Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,722
haaaaa wamemtia huyu kijana kilema cha maisha
nasikitika sana watu wanaoleta siasa wakati jamaa kaumia sana,wakat anamwagiwa mm nilikuwepo kwenye gar tukimsubiria abandike zeni tusogee mbele mara wakatokea watu wakisema pipozzz ngoja tukuonyeshe nguvu ya umma wakamwagia tukafikir ni maj mara jamaa analia sana na kumchek mtu kaungua uso na kupofoka macho,nasema wakiletwa mbele yangu wale vjana waliokuwa wakisema pipoz nawakumbuka mpaka sasa.najiuliza ccm na cdm nani anatindikali nyingi? mnatupeleka wap?haya
Sio Cha maisha atapona tu kama Kubeneahaaaaa wamemtia huyu kijana kilema cha maisha
kama ni kweli tunampa pole kijana, siungi mkono vurugu, pia siamini uwekaji mabango ya matangazo ni chanzo cha vurugu za hivyo, nikimkumbuka H. Kolimba machozi yanitoka. yaweza kuwa ni mchezo mchafu wa ccm kuomba huruma ya wanaigunga.
Mmmm! je waliomwaga tindikali walivalia gwanda la cdm? Kumbuka kuna vyama 8 vinagombea Igunga pia kuna wagombea binafsi---------!
Mwanachama CCM amwagiwa tindikali
Kijana wa Green Guard, aliyemuokoa majeruhi huyo, Farahani Farahani, alidai kuwa alikutana na majeruhi huyo karibu na shule inayojulikana kama Jitegemee na kwamba wakati anarudi alikutana na wanaume wawili na majeruhi huyo akiwa katikati.
"Nikasema kwamba Katibu alinipigia simu kuwa kuna kijana anatafutwa ametekwa na watu wa Chadema , nikasema ngoja nirudi kama kutekwa na mimi nitekwe kwa sababu tayari nilishapata taarifa kuwa kuna kijana anatafutwa basi nageuza wale vijana wakanisimamisha samahani bwana huyu kijana hebu mpeleke kituo cha polisi," alidai.
Alidai alipomchukua na kumfikisha katika ofisi za wilaya za CCM hatimaye polisi wakamchukua kabla ya kupelekwa katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga.
jana kuliripotiwa katika vyombo vya habari na hata huku jf kuwa chaema wamemwagia kijana wa ccm titindikali hapa igunga,leo katika hali ya kuhuzunisha kijana mwengine tena wa kike amepigwa na mawe baada ya kumkataa mmoja wa vijana wa chadema katika kijiji cha itumba,tarafa ya igunga wilayani hapa,
kwa maelezo ya binti huyu maria solomon,jana alifuatwa na afisa huyu akaombwa penzi,akakubali lakini baada ya jamaa ruzuku yake kuwa ndogo binti akaamua kuchomoa,lakini akawa tayari kishalamba soda mbili aina ya fanta ya kada wa cdm,mshakaji akalalishwa mlango wazi na binti astokee,sasa leo katika pitapita si kamuona?? mawe yakaanza!
SUGU.......mke wa JAFFARAIChadema hawana sera..hata kutongoza hawajui! Ndio maana waishia kuoa wake za watu na wanawake walioachika!
Pia wengi asilimia kubwa wako 30+ lakin bado hawajaoa