Ccm walikaa kimya Magufuli alipoingiza tabia ya kuzuia free speech. Leo wanafungana midomo kwa style Ile ile ya Magufuli. Huyo Polepole alikuwa ni mmoja wa waliosupport mwenendo mbovu wa Magufuli kuua uhuru wa maoni, acha avune matunda ya siasa chafu alizoshiriki kuzipandikiza.

Sawa mkuu, pamoja na hayo yalopita si ndwele na hatuwezi kuishi vilevile kwa misingi ya awali. Issue sio Polepole na huyo Kijana ila issue inakua usiposapoti mawazo ya hasa Mwenyekiti basi unaonekana wewe ni mjuaji. Sio sahihi wataleta mpasuko hawa viongozi wetu. Ni muhimu kupishana na kukinzana Lakini kwa Heshima, Upendo na Kulinda Maadili
 
Huyo jamaa naye zoba tu.

Mzee Warioba amejitokeza na kuweka misimamo Yake kuhusu Katiba mpya ambayo inakinzana na ya huyo Mama yake ila hajaibuka na tamko lolote.

Kutaka watu wote wakubaliane na mama yake hata Kwa mambo ya hiari ni upumbavu.
 
Sawa mkuu, pamoja na hayo yalopita si ndwele na hatuwezi kuishi vilevile kwa misingi ya awali. Issue sio Polepole na huyo Kijana ila issue inakua usiposapoti mawazo ya hasa Mwenyekiti basi unaonekana wewe ni mjuaji. Sio sahihi wataleta mpasuko hawa viongozi wetu. Ni muhimu kupishana na kukinzana Lakini kwa Heshima, Upendo na Kulinda Maadili

Mkuu una busara sana, lakini kwa taarifa yako wakishapata madaraka hawajali huo utu wala upendo. Hivyo acha wafanyiziwe tu.
 
Jiwe si alikua anawatisha ndio maana sasa nafikiri Uhuru hautaki we uitaki chanjo sema na familia yako.
 
I ngekuwa hivyo wanaokataa chanjo wasingeonekana ni wapinzani. Liko tatizo tena kubwa pahala.

Ni tatizo la baadhi ya watu wanaojiona kwamba they’re absolutely right and others are absolutely wrong.

Hata katika imani za kidini mambo yako hivyo hivyo. Wapo waislam wanaoamini kwamba ukristo sio njia sahihi ya kumuabudu Mungu. Similarly, wapo wakristo wanaoamini kuwa uislam sio njia sahihi ya kumuabudu Mungu. Kimsingi, hao wanapingana kwa nia njema. Lengo lao ni lilelile moja la kumcha na kumuabudu Mungu the right way ili hatimaye wapate kibali cha kuingia mbinguni.
 
Katibu mkuu wa Uvccm, Kenani Kihongosi amemtaka Mbunge Humphrey Polepole awe na nidhamu na adabu katika serikali ya awamu ya 6 kama alivyofanya kwa serikali ya awamu ya 5. Up

Hiyo ni baada ya Polepole kupinga chanjo, jambo linalochukuliwa kama kupingana na Rais.

Una maoni gani kwa wana CCM hao?

---
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi - UVCCM, Kenani Kihongosi amesema, wanasikitishwa na matendo yanayofanywa na mbunge Humphrey Polepole kuhusu suala la ya Covid-19, kwani Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameshasema kwamba chanjo ni hiyari na maamuzi yake lazima yaheshimiwe.

"Tunapenda kumwambia mbunge Humphrey Polepole kwamba awe na nidhamu na adabu kama aliyokuwa nayo wakati wa Utawala wa Awamu ya Tano. Nidhamu ile ile aiendeleze pia katika utawala huu wa awamu ya Sita Inayoongozwa na Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan "

"Mijadala yake (Humphrey Polepole) kuhusu chanjo ni bora akakaa kimya kama hahitaji kuchanja lakini sio kujificha katika kivuli cha chanjo kuipinga serikali."

"Tunamuonya na tunamtaka Humphrey Polepole aache mara moja mijadala yake kuhusu chanjo kwani hatutakubali kiongozi yoyote avunje heshima ya Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan au kupinga yale aliyoyaelekeza"

"Hatutovumilia utovu wowote wa nidhamu kwa Rais. Humphrey Polepole kuendelea kutengeneza maneno ya kejeli, dhihaka na mengine ya aina hiyo yanabeba mazingira yanayotia shaka dhamira yake aliyonayo kwa Mwenyekiti wetu na Rais wetu, hivyo tunamtaka aache mara moja"

"Chama cha Mapinduzi (CCM) siyo chama cha harakati bali ni chama kilichojijenga katika misingi ya kutii na kuheshimu viongozi, hivyo jambo lolote la kupingana au kuendeleza mijadala ambayo Mwenyekiti wa CCM Taifa ameshalitolea maelekezo ni utovu wa nidhamu"

Ndugu. Kenani Kihongosi
Katibu Mkuu wa UVCCM.
Amepinga serikali kwa lipi? mwili na afya ya mtu inamuhusu Rais? mbona watu wanaugua magonjwa mengi wanashindwa gharama za matibabu mbona hawasaidiwi na huyo Rais? Viongozi wote wa awamu ya SITA ni vigeugeu (Vinyonga).
Wakati wa awamu ya tano VP(sasa Rais ) hakuwahi kuunga chanjo ..... Ilikuwa "NYUNGU"
Uhuru wa mtu wa kutoa maoni lazima uheshimiwe. Kama unahaki ya kushawishi watu wakachanjwe na mwezio (Mh. Polepole, Mh. Gwajima na watanzania wengine wanaona Chanjo sio salama wanahaki hiyo ya kutochanja. Soma professorial rubbish report On COVID-19.
 
Katibu mkuu wa Uvccm, Kenani Kihongosi amemtaka Mbunge Humphrey Polepole awe na nidhamu na adabu katika serikali ya awamu ya 6 kama alivyofanya kwa serikali ya awamu ya 5. Up

Hiyo ni baada ya Polepole kupinga chanjo, jambo linalochukuliwa kama kupingana na Rais.

Una maoni gani kwa wana CCM hao?

---
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi - UVCCM, Kenani Kihongosi amesema, wanasikitishwa na matendo yanayofanywa na mbunge Humphrey Polepole kuhusu suala la ya Covid-19, kwani Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameshasema kwamba chanjo ni hiyari na maamuzi yake lazima yaheshimiwe.

"Tunapenda kumwambia mbunge Humphrey Polepole kwamba awe na nidhamu na adabu kama aliyokuwa nayo wakati wa Utawala wa Awamu ya Tano. Nidhamu ile ile aiendeleze pia katika utawala huu wa awamu ya Sita Inayoongozwa na Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan "

"Mijadala yake (Humphrey Polepole) kuhusu chanjo ni bora akakaa kimya kama hahitaji kuchanja lakini sio kujificha katika kivuli cha chanjo kuipinga serikali."

"Tunamuonya na tunamtaka Humphrey Polepole aache mara moja mijadala yake kuhusu chanjo kwani hatutakubali kiongozi yoyote avunje heshima ya Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan au kupinga yale aliyoyaelekeza"

"Hatutovumilia utovu wowote wa nidhamu kwa Rais. Humphrey Polepole kuendelea kutengeneza maneno ya kejeli, dhihaka na mengine ya aina hiyo yanabeba mazingira yanayotia shaka dhamira yake aliyonayo kwa Mwenyekiti wetu na Rais wetu, hivyo tunamtaka aache mara moja"

"Chama cha Mapinduzi (CCM) siyo chama cha harakati bali ni chama kilichojijenga katika misingi ya kutii na kuheshimu viongozi, hivyo jambo lolote la kupingana au kuendeleza mijadala ambayo Mwenyekiti wa CCM Taifa ameshalitolea maelekezo ni utovu wa nidhamu"

Ndugu. Kenani Kihongosi
Katibu Mkuu wa UVCCM.
🤣🤣🤣🤸🤸🤸
 
Katibu mkuu wa Uvccm, Kenani Kihongosi amemtaka Mbunge Humphrey Polepole awe na nidhamu na adabu katika serikali ya awamu ya 6 kama alivyofanya kwa serikali ya awamu ya 5. Up

Hiyo ni baada ya Polepole kupinga chanjo, jambo linalochukuliwa kama kupingana na Rais.

Una maoni gani kwa wana CCM hao?

---
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi - UVCCM, Kenani Kihongosi amesema, wanasikitishwa na matendo yanayofanywa na mbunge Humphrey Polepole kuhusu suala la ya Covid-19, kwani Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameshasema kwamba chanjo ni hiyari na maamuzi yake lazima yaheshimiwe.

"Tunapenda kumwambia mbunge Humphrey Polepole kwamba awe na nidhamu na adabu kama aliyokuwa nayo wakati wa Utawala wa Awamu ya Tano. Nidhamu ile ile aiendeleze pia katika utawala huu wa awamu ya Sita Inayoongozwa na Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan "

"Mijadala yake (Humphrey Polepole) kuhusu chanjo ni bora akakaa kimya kama hahitaji kuchanja lakini sio kujificha katika kivuli cha chanjo kuipinga serikali."

"Tunamuonya na tunamtaka Humphrey Polepole aache mara moja mijadala yake kuhusu chanjo kwani hatutakubali kiongozi yoyote avunje heshima ya Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan au kupinga yale aliyoyaelekeza"

"Hatutovumilia utovu wowote wa nidhamu kwa Rais. Humphrey Polepole kuendelea kutengeneza maneno ya kejeli, dhihaka na mengine ya aina hiyo yanabeba mazingira yanayotia shaka dhamira yake aliyonayo kwa Mwenyekiti wetu na Rais wetu, hivyo tunamtaka aache mara moja"

"Chama cha Mapinduzi (CCM) siyo chama cha harakati bali ni chama kilichojijenga katika misingi ya kutii na kuheshimu viongozi, hivyo jambo lolote la kupingana au kuendeleza mijadala ambayo Mwenyekiti wa CCM Taifa ameshalitolea maelekezo ni utovu wa nidhamu"

Ndugu. Kenani Kihongosi
Katibu Mkuu wa UVCCM.
Hii ni falsafa ya ccm, mawazo tofauti unakuwa adui. Hayo ni maoni yake kuhusu chanjo,hakuna haja ya kumkaripia na maonyo yenye vitisho
 
Back
Top Bottom