Kiingereza cha Mlimani City

Kiingereza cha Mlimani City

Mmmh...! Lugha zingine hazimfanyi mtu "aonekane" msomi, wa kileo na mstaarabu??

Msomi! Mbona hapa hawa wazungu wako tele wanatafuta kazi za box haliyakuwa wanajua kuongea lugha yao kiengereza? Wengine homeless kabisa, omba omba!
Ni lugha ya communication tu lakini haifanyi mtu kuwa daraja la juu,.
 
Huo ni ulimbukeni tuu kingereza ni wito sio mbaka uwe Umesoma sana.Jali chako kwanza hapa ni nyumba jivunie chako bana

Mimi ni napenda kujifunza lugha mbalimbali. Kwa mfano, nimesoma shule za kata (msingi na sekondari) na nimeanza kuzungumza kiingereza nipo darasa la 3. Enzi hizo kila jumapili nilikuwa nanunuliwa gazeti la "sunday news". Sasa hawa wenzetu hata hawajihangaishi kuijua hiyo lugha lakini wana tabu huko mtaani balaa!
 
Nyani Ngabu naomba nifundishe maujanja ya ile hard core slang spoken by them hood ass mutherfakazz. (Strictly for my niggaz)
Straight from da hood. Tryna hook up myself with dem Mlimani City chicks, hommie.
I know once in a while unatia timu kulee mitaa ya College Park Na East Point kutafuta blunts.
Lugha inaniona
 
Jamani kwa nini kila mtu akikanyaga tu lango la kuingilia mlimani city anaanza kuongea kingereza? Utasikia cha kuungaunga mara IS na WAS kibao. Kwani mkiongea Kiswahili chenu mtakuwaje? Acheni uzuzu ubitozi na usister duu!

Tafsiri ya "pata potea" kwe Kiingereza ni "get lost".
 
Nyani Ngabu naomba nifundishe maujanja ya ile hard core slang spoken by them hood ass mutherfakazz. (Strictly for my niggaz)
Straight from da hood. Tryna hook up myself with dem Mlimani City chicks, hommie.
I know once in a while unatia timu kulee mitaa ya College Park Na East Point kutafuta blunts.
Lugha inaniona

Kweli wewe al sharpton lol!!! Mzee korofi kiaina ..
Nyani ngabu kumbe wa Atlan'a!🙈
 
Kweli wewe al sharpton lol!!! Mzee korofi kiaina ..
Nyani ngabu kumbe wa Atlan'a!🙈

Ha ha ha mimi sio mkora! Niko mbioni kujifunza lugha ya watu. Nilikuwa mkora enzi hizoo za Club 112.......one twiz 4 sheeez !!
Nitafutie Rosetta Stone basiii
Nyani Ngabu - he's a good peep.
 
Ha ha ha mimi sio mkora! Niko mbioni kujifunza lugha ya watu. Nilikuwa mkora enzi hizoo za Club 112.......one twiz 4 sheeez !!
Nitafutie Rosetta Stone basiii
Nyani Ngabu - he's a good peep.


Haa nishaanza kushtuka huhitaji rosseta stone wala jiwe kama ulikuwa mkora wa club 112 na jirani zake wkt wenzio tulikuwa tunaona runingani kwenye video za kina jermaine dupri enzi hizo...ebu mwaga slang zaidi za pale...
 
Jamani kwa nini kila mtu akikanyaga tu lango la kuingilia mlimani city anaanza kuongea kingereza? Utasikia cha kuungaunga mara IS na WAS kibao. Kwani mkiongea Kiswahili chenu mtakuwaje? Acheni uzuzu ubitozi na usister duu!

kula "pendo" la nguvu mkuu kwa kuzungumzia hili swala la watu wanaoingiaga pale "jiji la mlimani"
 
Haa nishaanza kushtuka huhitaji rosseta stone wala jiwe kama ulikuwa mkora wa club 112 na jirani zake wkt wenzio tulikuwa tunaona runingani kwenye video za kina jermaine dupri enzi hizo...ebu mwaga slang zaidi za pale...

Acha kunionea I swear mimi Bado Ni maimuna
 
Hiyo mlimani city ndo iko wapi?ni chuo?

hapana sio chuo ni kamlima fulani hivi juu kana siti watu wakienda hukaa na hununua vitu...ila kama unataka nawe kwenda hakikisha unabeba kamba na maji ya kunywa maana haka kamlima ni kalefu kidogo utachoka mapema na kiu sawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom