Kijana amwagiwa Tindikali Igunga

Kijana amwagiwa Tindikali Igunga

Ccm noumaaaa walimwagia kubenea wakamuua Chifupa,wakamuua Sokoine,wakamuua Kolimba,wakamuua Abdulmani Babu,wakamuua Balali sasa wanaitafuta roho ya kijana wa Igunga!!!
<br />
<br />
Mkuu umewasahau kighoma malima na oscar kambona. Magamba wana mtandao mbaya sana wa ujambazi mpaka ulaya.
 
Nyie magwanda mtaumiza wengi safari hii, hizi bangi ni hatari
 
Augue pole. Aache ushabiki wa kijinga. Nape atamhudumia, asiwe na shaka.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
acheni kubandua picha za wakombozi nyie
wakombozi wa nani? Si unaona sasa mnaanza kujitokeza na kutishia watu.Wakiendelea kubandua na nyie mtaendelea kuwapofua sio?
 
hichi chama cha magwanda kifutwe ni chama cha hatari hata mavazi wanajitambulisha.
 
wakombozi wa nani? Si unaona sasa mnaanza kujitokeza na kutishia watu.Wakiendelea kubandua na nyie mtaendelea kuwapofua sio?
<br />
<br />
huyo kijana aliombwa na ccm kwenda kubandua picha za wakombozi. Matokeo yake ccm hao hao wakamwagia tindikali ili ionekane ni chadema wamefanya hivyo. It was very trick. CCM wana bore sana.
 
....Kawaida ya CCM wanatoa watu kafara,na hii ni janja yao ili kuwafanya watu waamini kuwa CDM ni chama kisichokuwa na ustaarabu nk...kwa mawazo yangu ni vyema tukawaachia watu wa usalama wafanye uchunguzi wao badala ya kumbebesha mtu yeyote mzigo huu...Inawezekana ni ugomvi huu wala si wa kisiasa,labda ni bahati mbaya tu limetokea wakati wa uchaguzi...inawezekana ni masuala ya mahusiano,mali nk..Kama tukichukulia kila tukio linalotokea Igunga ni siasa basi hata majambazi watatumia nafasi hiyo kufanya uhalifu na kutuacha tukisema hawa ni CDM nk...Tusiwe nan ushabiki wa vyama inapofikia uhai wa mtu,mimi ni CDM damu na napinga kwa nguvu zote unyama huu bila kujali umefanywa na CDM au CCM au CUF au TLP au chama kingine chochote cha siasa au hata kama ni kwasababu ya jambo lolote...nadhani ni bora tukapingana kwa hoja na hata kwa maneno makali yakuudhi lakini tusicheze na uhai wa watu ni laana kubwa sana.....UHAI WA WATANZANIA KWANZA,SIASA NA VYAMA BAADAE.................Pole kijana mwenzangu Mungu yu pamoja nawe....Get well soon!!
 
Huyu mwita kajipa jina lisilo lake, amenipa kazi sana, wewe endelea kuwachafua wak...., ila ujue haya unayafanya hapa jamvin siyo sawa
 
Ccm noumaaaa walimwagia kubenea wakamuua Chifupa,wakamuua Sokoine,wakamuua Kolimba,wakamuua Abdulmani Babu,wakamuua Balali sasa wanaitafuta roho ya kijana wa Igunga!!!
<br />
<br />
MEL 2 MWANZA NA ZANZIBAR,KOMBE ETC
 
umeona na kunikumbusha mbali mpaKA NIMEKUGONGEA LIKE BIG UP GREAT THINKER


kama ni kweli tunampa pole kijana, siungi mkono vurugu, pia siamini uwekaji mabango ya matangazo ni chanzo cha vurugu za hivyo, nikimkumbuka H. Kolimba machozi yanitoka. yaweza kuwa ni mchezo mchafu wa ccm kuomba huruma ya wanaigunga.
 
Wana JF sasa hivi tupo hapa Igunga hospital usiku huu, kijana wa CCM aliyekuwa anabandika mabango kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni za CCM kesho, ametekwa na vijana wa CDM na kumwagiwa tindikali usoni,, kwakweli ameharibika vibaya na inasikitisha sana.

