AL SHARPTON
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,797
- 953
Hahahahahaha
Nasubiri unisaidie Rosetta Stone
Hahahahahaha
Hiyo mlimani city ndo iko wapi?ni chuo?
hongera kufanya manunuzi mlimani city
KARIBU TENA.
Tawi la CCM
Kiingereza bila hela nisawa nakuongea kijaluo...
Kuna mtu anayejifunza lugha ya kigeni bila kukosea?
Wasipojifunza mnawasema kwamba wabongo kiingereza kituo cha polisi, wakijifunza mnawasema wanakosea.
Mimi mtu anayejifunza lugha ya kigeni nategemea akosee, si lugha yake ati.
Hao ni wa kupongezwa kwa kujitahidi kujifunza lugha ya kigeni bila aibu, si wa kubezwa.
Sasa wewe unayejua na kukerwa na makosa hayo uliwaelekeza?
Kama ni tawi la hicho chama sitaki hata kupafahamu...
Jamani kwa nini kila mtu akikanyaga tu lango la kuingilia mlimani city anaanza kuongea kingereza? Utasikia cha kuungaunga mara IS na WAS kibao. Kwani mkiongea Kiswahili chenu mtakuwaje? Acheni uzuzu ubitozi na usister duu!
Ah keimamae, ukute mtoto kashuka kwenye bodaboda.....kingereza cha kuunga unga cha mademu wa mlimani city:kwa sauti ya kidem "i asked my bae to kunipitia hapa mlimani city and he was like what!!!?.....,so i had to kumsubiri pale marry brown,i waited for like an hour.....so nikamcall nijue what's wrong,he was like ooh samahani dear i'm stuck at mwenge,ooh sijui road traffic...
kwa wale wenzangu na mimi,ukishasikia demu anaongea hivyo mlimani city,lazima utoke nduki tuu.:eyebrows:
Mwenzio nilikuwa napenda kuingia benk hasa NMB Nakaa kwenye kiti kama mteja anayesubiri huduma huku lengo likiwa ni kiyoyozi,siku moja wakavamia wazee wa njaa kali... usifanye mchezo maana jinsi nilivyowekewa mtutu kichwani ingefika dk tano tu kojo lingenitoka, toka siku hiyo sina hamu na viyoyozi vya maeneo kama hayo.Sisi wengine huwa tunapita hapo kupigwa kiyoyozi kabla ya kuendelea na safari ya kurejea makwetu...
hahaha watu bna wanafurahisha
Tuta kutana ROCK CITY MALL tuonyeshane ubabe waku tema yai...
Ikifunguliwa tu nistue mkuu, tukaoneshane ubabe...
hahahahahahahahaha utumwa wa lugha halafu katika nchi yako
.......hatari sana.....
Mkuu, bbwaoy, Iko Mwanza mitaa gani hii kitu?.Kama uko Mwanza itakua safi sana!!!!!