenye vita,, ni kitu kibaya kabisa kilichofanyika. Sasa hivi waandishi wa habari wamefiaka hapa, pengine mtasoma kwenye magazeti na kuona picha. Watanzania tukatae roho za kijambazi kama hizi
Wana JF sasa hivi tupo hapa Igunga hospital usiku huu, kijana wa CCM aliyekuwa anabandika mabango kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni za CCM kesho, ametekwa na vijana wa CDM na kumwagiwa tindikali usoni,, kwakweli ameharibika vibaya na inasikitisha sana. Hawa CDM kwanini wameweka fujo na ughaidi mbele? Sasa huyu kijana hawezi kuona na ukimwona utarokwa machozi. Hebu hizi tamaa na uroho wa madaraka usituingize kwenye vita,, ni kitu kibaya kabisa kilichofanyika. Sasa hivi waandishi wa habari wamefiaka hapa, pengine mtasoma kwenye magazeti na kuona picha. Watanzania tukatae roho za kijambazi kama hizi
<br />
<br />
Acha unafiki, mbona thread ya kiongozi wa CCM S'wanga aliyempiga mkewe haijaondolewa?
nasikitika sana watu wanaoleta siasa wakati jamaa kaumia sana,wakat anamwagiwa mm nilikuwepo kwenye gar tukimsubiria abandike zeni tusogee mbele mara wakatokea watu wakisema pipozzz ngoja tukuonyeshe nguvu ya umma wakamwagia tukafikir ni maj mara jamaa analia sana na kumchek mtu kaungua uso na kupofoka macho,nasema wakiletwa mbele yangu wale vjana waliokuwa wakisema pipoz nawakumbuka mpaka sasa.najiuliza ccm na cdm nani anatindikali nyingi? mnatupeleka wap?haya
Thread mbona ipo mpaka sasa??Hili nililitarajia kutoka kwenye chama kilichozoea fujo na maandamano kiasi cha kukodi wala ndumu kwenye maandamano yao. Wasiwasi wangu hii thread haitaishi kufikia asubuhi kabla haijafutwa eti kwa kuwa hakuna ushahidi. Wanasahau jinsi wanavyojaza thread za kumkashfu Kikwete kila uchao.
Wana JF sasa hivi tupo hapa Igunga hospital usiku huu, kijana wa CCM aliyekuwa anabandika mabango kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni za CCM kesho, ametekwa na vijana wa CDM na kumwagiwa tindikali usoni,, kwakweli ameharibika vibaya na inasikitisha sana. Hawa CDM kwanini wameweka fujo na ughaidi mbele? Sasa huyu kijana hawezi kuona na ukimwona utarokwa machozi. Hebu hizi tamaa na uroho wa madaraka usituingize kwenye vita,, ni kitu kibaya kabisa kilichofanyika. Sasa hivi waandishi wa habari wamefiaka hapa, pengine mtasoma kwenye magazeti na kuona picha. Watanzania tukatae roho za kijambazi kama hizi
nasikitika sana watu wanaoleta siasa wakati jamaa kaumia sana,wakat anamwagiwa mm nilikuwepo kwenye gar tukimsubiria abandike zeni tusogee mbele mara wakatokea watu wakisema pipozzz ngoja tukuonyeshe nguvu ya umma wakamwagia tukafikir ni maj mara jamaa analia sana na kumchek mtu kaungua uso na kupofoka macho,nasema wakiletwa mbele yangu wale vjana waliokuwa wakisema pipoz nawakumbuka mpaka sasa.najiuliza ccm na cdm nani anatindikali nyingi? mnatupeleka wap?haya
Pole sana kijana,ajali kazini.