Kigali, Kigali, Kigali ....Jamani nini hii??

Kigali, Kigali, Kigali ....Jamani nini hii??

Hahaha babuuu! Walitaka kuamsha simba waliolala?
Kuna conference tulifanya in kigali in a hotel, tukawa na jamaa wa zenj wakorofi balaa. Tukawa kila siku tukimaliza kazi wanatuwekea mziki tunatumia ukumbi wa disco. Aisee kuna makahaba wakatustukia. Nilimrescue mkaka wa zenj kwa kumganda manake angebakwa humo humo. Wako too aggressive!

una uhakika gani kama ulimuokoa?
usikute alirudi mwenyewe peke yake siku ingine
na alikulaani kwa kumganda
 
we si nilikwambia tuongeze mda wa maombi
ombi langu likawekwa kapuni

halafu Ennie kafanyaje baba Paroko maana hizi beat hizi

Tatizo wewe hukuniambia mimi ulikuwa unalalamika mtu niliposikia nikajua ni longolongo na walimwengu tu

Huyo Ennie niachie mimi nitamrekebisha tu!
 
Last edited by a moderator:
Tatizo wewe hukuniambia mimi ulikuwa unalalamika mtu niliposikia nikajua ni longolongo na walimwengu tu

Huyo Ennie niachie mimi nitamrekebisha tu!

siku nyingine uwe unanisikiliza utanifanya niwe naenda kufanya maombi hapo
kwa baba Anna jirani yetu hapo wakati baba paroko upo....
 
una uhakika gani kama ulimuokoa?
usikute alirudi mwenyewe peke yake siku ingine
na alikulaani kwa kumganda


Ndiyo maana kabla ya kutoa msaada unahitaji kukaa chini na kutafakari.... Misaada mingine haifai na inaweza kumfanya mtu akatunguliwa macho na manati...

Hata mie nahisi King'asti alimchezea faulo baba wa watu...


Mzima lakini kaka??

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Ndiyo maana kabla ya kutoa msaada unahitaji kukaa chini na kutafakari.... Misaada mingine haifai na inaweza kumfanya mtu akatunguliwa macho na manati...

Hata mie nahisi King'asti alimchezea faulo baba wa watu...


Mzima lakini kaka??

Babu DC!!


Mkuu mzima sana
mara ya mwisho lini ulikuwa Kigali?
King'asti kwa vyovyote alimkatili kijana wa watu lol
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mzima sana
mara ya mwisho lini ulikuwa Kigali?
King'asti kwa vyovyote alimkatili kijana wa watu lol


Unataka niuze data kama Mtambuzi??

Ingezekana ningewaunganisha live kutokea maeneo ya Kibiterere....

Huku hapafai mkuu......

Au na wewe ni Tomaso?


Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
duuh namna hii ...kwisha habari yako
Mie sina neno ila ni sauti ya unabii tu.....

Wasipotaka kuisikia basi wasije kumlaumu babu yao..lol!!

Ila ukweli tuuseme, kuna wadudu unakutana nao na kwa dakika kama 30 hivi akili inakufa ganzi.....

Ndo maana namshukuru Mungu kwa kuniwezesha kustaafu salama...

Babu DC!!
 
Mimi FaizaFoxy amenichekesha sana na Gozi lake...halafu vijana wa siku hizi hawajui maana yake
King'asti nakuban kwenye huu uzi until further notice, unamletea stress mshua
Heaven on Earth na Eiyer liv Ennie alon.


Unajua siku hizi unanitisha kaka??

Itabidi tutafute muda wa kuwekana sawa.....

Huyo King'asti mwache tu......anatumia bunduki yake vibaya kupeperusha ndege wa wenzie. Badala ya kutumia hiyo bunduki kutulinda sisi wastaafu!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom