Kiingereza cha Mlimani City

Kiingereza cha Mlimani City

Kama englishi ndio lugha ya taifa la mlimani city...inabidi wakina sie tuishie nje na tuagizie wakalimani wakatununulie bidhaa huko ndani....
 
Jamani kwa nini kila mtu akikanyaga tu lango la kuingilia Mlimani City anaanza kuongea kiingereza? Utasikia cha kuungaunga mara IS na WAS kibao. Kwani mkiongea Kiswahili chenu mtakuwaje? Acheni uzuzu, ubitozi na usister duu!

ha ha haaa
 
Halafu kuna kajitabia siku hizi cha st kayumba kujidai wanajua sana luzungu kuna jamaa huwa ananikera huyo asikukute umekaa na watu lazima abadili lugha mbaya zaidi anavunja mwanzo mwisho full kutiana aibu, mtu umesoma shule za kata mpk vyuo vya kata bado unataka kujionesha nawe unajua eboo
 
Huo ni ulimbukeni tuu kingereza ni wito sio mbaka uwe Umesoma sana.Jali chako kwanza hapa ni nyumba jivunie chako bana
 
Jamani kwa nini kila mtu akikanyaga tu lango la kuingilia Mlimani City anaanza kuongea kiingereza? Utasikia cha kuungaunga mara IS na WAS kibao. Kwani mkiongea Kiswahili chenu mtakuwaje? Acheni uzuzu, ubitozi na usister duu!

Hahahaha! Wape za uso hao!
 
hivi unawafuatilia hadi wanapotoka nje ya mlango au geti kama wanabadilisha lugha kwenda ya kiswahili? ..watu sio mnasikia mtu anaongea hicho kiingereza mkafiria kaanza kukiongea mlangoni,...mnachosha!
 
Usipotoshe umma kujua lugha za watu wengine ni muhimu kwani dunia sasa imekua kijiji, na ili ujue lugha lazima ujifunze kwa kuandika na kuongea, kwa hiyo wale mnaojifunza msivunjike moyo
 
Duh Kisha hauwezi kuamini pale mlimani city kuna machanguduo wengi tu, eti wanafuata wazungu...
 
Halafu kuna kajitabia siku hizi cha st kayumba kujidai wanajua sana luzungu kuna jamaa huwa ananikera huyo asikukute umekaa na watu lazima abadili lugha mbaya zaidi anavunja mwanzo mwisho full kutiana aibu, mtu umesoma shule za kata mpk vyuo vya kata bado unataka kujionesha nawe unajua eboo

mkuu ukisoma shule za kata au vyuo vya kata hauruhusiwi kujua mambo? Au hata kama unajua ni bora kukaa kimya sababu umesoma shule za kata?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom