Kiingereza cha Mlimani City

Kiingereza cha Mlimani City

Sisi wengine huwa tunapita hapo kupigwa kiyoyozi kabla ya kuendelea na safari ya kurejea makwetu...

Heheheee hiyo nayo inahusika maana hili joto na huu mbanano wa huku Uswazi kiyoyozi kinapatikana kwa bure Mlimani City tu.
 
Maneno kama "oh my God" " I was like...." " this is awasome".

BTW, kuna mtangazaji wa BBC wa kike kama jina Tulanana Bohela au Bohenela??? yeye ndo kabisaa anaongea kiswahili kwa lafudhi ya kiingereza. Usiombe mkutane naye Mlimani City "mikogo" ndo inazidi zaidi
 
Maneno kama "oh my God" " I was like...." " this is awasome".

BTW, kuna mtangazaji wa BBC wa kike kama jina Tulanana Bohela au Bohenela??? yeye ndo kabisaa anaongea kiswahili kwa lafudhi ya kiingereza. Usiombe mkutane naye Mlimani City "mikogo" ndo inazidi zaidi

mamaaaa mpaka wa BBC?
 
Hehe Mkuu pale mimi huwa sina misheni zaidi ya kwenda kubadilisha ngozi,maana ninapoishi joto sana aisee!
 
Jamani kwa nini kila mtu akikanyaga tu lango la kuingilia Mlimani City anaanza kuongea kiingereza? Utasikia cha kuungaunga mara IS na WAS kibao. Kwani mkiongea Kiswahili chenu mtakuwaje? Acheni uzuzu, ubitozi na usister duu!

Remix yake ni kua wengi hupenda kushika Funguo za Gari au Simu mkononi wakati nguo walizovaa zina mifuko!!
 
Jamani kwa nini kila mtu akikanyaga tu lango la kuingilia Mlimani City anaanza kuongea kiingereza? Utasikia cha kuungaunga mara IS na WAS kibao. Kwani mkiongea Kiswahili chenu mtakuwaje? Acheni uzuzu, ubitozi na usister duu!

Mimi nafikiri ni kwasababu ya inferiority complex na low self-esteem kwa baadhi ya watu hapa Bongo ndio maana wanafanya hivyo.
 
kingereza cha kuunga unga cha mademu wa mlimani city:kwa sauti ya kidem "i asked my bae to kunipitia hapa mlimani city and he was like what!!!?.....,so i had to kumsubiri pale marry brown,i waited for like an hour.....so nikamcall nijue what's wrong,he was like ooh samahani dear i'm stuck at mwenge,ooh sijui road traffic...

kwa wale wenzangu na mimi,ukishasikia demu anaongea hivyo mlimani city,lazima utoke nduki tuu.:eyebrows:
 
Nasubiri na hii ya Mwanza ikianza kazi cjui itakuwaje
 
Kweli sisi wa bongo ni tatizo humuhumu kwenye hii hoja utaona wanaoponda kingereza nawao wana changanya maneno ya kingereza na kiswahili !!. Tuanche ulimbukeni, kama unajifanya unajua kingereza siuende jukwaa la kimataifa !.
 
Kweli sisi wa bongo ni tatizo humuhumu kwenye hii hoja utaona wanaoponda kingereza nawao wana changanya maneno ya kingereza na kiswahili !!. Tuanche ulimbukeni, kama unajifanya unajua kingereza siuende jukwaa la kimataifa !.

Mkuu I hope hunisemi mimi manake lugha ya watu sijaijulia kivilee
Niwie radhi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom