Kiingereza cha Mlimani City

Kiingereza cha Mlimani City

Acha Hizoo, Rais wa China, Korea, Urusi, German, Italy nk hawajui kingereza na hawana mda na kutaka kukijua, huku Wananchi wao Wengi hawajui hiyo Lugha, hawa hawana Hadhi? Waarabu wengi hawajui Lugha hiyo mbona pesa ya Oman ndiyo yenye thamani kuliko pesa zote Duniani?

Aliokwambia hao marais hawajui kiingereza nani?! Kutokuongea in public haina maana hawajui. Halafu achenu unafiki,wengi wenu mnamcheka hadi mkuu wa nchi kisa haongei kiingereza kama mnavyotaka nyinyi. Acheni waongee kama broken ni yao na ndio wanajifunza.

Mkienda mlimani city fanyeni yenu waacheni hao wanaoongea broken yao wafanye wapendacho ili mradi hawavunji sheria!
 
'...like seriously?'' hili neno nililisikia kwa wadada zaidi ya 7 tofauti tofauti, nkadhani ni kamsemo ka kuulizia bei mule mlimani city, basi namimi bila kuvunga ndani ya duka la airtel nanunua zangu modem,kheee kuambiwa bei si ndo nikalitamka.like seriously? hahahahahaha!!!! napenda sana kingereza cha mlimani city yaan kila neno lazima lianze na ''like...''

Haa haa umenichekesha kweli..for the first time nilimsikia wema in my shoes anamwambia yule mbwa wake (cjui vanny whatever!) ...eti like seriously vanny,am fed up step down like seriously yaan...
 
Utasikia Am....zile za O.M.G,TBT,I was like....coz...what da hell is this......hahaha sijui kwanini tunakidharau kiswazi chetu tena zaidi mbele ya wageni.
 
Hawafanyi makusudi bali ...

Lile jengo limekuwa equiped with Special gravity ambayo iko standby kuchezesha lips za midomo mara tu unapoingia mjengoni ili uweze kuzungumza kimombo hata bila ya ridhaa yako....!

Endapo ukifanikiwa kukaa mule kwa zaidi ya saa mbili.. basi utakuwa tayari umekidhi vigezo vya mtu anayestahili kuwa interviewed kwa ajili ya nafasi ya kazi....!

Hahaha
 
'...like seriously?'' hili neno nililisikia kwa wadada zaidi ya 7 tofauti tofauti, nkadhani ni kamsemo ka kuulizia bei mule mlimani city, basi namimi bila kuvunga ndani ya duka la airtel nanunua zangu modem,kheee kuambiwa bei si ndo nikalitamka.like seriously? hahahahahaha!!!! napenda sana kingereza cha mlimani city yaan kila neno lazima lianze na ''like...''

Hahaha...mkuu umeua ila umesahau na lile la Am....na coz...
 
Lile ni jiji lingine kabisa na lugha yake ni inglish sasa ukifika tu pale automatically ulimi una geuka na kuzungumza lugha husika ya pale
 
Hahaaa kiongozi, kuna sarcasm hapo.

Ila kuna watu waonavyo hivyo, kwamba Kiingereza ni ishara au alama ya ustaarabu.

Hujawahi kukutana na Wabongo ambao hawajawahi hata kuishi Uingereza au popote pale nje ya Tanzania lakini wanajifanya kama hawakijui Kiswahili?

Kuna maneno mengine ni aibu kuyataja kwa kiswahili Eg chooni. Ukitaja hilo neno watu mawazo yanawaenda mbali. Kuliko ukisema washroom au laviatory. Kidogo inaonesha ustaarabu. Tabia ya kujifanya hujui lugha ya kwenu ni usengerema na ufarasi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom