AL SHARPTON
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,797
- 953
Nimefika hapa Mlimani City na nitawajulisha kinachoendelea
Nimefika hapa Mlimani City na nitawajulisha kinachoendelea
bora cha mlimani city, mimi kiingereza cha ma cabin cruew mle ndani hasa kikiongelewa na mbongo demu anayejishaua huwa natamani amalize kuongea. kinakera kusikiliza. sijui niko peke yangu? yaani kinakeraaaa aaanggggJamani kwa nini kila mtu akikanyaga tu lango la kuingilia Mlimani City anaanza kuongea kiingereza? Utasikia cha kuungaunga mara IS na WAS kibao. Kwani mkiongea Kiswahili chenu mtakuwaje? Acheni uzuzu, ubitozi na usister duu!
bora cha mlimani city, mimi kiingereza cha ma cabin cruew mle ndani hasa kikiongelewa na mbongo demu anayejishaua huwa natamani amalize kuongea. kinakera kusikiliza. sijui niko peke yangu? yaani kinakeraaaa aaangggg
kinakera kwasababu ni kiingereza cha kisharobaro au kisista duu fulani hivi. ni cha mtu ambaye hajui kiingereza lakini anajifanya anajua.Kinakera kwa kuwa kimenyooka Au kimepinda mkuu?
kinakera kwasababu ni kiingereza cha kisharobaro au kisista duu fulani hivi. ni cha mtu ambaye hajui kiingereza lakini anajifanya anajua.
kinakera kwasababu ni kiingereza cha kisharobaro au kisista duu fulani hivi. ni cha mtu ambaye hajui kiingereza lakini anajifanya anajua.
Kinakera kwa kuwa kimenyooka Au kimepinda mkuu?
bora cha mlimani city, mimi kiingereza cha ma cabin cruew mle ndani hasa kikiongelewa na mbongo demu anayejishaua huwa natamani amalize kuongea. kinakera kusikiliza. sijui niko peke yangu? yaani kinakeraaaa aaangggg
Jamani kwa nini kila mtu akikanyaga tu lango la kuingilia Mlimani City anaanza kuongea kiingereza? Utasikia cha kuungaunga mara IS na WAS kibao. Kwani mkiongea Kiswahili chenu mtakuwaje? Acheni uzuzu, ubitozi na usister duu!
Acha wivu.bora cha mlimani city, mimi kiingereza cha ma cabin cruew mle ndani hasa kikiongelewa na mbongo demu anayejishaua huwa natamani amalize kuongea. kinakera kusikiliza. sijui niko peke yangu? yaani kinakeraaaa aaangggg