alumn
JF-Expert Member
- Jul 15, 2018
- 2,366
- 3,109
Ccm walikaa kimya Magufuli alipoingiza tabia ya kuzuia free speech. Leo wanafungana midomo kwa style Ile ile ya Magufuli. Huyo Polepole alikuwa ni mmoja wa waliosupport mwenendo mbovu wa Magufuli kuua uhuru wa maoni, acha avune matunda ya siasa chafu alizoshiriki kuzipandikiza.
Sawa mkuu, pamoja na hayo yalopita si ndwele na hatuwezi kuishi vilevile kwa misingi ya awali. Issue sio Polepole na huyo Kijana ila issue inakua usiposapoti mawazo ya hasa Mwenyekiti basi unaonekana wewe ni mjuaji. Sio sahihi wataleta mpasuko hawa viongozi wetu. Ni muhimu kupishana na kukinzana Lakini kwa Heshima, Upendo na Kulinda Maadili