NDOTO KAVU
JF-Expert Member
- Feb 15, 2011
- 1,513
- 1,120
<br />
<br />
Na ikithibitika Chadema kuhusika? Kwanini uanze kujitetea hata kabla ya kesi kusikilizwa. Kwani wafuasi wa Chadema ni watakatifu kiasi gani?
Kumbe hamjadhibitisha lakini mnasema ni chadema, tushike lipi sasa, tunawafahamu nyinyi, mjuwe hapo mmechemsha kuisingizia chadema, mlipewa dozi moja tu ya ufunguzi wa kampeni na bado mambo yanaendelea. Tulishawazoea utamaduni wenu wa kuwatoa watu makafara ili mpate madaraka. Hiyo ni kashfa nyingine tena mnalo.