Hawa CDM kwanini wameweka fujo na ughaidi mbele? Sasa huyu kijana hawezi kuona na ukimwona utarokwa machozi. Hebu hizi tamaa na uroho wa madaraka usituingize kwenye vita, ni kitu kibaya kabisa kilichofanyika. Sasa hivi waandishi wa habari wamefiaka hapa, pengine mtasoma kwenye magazeti na kuona picha. Watanzania tukatae roho za kijambazi kama hizi

Kwanza hapa jamvini wewe ni mgeni sana, ila nimethibitisha habari n iliyokuwa nimeipata mapema kuwa ccm, watafanya hivyo kwa mtu huyo wa ccm ili ionekani ni chadema waliofanya hivyo, muwe makini dhambi hizo ccm sijui mtatubia wapi
 
kwa nini aweke matangazo usiku kama huo kulikuwa kunaulazima gani asiweke jioni au leo asubuhi ...ccm bwana mipango mibovu ,yaleyale ya kuruhusu meli mbovu kubeba abiria halafu utasikia rais anatuma salam za rambi rambi nafikiri huwa wanafurahia kuonekana msibani...
Alkiyekwambia kwamba alikuwa anaweka mabango usiku nani? Tukio lile lilitokea saa 12 jioni, masuala ya polisi na hospitali ndiyo yaliyochukua muda. Usikurupuke tu mkuu, hili ni suala la kweli na linapaswa kukemewa kwa nguvu zote katika jamii yetu. Ifike mahali tofauti zetu za kiitikadi zisivuruge mahusiano ya kawaida ya kila siku. Ipendeze kuona CDM, CUF na hata ccm WADAU WAKE WANAWEZA KUKAA MEZA MOJA NA KULA NA KUNYWA BAADA YA MALUMBANO YA KISIASA NA SI VITA NA KUHARIBIA MTU MAISHA. Huyu kijana amepelekwa DAR jana kwa matibabu baada ya hali kuendelea kuwa mbaya sana.
Wafuasi wa CDM kwa kufanya vurugu mnawaharibia mipango mizuri DR. SLaa na wenzake maana sasa wananchi wamechukizwa sana na kitendo hiki,, ni wazi kwamba CCM watashinda kutokana na vitendo vya jinsi hii.
 
ukweli ni upi
Ukweli ni vijana wahuni wa CDM wamemwagia Tindikali kijana mpenda amani wa Igunga, huyo kijana yupo Hospitali hata kama hatapona basi hatakuwa na upofu, kapata kilema cha maisha inasikitisha sana.
Kijana akihojiwa na baadhi ya watu anasema hanawajua baadhi yao waliomwagia Tindikali ni wafuasi wa CDM, na kuna baadhi ya watu waliwaona hao vijana baada ya kumwagia wakiimba kwa sauti Pipooozzz!! Powerrr!!! Huku wamevaa Magwanda, wengine wakisema na bado mtaijua nguvu ya umma, inasikitisha sana
 
Kwanza hapa jamvini wewe ni mgeni sana, ila nimethibitisha habari n iliyokuwa nimeipata mapema kuwa ccm, watafanya hivyo kwa mtu huyo wa ccm ili ionekani ni chadema waliofanya hivyo, muwe makini dhambi hizo ccm sijui mtatubia wapi
Mkuu huo ugeni wake jamvini unahusika vipi na habari aliyoitoa? mbona hata wewe huna hata mwaka? wewe ni great thinker wa aina gani usiye na hoja?
 
Jamani Magwanda! Nyie kila siku mnasema ndio chama cha upinzani peke yake Tanzania nzima, vyama vyote ni vyote ni CCM hata bungeni mlikataa kuungana na chama chochote, leo mnakubali kuna vyama vingi vya siasa vya upinzani.<br /> Uzuri wa ili suala Kijana mwenyewe mpenda amani anasema kamwagiwa Tindikali na vijana wahuni wa CDM
<br /> <br / c awataje majina! Au ni unafiki tuu
 
Wana JF sasa hivi tupo hapa Igunga hospital usiku huu, kijana wa CCM aliyekuwa anabandika mabango kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni za CCM kesho, ametekwa na vijana wa CDM na kumwagiwa tindikali usoni,, kwakweli ameharibika vibaya na inasikitisha sana. <br /> <br /> Hawa CDM kwanini wameweka fujo na ughaidi mbele? Sasa huyu kijana hawezi kuona na ukimwona utarokwa machozi. Hebu hizi tamaa na uroho wa madaraka usituingize kwenye vita, ni kitu kibaya kabisa kilichofanyika. Sasa hivi waandishi wa habari wamefiaka hapa, pengine mtasoma kwenye magazeti na kuona picha. Watanzania tukatae roho za kijambazi kama hizi
<br /> <br / ROSTAM + CCM WAMEMLIPA MAMILION ILI WAMTOE KAFARA. NI KWA MASLAI YA CHAMA JAMANI
 
Back
Top Bottom